CHADEMA: Agenda za Chama Vs Agenda Binafsi.

Kuna kabila moja wanasemaga "kusema ingine, kutenda ingine". Chadema wanafit kwenye description hiyo.

Kutwa wanapiga makelele lakini hata maamuzi yao tu wanashindwa kuyasimamia!!!
 
Unaumwa ugonjwa uitwao "OBSESSIVE-COMPULSIVE DISORDER". Umbea uko wapi hapo bandugu!,..... Ndo madhara ya kutumia makalio kufikiri badala ya ubongo!

Huyo ni mtumishi wa Josephine Mushumbusi, lazima kwanza aandike kitu halafu amuulize Josephine anatakiwa kusimamia hoja gani. Josephine akishamjibu utamuoana atakavyorudi na ubishi teletele hapa.
 
Betlehem, kuna kitu unachokijenga kwa mbali ila naona bado hujafanikiwa. Kwa siku za karibuni (hasa baada ya sakata la kuvuliwa vyeo akina Zitto) umejitokeza na makala nyingi zenye malengo yasiyo wazi sana. Umeshupalia kuwa njia pekee na sahihi (kwa maoni yako) ni Zitto kusamehewa (ikiwezekana arudishiwe vyeo vyake. Pia umekuwa ukiupiga vijembe uongozi wa juu wa CHADEMA.

Nakukumbuka vizuri kuwa ulikuwa CCM ila kwa hiari ya moyo wako ukaachana na CCM ukaingia CHADEMA. Nafahamu pia kuwa tofuati ya mitazamo, hoja, weledi, uzoefu ni nyenzo muhimu katika kujenga jamii yenye kuheshimiana na pia demokrasia imara ndani ya vyama/taasisi na Taifa lakini wewe ukipingwa kwa hoja bado unarudia yale yale na kwa pembeni unawananga wanaokupinga.

Nije kwenye mada yako ya leo. Ukiambiwa uthibitishe hayo uliyoandika (beyond reasonable doubts) utaweza? Kama huwezi basi kaa kimya maana nayo ni busara.

1) Hiyo hoja ya visima, really are you serious? Mimi kama raia naweza kuwa na mchango wangu kwa jamii nikawapa CHADEMA (kama daraja tu).....sasa inageukaje kuwa hoja kubwa kuliko wale wenye kuiba rasilimali za mabilioni? Sijawahi kumsikia Sabodo (au mwakilishi wake) akilalimikia hili suala la visima. NI masalia tu ndio niliowahi kuwasikia (wakiungwa mkono na wapambe wao wa CCM).

2) Ajenda ya "kupinga utoroshwaji wa fedha nje", hata Zitto atakushangaa kwani hajawahi kuwa na ajenda kama hiyo. Naona umelazimisha dots kwa kufinyanga finyanga mambo. Zitto alitaka platform ya kisiasa ktk suala la mabilioni ya Uswizi; muda huu lakini ni yeye tu aneyejua nini kilichokuwa nyuma ya pazia na hali halisi ujao.

3)Ajenda ya "Wabunge wasiwe Masikini ni ya hovyo sijapata kuona/kusikia; umeitoa wapi ajenda hiyo? Kwa nini unawalisha watu maneno? Je maoni yako ndio ajenda? Unataka kusema kila neno linalotamkwa na mbunge au kiongozi wa CHADEMA ni ajenda?

Kwa msingi huo huo unaojenga hebu jiulize, Hansard ya bunge ina ajenda ngapi?

Naamini unajua vizuri ila tu umeamua kupotosha au kutojali ndio maana ukaandika uliyoyaandika.

Lema ni nani hata athubutu kusema wabunge wasiwe maskinni? Ikiwa CCM ina wabunge wa zaidi ya miaka 25 na bado ni maskini je Lema ambaye ndio kwanza ana miaka 3 ataanzia wapi na hilo?
 
.......

Nakukumbuka vizuri kuwa ulikuwa CCM ila kwa hiari ya moyo wako ukaachana na CCM ukaingia CHADEMA. Nafahamu pia kuwa tofuati ya mitazamo, hoja, weledi, uzoefu ni nyenzo muhimu katika kujenga jamii yenye kuheshimiana na pia demokrasia imara ndani ya vyama/taasisi na Taifa lakini wewe ukipingwa kwa hoja bado unarudia yale yale na kwa pembeni unawananga wanaokupinga.

