Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,684
- 20,438
...LEO CHADEMA KWELI MNAUNGANA NA MAJIBU YA WEREMA KISA CHUKI ZENU KWA ZITTO??
Naomba niulize; Hivi tangu jana Werema alivyotoa kauli ya kumuita Zitto kuwa ni mzito, kuna kauli rasmi kutoka ofisi ya CHADEMA kuungana na kauli ya Werema au serikali? Au kwa lugha nyingine, ni kigezo gani kinatumika kupitisha fikra kwamba CHADEMA imeungana na Werema au serikali dhidi ya Zitto?... sasa nashangaa wanaCHADEMA kwa kukubali kucheza ngoma ovu ya serikali kisa tu wanachuki binafsi na Zitto...