CHADEMA acheni woga na kutafuta huruma, nini maana ya matumizi ya maneno haya?

CHADEMA baada ya kuona hali si shwari na kuwa kwenye maji ya shingo, wameanza matumizi ya maneno ya 'kujifariji' ili wapate huruma ya wananchi.

Kumbukumbu zangu zinasema CHADEMA ni chama cha vuguvugu, yani 'mikikimikiki ya mabadiliko' ndio moto wao huu, sasa iweje leo chama hiki kianze kutumia maneno ya huruma na upole?

Utakuta siku hizi katika matamko ya CHADEMA wameweka porojo zao nyingi halafu mwisho wanamaliza kwa kuandika "TUMEANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU", sasa hii ndio nini?

CHADEMA niwakumbushe, hapa hatufanyi kazi ya kanisa wala msikiti, tupo hapa kufanya siasa, hakuna habari ya kutafuta huruma kwa wananchi hapa, kwahiyo hakuna tija yoyote kutumia maneno hayo kwenye matamko yenu dharimu.

Kachukue buku saba umeifurahisha kamati ya Lumumba.
 
CHADEMA baada ya kuona hali si shwari na kuwa kwenye maji ya shingo, wameanza matumizi ya maneno ya 'kujifariji' ili wapate huruma ya wananchi.

Kumbukumbu zangu zinasema CHADEMA ni chama cha vuguvugu, yani 'mikikimikiki ya mabadiliko' ndio moto wao huu, sasa iweje leo chama hiki kianze kutumia maneno ya huruma na upole?

Utakuta siku hizi katika matamko ya CHADEMA wameweka porojo zao nyingi halafu mwisho wanamaliza kwa kuandika "TUMEANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU", sasa hii ndio nini?

CHADEMA niwakumbushe, hapa hatufanyi kazi ya kanisa wala msikiti, tupo hapa kufanya siasa, hakuna habari ya kutafuta huruma kwa wananchi hapa, kwahiyo hakuna tija yoyote kutumia maneno hayo kwenye matamko yenu dharimu.

Hamy d hapa hawatafuti huruma kwa wananchi wanatafuta huruma kwa Mungu, huu ujumbe ni mzuri sana kuutumia hata mimi ninasema "naaza na Mungu nitamaliza na Mungu"
 
Lazma uuogope msemo wa "TULIANZA NA MUNGU TUNAMALIZA NA MUNGU" kama uko CCM maana MUNGU hatangaman na WAUWAJI. Kwa CDM ni slogan sahh kwan wanaitumia na tunaona!

Mungu uwa akai upande wa wanao shindwa, CCM sio kwamba tunaanza na Mungu au tuna maliza na Mungu, CCM tunae Mungu Daima. Ndio maana tunapata mafanikio makubwa ya ushindi katika chaguzi.
 
chadema baada ya kuona hali si shwari na kuwa kwenye maji ya shingo, wameanza matumizi ya maneno ya 'kujifariji' ili wapate huruma ya wananchi.

Kumbukumbu zangu zinasema chadema ni chama cha vuguvugu, yani 'mikikimikiki ya mabadiliko' ndio moto wao huu, sasa iweje leo chama hiki kianze kutumia maneno ya huruma na upole?

Utakuta siku hizi katika matamko ya chadema wameweka porojo zao nyingi halafu mwisho wanamaliza kwa kuandika "tumeanza na mungu tutamaliza na mungu", sasa hii ndio nini?

Chadema niwakumbushe, hapa hatufanyi kazi ya kanisa wala msikiti, tupo hapa kufanya siasa, hakuna habari ya kutafuta huruma kwa wananchi hapa, kwahiyo hakuna tija yoyote kutumia maneno hayo kwenye matamko yenu dharimu.


hamy-d

pitia kwenye red, ukimaliza tafakali ulichoandika - huna akili nzuri na utakuwa na matatizo makubwa ya kuchanganua maslahi ya taifa, haki ya watanzania kikatiba na ubutu wa utawara bora katika kusimamia haki za mtanzania.

Ushabiki unakufanya ufanye mambo kijinga, kipumbavu na kwa ushamba wa hali ya juu.
 
Damu mnayo imwaga kwa kutumia vyombo vya dola malipo hapa hapa.

Acheni kuwemeseka TIQO, Mbowe ana fahamu kila kitu kuhusu ili tukio, kama ni upande wa pili na ana ushahidi, una dhani angeendelea kuukumbatia?

Kila siku ndio maneno yenu kwenye majukwaa, eti tunao ushahidi wa hili mara lile, kwa masihara haya ya viongozi wako, nani atawaamini katika hili?

Msitafute mchawi wa hili tukio, kwani mchawi mnae hukn huko CHADEMA.
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA baada ya kuona hali si shwari na kuwa kwenye maji ya shingo, wameanza matumizi ya maneno ya 'kujifariji' ili wapate huruma ya wananchi.

Kumbukumbu zangu zinasema CHADEMA ni chama cha vuguvugu, yani 'mikikimikiki ya mabadiliko' ndio moto wao huu, sasa iweje leo chama hiki kianze kutumia maneno ya huruma na upole?

Utakuta siku hizi katika matamko ya CHADEMA wameweka porojo zao nyingi halafu mwisho wanamaliza kwa kuandika "TUMEANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU", sasa hii ndio nini?

CHADEMA niwakumbushe, hapa hatufanyi kazi ya kanisa wala msikiti, tupo hapa kufanya siasa, hakuna habari ya kutafuta huruma kwa wananchi hapa, kwahiyo hakuna tija yoyote kutumia maneno hayo kwenye matamko yenu dharimu.

Wewe sasa hujielewi, mbona unazidi kuendekeza ushabiki wa kijinga hivi wewe! Yaani hata kama chama kina Mikiki mikiki ya mabadiliko ndo kinakuwa cha fujo?? Hiyo inahalalisha vipi CDM kutokutumia meneno ya 'huruma' kwa kilichotokea, kweli wewe nadiriki kusema ni mjinga!

Wewe ni MJINGA!
 
hamy-d

pitia kwenye red, ukimaliza tafakali ulichoandika - huna akili nzuri na utakuwa na matatizo makubwa ya kuchanganua maslahi ya taifa, haki ya watanzania kikatiba na ubutu wa utawara bora katika kusimamia haki za mtanzania.

Ushabiki unakufanya ufanye mambo kijinga, kipumbavu na kwa ushamba wa hali ya juu.

adolay,

Ni kwanini huna mlengo wa kati? ni kwanini maandishi yako uwa ni kutetea lolote la CHADEMA? haijalishi kama ni baya ama zuri?

Chama chako tumezoea kikitumia kauli kama vile people's power, hatulali mpaka kieleweke, mguu kwa mguu kijiji kwa kijiji mpaka kieleweke. Hizi ni kauli za kiuharakati, sasa iweje leo mlegeze mpaka muanze kukumbuka kama kuna kuanza na Mungu mara kumaliza na Mungu?
 
Last edited by a moderator:
Wewe sasa hujielewi, mbona unazidi kuendekeza ushabiki wa kijinga hivi wewe! Yaani hata kama chama kina Mikiki mikiki ya mabadiliko ndo kinakuwa cha fujo?? Hiyo inahalalisha vipi CDM kutokutumia meneno ya 'huruma' kwa kilichotokea, kweli wewe nadiriki kusema ni mjinga!

Wewe ni MJINGA!

Manyi,

Wewe umekurupuka na ujaelewa nilicho kiandika, sijasema wameanza kutumia haya maneno baada ya tukio la mlipuko Arusha, lah hasha. Ila kwa sasa matamko yao mengi yametawaliwa na hayo maneno ya huruma wakati hapo zamani tulikuwa tukishuhudia matamko yao yakiwa yametawaliwa na lugha ya kiharakati zaidi.
 
Last edited by a moderator:
...marazote mchawi ndo wa kwanza kupiga kelele msibani...
 
CHADEMA baada ya kuona hali si shwari na kuwa kwenye maji ya shingo, wameanza matumizi ya maneno ya 'kujifariji' ili wapate huruma ya wananchi.

Kumbukumbu zangu zinasema CHADEMA ni chama cha vuguvugu, yani 'mikikimikiki ya mabadiliko' ndio moto wao huu, sasa iweje leo chama hiki kianze kutumia maneno ya huruma na upole?

Utakuta siku hizi katika matamko ya CHADEMA wameweka porojo zao nyingi halafu mwisho wanamaliza kwa kuandika "TUMEANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU", sasa hii ndio nini?