........

Ajenda ya "Wabunge wasiwe Masikini ni ya hovyo sijapata kuona/kusikia; umeitoa wapi ajenda hiyo? Kwa nini unawalisha watu maneno? Je maoni yako ndio ajenda? Unataka kusema kila neno linalotamkwa na mbunge au kiongozi wa CHADEMA ni ajenda?

Kwa msingi huo huo unaojenga hebu jiulize, Hansard ya bunge ina ajenda ngapi?

Naamini unajua vizuri ila tu umeamua kupotosha au kutojali ndio maana ukaandika uliyoyaandika.
......
Nilitaka nimweleze haya haya...huyu jamaa inabidi atazamwe kwa macho matatu kwa kila hoja anayoleta jukwaani.
 
Betlehem, kuna kitu unachokijenga kwa mbali ila naona bado hujafanikiwa. Kwa siku za karibuni (hasa baada ya sakata la kuvuliwa vyeo akina Zitto) umejitokeza na makala nyingi zenye malengo yasiyo wazi sana. Umeshupalia kuwa njia pekee na sahihi (kwa maoni yako) ni Zitto kusamehewa (ikiwezekana arudishiwe vyeo vyake. Pia umekuwa ukiupiga vijembe uongozi wa juu wa CHADEMA.

Nakukumbuka vizuri kuwa ulikuwa CCM ila kwa hiari ya moyo wako ukaachana na CCM ukaingia CHADEMA. Nafahamu pia kuwa tofuati ya mitazamo, hoja, weledi, uzoefu ni nyenzo muhimu katika kujenga jamii yenye kuheshimiana na pia demokrasia imara ndani ya vyama/taasisi na Taifa lakini wewe ukipingwa kwa hoja bado unarudia yale yale na kwa pembeni unawananga wanaokupinga.

Nije kwenye mada yako ya leo. Ukiambiwa uthibitishe hayo uliyoandika (beyond reasonable doubts) utaweza? Kama huwezi basi kaa kimya maana nayo ni busara.

1) Hiyo hoja ya visima, really are you serious? Mimi kama raia naweza kuwa na mchango wangu kwa jamii nikawapa CHADEMA (kama daraja tu).....sasa inageukaje kuwa hoja kubwa kuliko wale wenye kuiba rasilimali za mabilioni? Sijawahi kumsikia Sabodo (au mwakilishi wake) akilalimikia hili suala la visima. NI masalia tu ndio niliowahi kuwasikia (wakiungwa mkono na wapambe wao wa CCM).

2) Ajenda ya "kupinga utoroshwaji wa fedha nje", hata Zitto atakushangaa kwani hajawahi kuwa na ajenda kama hiyo. Naona umelazimisha dots kwa kufinyanga finyanga mambo. Zitto alitaka platform ya kisiasa ktk suala la mabilioni ya Uswizi; muda huu lakini ni yeye tu aneyejua nini kilichokuwa nyuma ya pazia na hali halisi ujao.

3)Ajenda ya "Wabunge wasiwe Masikini ni ya hovyo sijapata kuona/kusikia; umeitoa wapi ajenda hiyo? Kwa nini unawalisha watu maneno? Je maoni yako ndio ajenda? Unataka kusema kila neno linalotamkwa na mbunge au kiongozi wa CHADEMA ni ajenda?

Kwa msingi huo huo unaojenga hebu jiulize, Hansard ya bunge ina ajenda ngapi?

Naamini unajua vizuri ila tu umeamua kupotosha au kutojali ndio maana ukaandika uliyoyaandika.

Lema ni nani hata athubutu kusema wabunge wasiwe maskinni? Ikiwa CCM ina wabunge wa zaidi ya miaka 25 na bado ni maskini je Lema ambaye ndio kwanza ana miaka 3 ataanzia wapi na hilo?
Mkuu, mbona ajenda ya kuhalalisha gongo hujaitolea ufafanuzi?
 
uhuru wa maoni imekuwa mtihani tena? Dah! Haya bwana.

