Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
CHADEMA ni chama kinachojinasibu kufuata demokrasia na haki si afya kwa wanachama wanakata rufaa ndani ya chama mnataka mchukue mwaka mmoja kutolea maamuzi hii siyo haki.
Au mnataka kuigeuza ajenda ya kisiasa maana nimeona baadhi ya wanachadema wanasema Rais Samia Suluhu alitolee tamko hili seriously? Hebu tuwe serious basi kwanini Rais alitolee tamko jambo ambalo hata chama hakijafanya uamuzi wa mwisho? Vipi leo Samia au bunge liwafukuze ubunge kina Mdee halafu baadaye washinde rufaa zao kwenye chama? Mtaomba wawarejeshe? Halafu nani ana uhakika Kama Spika amepewa barua za kuwafukuza hao wanachama? Na chadema haiwezi kupeleka barua bungeni wakati imewapa nafasi ya kukata rufaa zao.
Kiufupi akina Mdee ni wabunge wa chadema mpaka chama kitakapofanya maamuzi ya mwisho, maamuzi ambayo chama hakitaki kuyafanya mpaka sasa
Au mnataka kuigeuza ajenda ya kisiasa maana nimeona baadhi ya wanachadema wanasema Rais Samia Suluhu alitolee tamko hili seriously? Hebu tuwe serious basi kwanini Rais alitolee tamko jambo ambalo hata chama hakijafanya uamuzi wa mwisho? Vipi leo Samia au bunge liwafukuze ubunge kina Mdee halafu baadaye washinde rufaa zao kwenye chama? Mtaomba wawarejeshe? Halafu nani ana uhakika Kama Spika amepewa barua za kuwafukuza hao wanachama? Na chadema haiwezi kupeleka barua bungeni wakati imewapa nafasi ya kukata rufaa zao.
Kiufupi akina Mdee ni wabunge wa chadema mpaka chama kitakapofanya maamuzi ya mwisho, maamuzi ambayo chama hakitaki kuyafanya mpaka sasa