Kilimo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 777
- 192
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ndani ya CDM kuna mapandikizi ambao kiukweli ni mamluki wa CCM, hivi itakuwaje 2015 kabla tu ya uchaguzi ambapo baadhi ya viongozi/kiongozi wa CDM watajiondoa/atajiondoa ilimradi akidhoofishe CDM ktk uchaguzi hasa uchaguzi wa rais, hivi ni taadhari gani inapaswa kuchukuliwa ndani ya CDM?? kwa wale wapenda mabadiliko toeni mapendekezo yenu ili yasaidie vyama vyote vya upinzani kwa mustakabali wa nchi yetu (hii ni casestudy kwa CDM ili isaidie na kwa vyama vingine vya upinzani)