Ni kwa kigezo hiki hiki cha uhuru wa maoni ningependa maoni yako hapa jukwaani yatazamwe kwa macho matatu. Lengo ni jema tu kuhakikisha kuwa unatoa maoni ambayo umeyasanifu vya kutosha bila kuathiri dhamira safi ya kuboresha maisha ya watanzania
 
Ndugu Ronal Reagan,
Kuna uzi ambao ulinijibu mabo kadhaa na sikukujibu tena chochote.Sio kwamba niliridhika na majibu yako ila kuna vitu sikutaka kuvizungumzia kwa wakati huo na kuna vitu ambavyo nilijua hata wewe kwa wakati huo huna majibu yake.Kwa sasa nitakujibu baadhi ya mambo.

1.KUHUSU KITU NINACHOKIJENGA KWA MBALI LAKINI SIJAFANIKIWA.
Ndugu Ronal Reagan , nakushauri kama kuna kitu unachokiona na una ushahidi nacho uwe muwazi.Hii itatusaidia kuepuka kuishio kwa kuhisiana.Mara njingi hisia zinampelekea mtu katika upotevuu.Kuongozwa na kuhisi hisi kunatupelekea katika kuchukua hatua zisizo sahihi.

2.MAKALA ZENYE MALENGO YASIYO WAZI.
Ndugu Ronal Reagan , unaposema nimeleta makala nyingi zenye malengo yasiyo wazi, nijuavyo mimi lengo la mijadala humu ni watu ku share taarifa, mawazo, uzoefu na kujadiliana na ikibidi kuulizana maswali.Sasa kama kuna mada ambayo niliileta ikiwa na malengo yasiyoeleweka, kwanza ingependeza kama ungeweka wazi kwamba malengo hayakueleweka kwa nani, na mlengwa wa mada alikuwa ni nani,na kama hakuelewa kwa nini hakuuliza kwenye mada husika.Pengine ningeomba, kwa kuwa naamini kabisa kwamba una nia njema, basi ungeniambia ni mada gani hizo zisizoeleweka malengo yake na hazieleweki wapi na kwa nani.Halafu baada ya hapo tutakwenda vizuri tu.

3.KUHUSU ZITTO KUSAMEHEWA.
kwanza mimi sijawahi kusema zitto asamehewe.Mimi msimamo wangu na ushauri wangu ulikuwa ni viongozi kukutana na kujadiliana hadi wafikie usuluhishi.Hata hivyo naamini kama mtanzania bila kujali chama nilichopo, ni jambo la kiadilifu tu kutoa maoni yangu kwa vile ninavyoona.Sasa sijui kwa hapo kosa langu ni nini hasa.Labda unaweza kunielewesha.

4.KUHUSU KWAMBA NILIKUWA CCM.
Ndugu Ronal Reagan , kwanza nina uhakiwa kwamba unajua kwamba sisi sote ni watanzania bila kujali vyama vyetu.Naamini unajua binadamu ni zaidi ya vyama vya siasa hivyo mtu kuwa ccm, au kuwa na historia ya kuwa ccm hakumpotezei haki zake za kibinadamu au za kiraia.Kadhaliwa wewe unafahamu vizuri kwamba chama cha kwanza nchi hii kilikuwa ni ccm, kwa hiyo hata waasisi wa vyama vya upinzani wametokea huko.Kwanini mimi ninyanyapaliwe kwa kuwa tu niliwahi kuwa mwana ccm? kusema kweli ni jambo linaloudhi sana kukuta mtu badala ya kuangalia hoja basi anaanza kumchambua mleta mada na kisha kumfanyia "character assassination" inasikitisha sana.

