Chadema chama cha kidemokrasia kinacho ogopa demokrasia

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,884
22,601
Miaka takriban 30 chama kinamtukia mtu huyo huyo aliyeishiwa mbinu kutoa mbinu mpya wakitegemea kushida chaguzi.

Misingi ya demokrasia ni pamoja na ukomo wa uongozi kikatiba ili kupata fikra mpya Rais Kikwete aliwahi kusema hivi ' ninaondoka chamani kama mwenyekiti ajaye aje na mawazo mengine mapya chama kisonge mbele' kwa muda ambao JK alimuachia chama na million 20 tu sasa chama kina zaidi ya billion 100+ na kushinda chaguzi zote kwa kishindo .

CHADEMA imejaa rushwa kwa mujibu wa viongozi kadhaa waliokikimbia chama hiki na kusema kinaendeshwa ki-dikteta japo kinaitwa cha demokrasia .

Kumekuwa na idadi kubwa ya wanachama na viongozi wanaofukuzwa pindi tu wakihoji katiba ya chama kufuatwa na matumizi ya pesa ya chama huku chama kkijiita cha demokrasia

Chadema sasa kiwambe wanachama na waingie mtaani wamtake mwenyekiti wake aliyekihodhi mamlaka kwa miongo mingi ajiweke pembeni chama kisonge mbele

Kun hoja ya kutumia demokrasia kuhoji matumizi ya chama kuelekea kukutana na Rais ili muwe wasafi kama CCM

USSR
 
Umemnukuu aliekuwa mwenyekiti wa chama ambacho serikali yake imeshindwa kutuondoa kwenye huu umasikini, ujinga, na maradhi, miaka 60 baada ya kupata uhuru.

Kama unaamini Mbowe amefeli kwanini mlienda na zile kura kwenye mabegi meusi, na kina Mahera na polisi wakawapa ushirikiano ili kuwahakikisha ushindi?
 
Umemnukuu aliekuwa mwenyekiti wa chama ambacho serikali yake imeshindwa kutuondoa kwenye huu umasikini, ujinga, na maradhi, miaka 60 baada ya kupata uhuru.

Kama unaamini Mbowe amefeli kwanini mlienda na zile kura kwenye mabegi meusi, na kina Mahera na polisi wakawapa ushirikiano ili kuwahakikisha ushindi?
Mleta uzi alikuwa muimba mapambio enzi za kiongozi wa malaika
 
Mimi nijuavyo Viongozi na Viherehere wa CCM wawapo Dodoma wakati mwingi huwa hawana cha kufanya basi huwa wanaingia Jamii Forum sasa huyu jamaa katumwa ili aje kuwafurahisha na Vinyuzi vya Kijinga Kijinga
 
Chama kimebaki na mbunge mmoja lakini nyumbu bado wanaimani na Mbowe
 
IMG_20201028_173703.jpg
haya wanaofuata demokrasia ni CCM hadi wanashinda kwa kishindo ,umefurahi sasa MATAGA?
 
CCM haina demokrasia acha kudanganya watu. Lini CCM imeruhusu nafasi ya mwenyekiti igombewe na watu wawili au zaidi?

Mwenyekiti wa CCM huwa hagombei bali anapewa cheo ndio maana hutosikia hata siku moja watu wakashindana kupata hiyo nafasi.

Demokrasia isio na ushindani ni aina nyingine ya udikteta uchwara.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom