Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
Yaani wewe unajiona ccm kuliko Mwalimu Nyerere,Hallace Kolimba wewe kweli hujui kituNdugu yangu, wewe bado, jitahidi, endelea kukomaa komaa. Ila kitu kimoja ulichodhihirisha ni kuwa hujui kitu, hujui chochote kuhusu CHADEMA. Yaani wewe ni chadema bora kuliko Selasini? Kuliko alivyokuwa Meya Kalisti? Wewe ni bora kuliko Bananga au kuliko alivyokuwa Makamu Mwenyekiti mzee Arfi? Masikini weeee, badala ya siasa, wewe unafanya hasira. Huu mchezo hautaki hasira!