5. NIKIPINGWA KWA HOJA NARUDIA YALE YALE.
Ndugu Ronal Reagan , napenda kama ungenithibitishia kwamba nikipingwa kwa hoja narudia yale yale kwa mifano hai.Mimi nishawahi kuanzisha mijadala kadhaa humu na watu wakanishawishi mpaka ikafikia hatua nikakubali na mjadala ukaisha. Mfano rejea uzi "Siasa sio ajira; waliodhani ni ajira wameangukia pua". sasa ungenionesha ni wapi ambapo nimepewa hoja halafu nikarudia ili tuweze kuangalia mantiki.Kama ni suala la zitto kama ulivyosema, suala hilo nimeuliza zaidi ya mara 30, kwamba ni nani mwenye ushahidi wa kwamba zitto kanunuliwa na ccm (msaliti), ni muhaini n.k hakuna alienipa zaidi yakuambiwa mimi ni zitto team, nimetuma na ccm, ni mburura, ni masalia n.k. Naomba unipe hoja ambayo nimejibiwa kwa hoja halafu nikakataa bila sababu na ukinionesha nitaomba radhi na kujirudi.

6.KUHUSU KUTHIBITISHA NILIYOYAANDIKA HAPA;
Mkuu, niliyoandika hapa ni mambo ya wazi kabisa na sio shutuma.Nilichokifanya nikuchukua habari mbalimbali kutoka vyanzo mbali mballi na kuzi summarize. kama kuna jambo unadhani ni nimeliweka kwa makosa basi unaweza kunisahihisha kwa sababu lengo ni kuboresha na si kusutana.

7.KUHUSU SUALA LA VISIMA.
Ndugu Ronal Reagan , unasema nalalamika, silalamiki na wala sina haja ya kulalamika. nasema tu kile kinachoonekana. Nilifikiri kama hukuelewa lengo la uzi wangu huu pengine ungeniuliza kwa uwazi au hata kwa pm lakini kinyume chake unasema nalalamikia visima kitu ambacho sio sahihi.Ikumbuke kwamba jamaa aliongea (sabodo) aliongea kwenye vyombo vya habari kwamba hela ijenge visima n.k pengine ungeniuliza sasa concept ya kugusia jambo hili ni nini kama hukuelewa.

8..KUHUSU MASALIA.
Kwanza kwa imani yangu mimi si sahihhi kutetea hoja kwa kuwa fulani anaitetea na kutoitetea kwa kuwa fulani haitetei na kinyume chake. Na amini mtu mwenye busara ni yule anayesimamia kile anachoamini kwamba ndicho sahihi.utaratibu wa mtu akitoa hoja ya aina fulani anaitwa majina ya kebehi kama vile masalia msaliti n.k ni tabia ya kihuni na inayoudhi.Naamini si sahihi kuyabana mawazo ya mtu kwa kumuita majina ya kuudhi tena kwa makusudi.Kinyume chake mimi naamini ni propaganda chafu na za kupangwa na huo unabakia kuwa msimamo wangu.

9.KUHUSU LEMA NA SUALA LA POSHO/UMASIKINI/UTAJIRI.

Jambo ninalolisema ni common na limejadiliwa sana na niliamini kila mtu analijua na ndio maana wala sikufafanua sana.Lema alisema si sahihi kusema kwamba kwa kuwa wananchi ni masikini basi na kiongozi awe masikini.Ni sawa na kusema kwamba kwa kuwa wananchi hawana maji basi kiongozi naye asiwe na maji. (ukitaka ufafanuzi zaidi wa hoja ya lema nenda kwenye ukurasa wake)

10.KUHUSU KUWANANGA NA KUWAPIGA VIJEMBE VIONGOZI.

Napenda kusema kwa uwazi kabisa kwamba sijawahi kumnanga, wala kumkashhhifu kiongozi yeyote.Kama nishawahi kufanya hivyo, nikumbushe nami nitamuomba radhi bila shida.

11.KUHUSU AGENDA.

Ndugu Ronal Reagan , ninaposema agenda jkwa hapa nakusudia hoja.Sasa llabda useme kuna mtu nimembambikia hoja hapo juu ili nijisahihishe.

12.KUHUSU HOJA YA UTOROSHWAJI WA FEDHA NJE.
Nadhani kama wewe unasema si hoja ya zitto basi ni suala la mjadala maana mimi nimefuatilia watu wengi wakidai kilichomponza zitto ni kuibeba hiyo ajenda kama yake bbadala ya kuibeba kama agenda ya chama.hata hivyo ni suala la mjadala.fuatilia utaona mjadala kuhusu suala hilo.

