Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Nawashauri mapema kabisa muanze zoezi la kufuatilia kujua picha na majina ya wagombea na vyama vyao katika karatasi za kupigia kura.
Nasema hivi kwasababu mnaweza kukuta kuna wagombea msiowatambua na mkichelewa watawambia muda umeshapita hizo karatasi hawawezi kuzibadilisha tena.
Vile vile iulizeni Tume kwa maandishi kama kuna mtu amewapelekea document yoyote ile akidai ni kutoka kwenye vyama vyenu ikimuidhinisha kugombea nafasi yoyoye ile kwa sasa.
Nawaahauri waandikieni Tume barua mapema kabisa na nakala mzisambaze kwenye vyombo vya habari.
Mkichelewa mnaweza shangaa karatasi za kupigia kura zina wagombea wa vyama vyenu na siku ya uchaguzi mtashangaa na kura wamepigiwa.
Hili nililihisi mara tu baada ya nyinyi kutangaza kususia uchaguzi.
Tambueni Ligi hainogi bila uwepo wa Yanga au Simba na yoyote atakaeishinda hapo hawezi kuwa na raha kama mmoja anakosekana.
Nafikiri mmenielewa.
Nasema hivi kwasababu mnaweza kukuta kuna wagombea msiowatambua na mkichelewa watawambia muda umeshapita hizo karatasi hawawezi kuzibadilisha tena.
Vile vile iulizeni Tume kwa maandishi kama kuna mtu amewapelekea document yoyote ile akidai ni kutoka kwenye vyama vyenu ikimuidhinisha kugombea nafasi yoyoye ile kwa sasa.
Nawaahauri waandikieni Tume barua mapema kabisa na nakala mzisambaze kwenye vyombo vya habari.
Mkichelewa mnaweza shangaa karatasi za kupigia kura zina wagombea wa vyama vyenu na siku ya uchaguzi mtashangaa na kura wamepigiwa.
Hili nililihisi mara tu baada ya nyinyi kutangaza kususia uchaguzi.
Tambueni Ligi hainogi bila uwepo wa Yanga au Simba na yoyote atakaeishinda hapo hawezi kuwa na raha kama mmoja anakosekana.
Nafikiri mmenielewa.