CHADEMA niwakumbushe, hapa hatufanyi kazi ya kanisa wala msikiti, tupo hapa kufanya siasa, hakuna habari ya kutafuta huruma kwa wananchi hapa, kwahiyo hakuna tija yoyote kutumia maneno hayo kwenye matamko yenu dharimu.

Acha watoe matamko hata 5000 lakini dola hawatapata. Sio chama sober kabisa. Ni wapenda vurugu na maandamano; wakishikwa pabaya wanasingizia vyombo vya dola, shame on them!
 
Tumeamini CCM ni chama cha wauwaji, Kuona inaenda kupoteza kata basi wameamua kufanya fujo katika kata hizo. We angalia huko Makuyuni kwa kuvamiwa Nasari Je ni nani mpaka sasa anashikiliwa kwa vurugu?, Huko sengerema ndio usisema maana Ofisi yasisiem imegeuka kuwa kituo cha polisi na lupango, Huko Minepa ulanga nako makada wa chadema wamepigwa lakini ni nani anashikiliwa mpaka sasa. Hii ni dalili tosha kuwa CCM ni chama kinachoongoza kwa kubebwa na vyombo vya usalama.

Acheni kujifariji kuwa wananchi bado wanawapenda, ni fujo na kutoboresha daftari la mpiga kura ndicho kinachowabeba. We ona huko baada ya OCD kukataa kutoa askari DC kaamua kuchukua askari magereza na kushika makada wa chadema na kuwafungia ofisi za CCM badala ya kuwapeleka kituo cha polisi.

More Tiz,

CCM hatuna sababu ya kujifariji kama bado tunapendwa, suala la kukubalika, kuaminiwa na kupendwa na wananchi hasa vijijini halina mjadala kwa CCM kuwa na hivi vyote.

Asilimia kubwa ya CHADEMA wametoka chama tawala, ni masalia, na huko ndio mnawaona majembe yenu, hivi hujui kama mtoto wa nyoka ni nyoka?

Huko CHADEMA hao masalia unajua wamefata nini? ni mbinu tu za kisiasa wala hawana lolote hao, njaa ndio inatusumbua.

Huyo Dr Slaa wananchi wamesha mjua kuwa sio mzalendo, kwani ni mroho wa pesa, sasa una tarajia akienda Ikulu atafanya kipi kipya zaidi ya kutia taifa hasara?
 
Last edited by a moderator:
Acha watoe matamko hata 5000 lakini dola hawatapata. Sio chama sober kabisa. Ni wapenda vurugu na maandamano; wakishikwa pabaya wanasingizia vyombo vya dola, shame on them!

Mkuu, furaha yangu ni kwamba wananchi watanzania wana chujio imara, yani wamechuja wakaona acha CCM ipite ila CHADEMA wakawa na shaka nayo wakatupa kule. Uchaguzi wa kata umewatia chadema pressure kubwa, sasa hivi wana jadili hasara ya pesa waliyo ipata, kwani mradi ume-fail.
 
HAMY-D nitakujibu maswali yako kama ifuatavyo.


Ni kwanini huna mlengo wa kati?

Ni jukumu langu kusimamia ninachokiamini, kama jinsi wewe HAMY-D unavyoamini, kuwatetea, kuwasifu na kuyasemea majizi, wauwaji, wapora haki za watanzania, wachochezi wa fujo kwa watanzania na mafisadi wakuu, yaani Chama cha mapinduzi (CCM)

ni kwanini maandishi yako uwa ni kutetea lolote la CHADEMA?

Kwasababu wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao wote

-Kuwaelimisha wananchi mambo ya msingi katika kuzijuwa, kuzidai na kuzisimamia haki zao za msingi kama ilivyo kutoka katiba yetu ya Taifa la Tanzania nk


haijalishi kama ni baya ama zuri?

Mimi naamini yote wanayoyasimamia chadema ni mazuri ukilinganisha kilekile upande wa ccm, wewe unaona kuna mabaya unaweza kuyaorodhesha hapa kila moja baya la chadema dhidi ya CCM (I mean analysis should consider comparison between Chadema & CCM for every single element to be mentioned)

Chama chako tumezoea kikitumia kauli kama vile people's power, hatulali mpaka kieleweke, mguu kwa mguu kijiji kwa kijiji mpaka kieleweke. Hizi ni kauli za kiuharakati, sasa iweje leo mlegeze mpaka muanze kukumbuka kama kuna kuanza na Mungu mara kumaliza na Mungu?

