Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 597
COPPY AND PASTE..FROM MATHIAS LYAMUNDA ....BAHI DODOMA
Leo kwa utashi wangu MATHIAS LYAMUNDA mwenyewe na baada ya kutafakari kwa kina na kwa muda mrefu sana. Nimeamua kujiunga na Chama Cha Mapinduzi. Niwashukuru Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Bahi, kata ya Makanda, wajumbe wa halimashauri kuu ya kata ya Makanda kwa kunipokea leo. Ninawaahidi ushirikiano wa dhati katika kukijenga Chama chetu pamoja na nchi yetu, tukiongozwa na Rais wetu wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli. Nimekuwa mwanachama wa Chadema toka mwaka 2010, Nimekuwa Mwenyekiti wa wilaya Bahi 2014, Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa, Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa na Mgombea Ubunge Jimbo la Bahi 2015
Leo kwa utashi wangu MATHIAS LYAMUNDA mwenyewe na baada ya kutafakari kwa kina na kwa muda mrefu sana. Nimeamua kujiunga na Chama Cha Mapinduzi. Niwashukuru Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Bahi, kata ya Makanda, wajumbe wa halimashauri kuu ya kata ya Makanda kwa kunipokea leo. Ninawaahidi ushirikiano wa dhati katika kukijenga Chama chetu pamoja na nchi yetu, tukiongozwa na Rais wetu wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli. Nimekuwa mwanachama wa Chadema toka mwaka 2010, Nimekuwa Mwenyekiti wa wilaya Bahi 2014, Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa, Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa na Mgombea Ubunge Jimbo la Bahi 2015