Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,997
- 103,379
Tuma tu ingie kwenye account ya Mbowe, wafuasi wa Chadema wameishaachiwa.
Tena hata kama account ya Mbowe imejaa iingie kwenye aacount ya mkewe.
Tuma tu ingie kwenye account ya Mbowe, wafuasi wa Chadema wameishaachiwa.
Umchangie nani wewe njaa kali? Umeshaona mbu akamchangia binadamu damu?Wanaukumbi.
Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.
Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.
Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.
View attachment 1859019
Tuondolee upumbavu wako wa kiccm hapaChadema na Arsenal ni kama ndugu, wote wana hali mbaya.
Hv chadema wakishika nchi, wataanza kujenga chama chao au nchi.?
Kwani umelazimishwa changa, ya chadema waachie wanachadema, jikite kumshauri mwenyekiti wako avunje bunge ,Halina msaada kwake na KWA taifaHii ngumu sana yani watu wanajitapa kutengeneza tatizo kisha wanapitisha bakuli la michango wakati wao ndiyo walijitapa kuwa wembe ulele watautumia.
Nenda kachomwe chanjo na ndugu yako MbomboweTuondolee upumbavu wako wa kiccm hapa
Kuna mtu kakuomba uchange? Ni hiariWanaukumbi.
Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.
Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.
Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.
View attachment 1859019
Wapare akili hazijawahi kukaa sawa.Nenda kachomwe chanjo na ndugu yako Mbombowe
Uliwahi kumchangia nani weye mwanakuchanga?Wanaukumbi.
Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.
Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.
Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.
View attachment 1859019
Shauri njia nyingine ya kupata pesa.Wanaukumbi.
Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.
Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.
Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.
View attachment 1859019
Sawa bozembaWapare akili hazijawahi kukaa sawa.
Nenda Chatto kachange kujenga kibanda cha Kayafa.Hii ngumu sana yani watu wanajitapa kutengeneza tatizo kisha wanapitisha bakuli la michango wakati wao ndiyo walijitapa kuwa wembe ulele watautumia.
Kinapoteaje wakati kilishakufa wakati wa Shujaa fake Mwandazake bin Kayafa?Hiki chama kinaenda kupotea kabisa kina watu wa hovyo kabisa kama huyo alietoka gerezani juzi huko Mbeya ni chizi kabisa anapewa fursa ya kuongea anaongea matusi mazito hadi aibu sasa sijui tunaelekea wapi na hizi siasa mbovu zisizo na stara.
Umewasahau The Boss, The Big Show na Kibibi.Umefufuka baada ya Rais Muisilamu kushika dola. Ulipotea tangu JK astaafu. Karibu tena. Mama anaupiga mwingi hasa
Linazuia mikutano ya ndani kwa sheria gani?Jeshi la Polisi ndilo lenye jukumu la ulinzi na usalama na kuhakikisha usalama wa raia na mali zao.
Jeshi la Polisi linapotoa TAMKO kuzuia mikutano ya kisiasa kiharamu; ni vema vyama vya siasa vikatumia njia za kisheria siyo kukaidi huku wakijua fika watakamatwa!
Wewe kachomwe mjegejeo naona uko kwenye heat unatafuta bashaNenda kachomwe chanjo na ndugu yako Mbombowe