Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
Ushauri kwa CHADEMA, changamkieni hizo kura elfu tisa (9,000) za wafanyakazi waliofukuzwa. Hata kama watakuwa kweli waligushi, ninyi nendeni kiakili na kiutaalamu wa namna ya how to win their hearts. Kura alfu tisa si haba ujue, na wote hao waliofukuzwa ni adults wenye uwezo wa kupiga kura. Hakuna hata mmoja aliyetumbuliwa ambaye ni under age.
Mkijiwekea kura hizo mfukoni, mtahitaji kura chache sana kuongezea 2020.
Mkijiwekea kura hizo mfukoni, mtahitaji kura chache sana kuongezea 2020.