Chadema baada ya kuwafukuza madiwani wao Arusha sasa wanataka walipwe pesa

wanabodi,

chama cha demokrasia na maendeleo chadema, kimewataka madiwani watano walioshindwa kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama kulipa gharama za kesi hiyo kiasi cha sh15 milioni la sivyo watapelekwa magereza.

Katibu wa chadema mkoa wa arusha, amani golugwa alisema suala la kulipa gharama madiwani hao ni sio la hiyari ni lazima. Madiwani hao ni estomih mallah, john bayo, charles mpanda, reuben ngoi, rehema mohamedi.

Source: Mwananchi septemba 22 2012.

My take...chadema kuweni na ubinadamu madiwani mmewafukuza bado haitoshi mnataka wawalipe pesa.

mkuu vp, ile ahadi yako ya kuwaletea/kuwawekea mawakili toka nje ya nchi umeishia wapi? Au ndo yaleyale. Basi wasaidie kuwalipa hizo gharama.
 
Wanabodi,

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimewataka madiwani watano walioshindwa kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama kulipa gharama za kesi hiyo kiasi cha Sh15 milioni la sivyo watapelekwa magereza.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa alisema suala la kulipa gharama madiwani hao ni sio la hiyari ni lazima. Madiwani hao ni Estomih Mallah, John Bayo, Charles Mpanda, Reuben Ngoi, Rehema Mohamedi.

SOURCE: MWANANCHI SEPTEMBA 22 2012.

My Take...Chadema kuweni na ubinadamu Madiwani mmewafukuza bado haitoshi mnataka wawalipe pesa.

Mkuu to mumuue mwangosi naona kama akili zako zinaruka hivi!!
 
Ni amri ya mahakama. Mbona hii ni kawaida kabisa kwa yeyote kulipa fidia anaposhindwa kesi?...ajabu hapa ni nini? Wao walipofungua kesi halafu wakashinda unafikiri wasingedai fidia, si hivyo tu bali na kurudishiwa uanachama.
 
Wanabodi,

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimewataka madiwani watano walioshindwa kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama kulipa gharama za kesi hiyo kiasi cha Sh15 milioni la sivyo watapelekwa magereza.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa alisema suala la kulipa gharama madiwani hao ni sio la hiyari ni lazima. Madiwani hao ni Estomih Mallah, John Bayo, Charles Mpanda, Reuben Ngoi, Rehema Mohamedi.

SOURCE: MWANANCHI SEPTEMBA 22 2012.

My Take...Chadema kuweni na ubinadamu Madiwani mmewafukuza bado haitoshi mnataka wawalipe pesa.

haya ni maamuzi ya mahakama so siyo ya CDM mnajifanya kuandika na mambo ya sheria hamjui so ukitaka kufanya hivi tafakari kwanza au piga simu tukurekebishie uzi wako.
 
Wewe na CHADEMA tu mpaka kieleweke, yaani humywi, huli, hulali bila kuitaja CDM? cheki hizi;-

- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ywa-na-chadema-jiji-la-mwanza.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...chao-kuna-udikteta-wa-kutisha.html?highlight=By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...auwa-wafuasi-wa-vyama-vingine.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-zenawi-role-model-politician.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...na-chadema-ni-mashaka-makubwa.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ema-na-ubabaishaji-wa-kisiasa.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nu-ujenzi-na-uchukuzi-chadema.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ma-na-mbinu-za-kuchukuwa-dola.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ti-na-mbinu-dhaifu-za-dr-slaa.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-chadema-kwa-kudai-haki-yake.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-chadema-kwa-kudai-haki-yake.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-inazidi-kukidhoofisha-chama.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/habari-...-slaa-from-certificate-to-phd.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ge-wao-kushusha-bei-ya-sukari.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mashariki-hon-sylvester-mhoja.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...chea-tu-dola-15-000-kwa-mwaka.html?highlight=By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kisha-malengo-yenu-ya-kisiasa.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-ya-maendeleo-kwa-taifa-letu.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...e;-kwenye-jahazi-clouds-radio.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...itokeza-kuwania-kumrithi-lema.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kauli-ipi-inastahili-karipio.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ema-sabodo-kaja-na-mbinu-mpya.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nye-baraza-la-mawaziri-kivuli.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bisa-uongozi-ndani-ya-chadema.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kuandaa-maandamano-nchi-nzima.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-chadema-wajitokeza-kwa-wingi.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-mbio-za-kumrithi-lema-arusha.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...iinua-mgongo-bungeni-itakuaje.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nguvu-ya-umma-na-wabunge-23-a.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/chaguzi...-arumeru-kutokana-na-mila-zao.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/chaguzi...ashariki-washindwa-kukubalika.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/chaguzi...-arumeru-kutokana-na-mila-zao.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/chaguzi...ombea-ubunge-jimbo-la-arumeru.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/227009-chadema-ccm-yametimia.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/habari-...adema-wilbroad-slaa-ni-sahihi.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-chadema-waendelea-kufukuzana.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...goodbless-lema-naye-anahusika.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jf-chit...owe-wamekumbatiana-ni-la-nini.html?highlight=By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...jea-mahakamani-kudai-haki-yao.html?highlight= By Ritz
-https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/207825-rasimu-ya-katiba-ya-chadema-haina-uhalali.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ha-wasusia-kikao-cha-madiwani.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/habari-...chadema-kuhusu-katiba-ya-nchi.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ambua-mamlaka-ya-umma-ni-nini.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...eleo-zaidi-mivutano-isiyoisha.html?highlight=By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/habari-...a-kumuunga-mkono-kamanda-lema.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/habari-...-za-dr-slaa-saruji-ishuke-bei.html?highlight= By Ritz
- https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/172673-mods-wekeni-matangazo-kuwasema-vibaya-chadema-ni-marufuku.html?highlight= By Ritz


Hivi huwa unalala kweli mkuu? Nyuzi zote hizi ni wewe tu!!!!!!
 
Wanabodi,

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimewataka madiwani watano walioshindwa kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama kulipa gharama za kesi hiyo kiasi cha Sh15 milioni la sivyo watapelekwa magereza.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa alisema suala la kulipa gharama madiwani hao ni sio la hiyari ni lazima. Madiwani hao ni Estomih Mallah, John Bayo, Charles Mpanda, Reuben Ngoi, Rehema Mohamedi.

SOURCE: MWANANCHI SEPTEMBA 22 2012.

My Take...Chadema kuweni na ubinadamu Madiwani mmewafukuza bado haitoshi mnataka wawalipe pesa.

Jiulize kama CDM ingeshindwa hiyo kesi ya kupanga hao jamaa wangedai shilingi ngapi? Ama unadhani CDM hawakutumia gharama zozote kuendesha kesi hiyo. Tafakari.
 
Wanabodi,

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimewataka madiwani watano walioshindwa kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama kulipa gharama za kesi hiyo kiasi cha Sh15 milioni la sivyo watapelekwa magereza.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa alisema suala la kulipa gharama madiwani hao ni sio la hiyari ni lazima. Madiwani hao ni Estomih Mallah, John Bayo, Charles Mpanda, Reuben Ngoi, Rehema Mohamedi.

SOURCE: MWANANCHI SEPTEMBA 22 2012.

My Take...Chadema kuweni na ubinadamu Madiwani mmewafukuza bado haitoshi mnataka wawalipe pesa.
mi sijui sana sheria lakini sipo kama wewe, ha ha ha ha ha ha ha ha teh teh teh teh teh teh teh teh
 
Mkuu chama,
Makamanda wanataka pesa za madiwani waliowafukuza.

Mkuu Ritz;
Kwani nyumba hazijaisha kujengwa? Unajua siku hizi Chadema imegeuka saccos mtaji umepungua na zile milioni zilizokusanywa na kamanda Lema siku ya dinner vipi wameshasema zimetumika vipi?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh! chama wewe upo USA vipi na wewe umesusia bidhaa zao ha! ha! ha! Ubavu hamna!!!!!!!!!!

