Baada ya kuona mkutano wa Wilfred Lwakatare aliokuwa akizungumza na wanachama wa Chadema kata ya Kashai mjini Bukoba nimeamini kwamba Chadema Bukoba mjini bado ni tishio kabisa. Angalia na picha hizi hapa chini:
Siku ya jumamosi chama cha wananchi cuf walikuwa na mkutano katika viwanja vya uhuru mjini Bukoba.
Kabla ya mkutano walifanya maandamano katika vitongoji vya mji wa Bukoba lakini nilivyoona mambo hayawaendei vizuri. Picha hizi hapa chini zinaonyesha picha kamili ya CUF walivyobaki Bukoba baada ya Wilfred Lwakatare kujitenga nayo
Na hii hapa chini inaonyesha maandamano ya CUF mwaka 2009 akiwapo na Wilfred Lwakatare kama kiongozi wao. Na ni siku hiyo aliyotangaza kujiondoa Cuf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.