CHADEMA badilikeni kila siku tunawachangia pesa kwa mtindo huu

Wanaukumbi.

Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.

Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.

Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.

View attachment 1859019
Umchangie nani wewe njaa kali? Umeshaona mbu akamchangia binadamu damu?
 
Wanaukumbi.

Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.

Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.

Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.

View attachment 1859019
Kuna mtu kakuomba uchange? Ni hiari
 
Wanaukumbi.

Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.

Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.

Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.

View attachment 1859019
Uliwahi kumchangia nani weye mwanakuchanga?
 
Wanaukumbi.

Chadema mnapewa onyo kwa barua na Jeshi la Polisi msikusanyike. Mnaiposti barua kwenye Mitandao na kujitapa kwamba tutakusanyika tuone polisi watafanya nini.

Polis wanawakamata; mnarudi kwenye mitandao kuomba michango mtoe waliokamatwa daah hii ni biashara au deal la Mbowe na wenzake.

Chadema badilikeni kila siku kuawachangia pesa watanzania kwa mtindo huu wamechoka.

View attachment 1859019
Shauri njia nyingine ya kupata pesa.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hiki chama kinaenda kupotea kabisa kina watu wa hovyo kabisa kama huyo alietoka gerezani juzi huko Mbeya ni chizi kabisa anapewa fursa ya kuongea anaongea matusi mazito hadi aibu sasa sijui tunaelekea wapi na hizi siasa mbovu zisizo na stara.
Kinapoteaje wakati kilishakufa wakati wa Shujaa fake Mwandazake bin Kayafa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi la Polisi ndilo lenye jukumu la ulinzi na usalama na kuhakikisha usalama wa raia na mali zao.

Jeshi la Polisi linapotoa TAMKO kuzuia mikutano ya kisiasa kiharamu; ni vema vyama vya siasa vikatumia njia za kisheria siyo kukaidi huku wakijua fika watakamatwa!
Linazuia mikutano ya ndani kwa sheria gani?
 
Back
Top Bottom