Ni mtizamo wangu kwamba kutokana na viongozi wa vyama vikubwa vya upinzani kuamua kugombea ubunge,ni wazi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kuongezeka idadi ya wabunge wa upinzani bungeni kwenye uchaguzi ujao,ambapo kusema ukweli ni jambo la busara sana na wanastahili pongezi kwa hili.
Wakati huohuo lingekuwa jambo la busara sana kama vyama vya upinzani vikaamua sasa kusimamisha mgombea mmoja wa kiti cha Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ninajua kila chama kina sera na itikadi zake lakini ninachosema hapa ni kuona vyama hivi vikimsapoti mgombea mmoja kwa kumpigia kampeni,jaribu kufikiria kama CHADEMA,NCCR-MAGEUZI,TLP,UDP,CUF,CCJ(ikipata usajili),the list is going on...vikiamua kumsapoti mgombea mmoja kwa dhati kabisa,ninauhakika tutashuhudia ushindani wa kweli kwenye kumpata Raisi na kwa kiasi fulani Tanzania tutakuwa tumepiga hatua kwenye demokrasia.
Hali hii itawafanya watu wengi wajitokeze kupiga kura either kutaka kufanya madiliko katika uongozi wa juu au kumfanya kiongozi mtetezi kumalizia kipindi kingine cha miaka mitano,Hili litawezekana tu kama viongozi wa vyama hivi wakiamua kwa dhati na kuacha ubinafsi..Sijui wewe unalionaje hili?
Wakati huohuo lingekuwa jambo la busara sana kama vyama vya upinzani vikaamua sasa kusimamisha mgombea mmoja wa kiti cha Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ninajua kila chama kina sera na itikadi zake lakini ninachosema hapa ni kuona vyama hivi vikimsapoti mgombea mmoja kwa kumpigia kampeni,jaribu kufikiria kama CHADEMA,NCCR-MAGEUZI,TLP,UDP,CUF,CCJ(ikipata usajili),the list is going on...vikiamua kumsapoti mgombea mmoja kwa dhati kabisa,ninauhakika tutashuhudia ushindani wa kweli kwenye kumpata Raisi na kwa kiasi fulani Tanzania tutakuwa tumepiga hatua kwenye demokrasia.
Hali hii itawafanya watu wengi wajitokeze kupiga kura either kutaka kufanya madiliko katika uongozi wa juu au kumfanya kiongozi mtetezi kumalizia kipindi kingine cha miaka mitano,Hili litawezekana tu kama viongozi wa vyama hivi wakiamua kwa dhati na kuacha ubinafsi..Sijui wewe unalionaje hili?