Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Kuanzia kesho Jumapili tarehe 8.1.2012 hadi 12.1.2012,tutafanya mikutano ya hadhara kwenye kata tano,mikutano hiyo inalenga kujiimarisha zaidi,na kuzungumza na wananchi,kuhus dira ya chama 2012,pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi.Wazungumzaji,ni Viongozi wa chama wilaya,Mbunge Lema,pamoja na madiwani,ratiba ni hivi
Tarehe 8.1.2012 kata ya Elerai
Tarehe 9.1.2012 _Kimandolu
Tarehe 10.1.2012 _Kaloleni
Tarehe 11.1.2012 Themi
Tarehe 12.1.2012 Daraja mbili
Nawasilisha
Tarehe 8.1.2012 kata ya Elerai
Tarehe 9.1.2012 _Kimandolu
Tarehe 10.1.2012 _Kaloleni
Tarehe 11.1.2012 Themi
Tarehe 12.1.2012 Daraja mbili
Nawasilisha