Chadema arusha kuchagua meya.

Wikiliki

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
528
139
Baada ya CCM kufanya uchaguzi wa kibabe wa meya na naibu wake Arusha ambao ulilaaniwa na kupingwa na watu wengi leo madiwani wa chama cha CHADEMA Arusha watakutana na kuchagua meya na naibu wake. Source: Magazeti mbalimbali ya leo.
 
Back
Top Bottom