MWISHO.
ndungu Ronal Reagan , mimi sio kiongozi wala msemaji wa chama, kwa hiyo ninachoongea humu ni kutokana na maoni yangu na taarifa nilizo nazo tu hivyo si lazma kiwe sahihi.Hivyo unapoona si sahihi badala ya kunilaumu, basi unaweza kusahihisha na mjadala ukaenndelea.Mimi sina hati miliki ya mijadala wala hoja humu.

Nakutakia usiku mwema ndugu Ronal Reagan.
 
ni kwa kigezo hiki hiki cha uhuru wa maoni ningependa maoni yako hapa jukwaani yatazamwe kwa macho matatu. Lengo ni jema tu kuhakikisha kuwa unatoa maoni ambayo umeyasanifu vya kutosha bila kuathiri dhamira safi ya kuboresha maisha ya watanzania
chamsingi ni "good will" ndugu yangu. Jambo hilo linapokosekana ndipo kazi inapokuja.
 
Betlehem, kuna kitu unachokijenga kwa mbali ila naona bado hujafanikiwa. Kwa siku za karibuni (hasa baada ya sakata la kuvuliwa vyeo akina Zitto) umejitokeza na makala nyingi zenye malengo yasiyo wazi sana. Umeshupalia kuwa njia pekee na sahihi (kwa maoni yako) ni Zitto kusamehewa (ikiwezekana arudishiwe vyeo vyake. Pia umekuwa ukiupiga vijembe uongozi wa juu wa CHADEMA.

Nakukumbuka vizuri kuwa ulikuwa CCM ila kwa hiari ya moyo wako ukaachana na CCM ukaingia CHADEMA. Nafahamu pia kuwa tofuati ya mitazamo, hoja, weledi, uzoefu ni nyenzo muhimu katika kujenga jamii yenye kuheshimiana na pia demokrasia imara ndani ya vyama/taasisi na Taifa lakini wewe ukipingwa kwa hoja bado unarudia yale yale na kwa pembeni unawananga wanaokupinga.

Nije kwenye mada yako ya leo. Ukiambiwa uthibitishe hayo uliyoandika (beyond reasonable doubts) utaweza? Kama huwezi basi kaa kimya maana nayo ni busara.

1) Hiyo hoja ya visima, really are you serious? Mimi kama raia naweza kuwa na mchango wangu kwa jamii nikawapa CHADEMA (kama daraja tu).....sasa inageukaje kuwa hoja kubwa kuliko wale wenye kuiba rasilimali za mabilioni? Sijawahi kumsikia Sabodo (au mwakilishi wake) akilalimikia hili suala la visima. NI masalia tu ndio niliowahi kuwasikia (wakiungwa mkono na wapambe wao wa CCM).

2) Ajenda ya "kupinga utoroshwaji wa fedha nje", hata Zitto atakushangaa kwani hajawahi kuwa na ajenda kama hiyo. Naona umelazimisha dots kwa kufinyanga finyanga mambo. Zitto alitaka platform ya kisiasa ktk suala la mabilioni ya Uswizi; muda huu lakini ni yeye tu aneyejua nini kilichokuwa nyuma ya pazia na hali halisi ujao.

3)Ajenda ya "Wabunge wasiwe Masikini ni ya hovyo sijapata kuona/kusikia; umeitoa wapi ajenda hiyo? Kwa nini unawalisha watu maneno? Je maoni yako ndio ajenda? Unataka kusema kila neno linalotamkwa na mbunge au kiongozi wa CHADEMA ni ajenda?

Kwa msingi huo huo unaojenga hebu jiulize, Hansard ya bunge ina ajenda ngapi?

Naamini unajua vizuri ila tu umeamua kupotosha au kutojali ndio maana ukaandika uliyoyaandika.

Lema ni nani hata athubutu kusema wabunge wasiwe maskinni? Ikiwa CCM ina wabunge wa zaidi ya miaka 25 na bado ni maskini je Lema ambaye ndio kwanza ana miaka 3 ataanzia wapi na hilo?

Kila kitu mbon kiko bayana, unataka kuthinitishiwa nini?

Umeviona visima vilivyochimbwa kwa pesa za Sabodo kwa Chadema?

Hujasikia sera ya kuuza gongo?
 
Back
Top Bottom