bendaki
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 952
- 346
Hakuna kosa kubwa linalofanywa na kizazi hiki kama kuwa washabiki wa kila kitu na kuficha na kushindwa kufikiri kwa sababu ya chuki na wivu
Si kazi ya zitto kutaja majina ya walioweka fedha nje ya nchi, si kazi ya zitto kutaja account number zao. Kazi ya zitto ilikuwa ku-ALERT na kama kutaja majina atataja ila si chini ya KIAPO
Kuapa kuna maana nyingi na wahuni hawa kufanya sarakasi na ionekane hawana hela ni kitu kidogo
Werema na Lukuvi mnajua kabisa akina nani wana fedha nje ya NCHI, ili kukwepa lawama MNATAKA MZIGO WA KUTAJA UWE JUU YA ZITTO na zitto kwa akili amekwepa hilo na mmekubali kuingia kwenye tundu
kesho mkitajiwa majina na serikali za marekani na uingereza mtasemaje??
HIVI NA NYIE WANACHADEMA AMBAO LEOMKO UPANDE WA LUKUVI NA WEREMA, NANI ALYEWAROGA?? hivi msaliti hapa ni nani??
HAKI YA NANI UKIONA WATANZANIA UTAWAONEA HURUMA, ZITTO ANGETAJA MAJINA:
Wapi CDM wameungana na akina Lukuvi na Werema? Kwako CDM ni nani? Maana CDM hili haijalisemea.