Vipi tayari umekula madude? Mbona hueleweki? andika tena akili zikurudi; mkuu Ritz hivi huyu jamaa unamuelewa? jamaa hasikii cha Pele hakiwezi!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz;
Naona kuna pimbi hapa ameweka topic nyingi ulizoanzisha vipi anataka umuongelee shangazi yake? Hawa jamaa washaurini waache madude vipi hawajui hapa ni ukumbi wa siasa?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ni kweli kaka hakuna haja ya kuwadai fedha,kwanza richama rikubwa kuna haja gani ya kuwadai madiwani wao fedha,au ndio kusema wana njaa sana ya pesa.
 
Kweli naipenda JF...wakati mwingine ukikaa na kupitia michango ya nyuma ya watu kama Ritz halafu ukarejea michango yao ya hivi karibuni unabaki tu unatabasamu. Uzuri wa JF ni kwamba tunayoyaandika humu leo hii, yatadumu hata hapo baadaye wengine wetu ama hatupo au hatuna tena uwezo wa kuingia tena humu. Lakini kwa vyovyote vile nina hakika vizazi vijavyo vitakavyo bahatika kupitia humu vitakuwa na maswali mengi tu ya kujiuliza...wapo watakaoshangaa, wapo watakaosikitika, wapo watakaolaani na wapo watakaopata mfadhaiko mkubwa wakisoma michango ya ama waliokuwa wazazi wao ama babu zao. Nitatoa mfano moja tu mdogo ingawaje kuna mingine mikubwa na ya kutisha zaidi...hebu fikiria mwaka ni 2025 mwanae ama mjukuu wake Ritz anaingia humu JF anakutana na hili;
24th February 2012 Wanabodi..
Mwenendo wa kisiasa, kati ya watani wa jadi CCM na Chedema sasa umeanza kuzua mijadala ndani ya jamii. Wananchi wanahoji iko wapi kasi na upepo wa mabadiliko ilikuwa nao Chadema mwaka 2010 na mwaka jana ilikoyeyukia. Huku CCM kilichokuwa kimeanza kudorora sasa kikionekana kupaa zaidi kuliko ilivyotarajiwa na wengi.

Mwamko wa Chadema ulianza kushika kasi mara baada ya Slaa, kuteuliwa kugombea Urais, mwamko huo uliendelea hata baada ya uchaguzi, na hasa baada ya chama hicho kuamua kufanya siasa zake kwa njia ya maandamo mikoa ya Kanda ya Ziwa hadi Nyanda za Juu Kusini.

Wadadisi wa mambo ya kisiasa wameanza kuhoji ni wapi kasi hiyo imeyeyeka ghafla na kukipa nafasi tena CCM kuanza kutamba katika maeneo mbali mbali nchini. Hali hiyo ya kuanza kudorora kwa Chadema imelezwa pia kukikumba chama cha CUF kupoteza mvuto. Chadema inatakiwa ibadili sera zake na falsafa mpya za kuendelea kuwashawishi Watanzania.
Nina hakika huyu mwana/mjukuu atatamani hata kumkana mzazi/babu yake! Jamani tupime tunayoyaandika humu, dunia imebadilika...what you put down in writing today will live to haunt you later!
 
Last edited by a moderator:
@Ritz yupo ndani ya hummer sijui hizi gari zinatoka nchi gani? Mkuu zomba kwi! Kwi! Kwi!

Zama hizo za Jambo Forums kuna mwenzetu mmoja alikuwa anaitwa BRAZA MENaliwahi kuleta habari kamili ya namna lilivyopatikana "hummer" la Mwenyekiti, anaeweza kuzikokoa hizo habari aziweke humu kwa faida ya vijana wa leo.
 
Zama hizo za Jambo Forums kuna mwenzetu mmoja alikuwa anaitwa BRAZA MENaliwahi kuleta habari kamili ya namna lilivyopatikana "hummer" la Mwenyekiti, anaeweza kuzikokoa hizo habari aziweke humu kwa faida ya vijana wa leo.
Ufaransa imeongezeka kwenye ile list ya nchi tutakazo susia bidhaa zake. Hata hivi vyandarua tulivyopewa kwa kubadilishana na madini lazima tuvisusie nasikia vimetoka USA
 
Back
Top Bottom