Ukiambiwa kampaka mafuta kwa mgongo wa chupa inamanisha amemkwanguwa kwa kipande cha chupa?

Ukiambiwa mbio za sakafuni huishia ukingoni, kwa maana halisi hiyo ndiyo maana yake?

Je nikweli kwamba ukila na kipofu usimguse mkono, huu usemi unamaana hiyo?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, nikweli mnyonge hunyongwa? na kama ndivyo, hiyo ndiyo haki ya mnyonge (Kunyongwa)


Kiongozi jichunguze vema, kutetea ujinga, uzembe, ubadhilifu na mengine mengi maovu ya CCM lazima utakuwa na ubutu wa uelewa. Ninaamini kwa dhati ya moyo wangu wewe ndugu HAMY-D hujitambui kabisa na huwatendei haki ndugu zako watanzania hususani walala hoi.
 
Acha watoe matamko hata 5000 lakini dola hawatapata. Sio chama sober kabisa. Ni wapenda vurugu na maandamano; wakishikwa pabaya wanasingizia vyombo vya dola, shame on them!


Unamaana gani hebu fafanua hapo kwenye redi?
 
Tatizo sio hilo tulianza na mungu na tutamaliza na mungu, tatizo ni mungu yupi? Mungu baba mwana au roho? Mbaya zaidi hata lwakatare naye anatumia maneno haya......hamuwezi kupewa nchi mtatugawa wa tz, hamuoni kiitikadi hapo muslims na pagan mmewaacha nje

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo, pole sana.
 
Ama kweli CCM imebaki na vilaza wengi na ndiyo wanashusha hadhi ya chama, wewe unaona ni ujinga kwa watu kumshirikisha Mungu katika mambo yao?
 
Mkuu, furaha yangu ni kwamba wananchi watanzania wana chujio imara, yani wamechuja wakaona acha CCM ipite ila CHADEMA wakawa na shaka nayo wakatupa kule. Uchaguzi wa kata umewatia chadema pressure kubwa, sasa hivi wana jadili hasara ya pesa waliyo ipata, kwani mradi ume-fail.


Upuuzi uleule wa kufikwa na fikra mgando.

CCM ipo madarakani zaid ya mia 40, inaresources na mpaka sasa inamiliki serikali-kila kitu chake inapambana na chadema kwa nguvu kubwa, hapo chadema wameshinda. (Mto mkubwa huaza na mmomonyoko wa kijito) chadema wanamega na kupunguza maeneo ya ccm taratibu na hatimae utatambua kwaba siyo kanu inayotawala kenya.

Kama matumla anaweza kumaliza roundi 12 akipigana na tyson na tyson kushinda kwa pointi amini nakuambia Matumla atakuwa namatumaini ya juu kabisa kwamba wakirudiana atashinda. Chadema inajidhatiti na inasonga mbele ccm inapoteza na inapungukiwa
 
CHADEMA baada ya kuona hali si shwari na kuwa kwenye maji ya shingo, wameanza matumizi ya maneno ya 'kujifariji' ili wapate huruma ya wananchi.

Kumbukumbu zangu zinasema CHADEMA ni chama cha vuguvugu, yani 'mikikimikiki ya mabadiliko' ndio moto wao huu, sasa iweje leo chama hiki kianze kutumia maneno ya huruma na upole?

Utakuta siku hizi katika matamko ya CHADEMA wameweka porojo zao nyingi halafu mwisho wanamaliza kwa kuandika "TUMEANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU", sasa hii ndio nini?

CHADEMA niwakumbushe, hapa hatufanyi kazi ya kanisa wala msikiti, tupo hapa kufanya siasa, hakuna habari ya kutafuta huruma kwa wananchi hapa, kwahiyo hakuna tija yoyote kutumia maneno hayo kwenye matamko yenu dharimu.

Mbona mwenyekiti wenu anachekacheka na kuanguka ovyo majukwaani...lakini nyie mnamtetea na kumwona wa maana sana!

Kazi ya nchi bila kumtanguliza Mungu itakuwa laana tu kama sasa hivi inayotupata nchini! Wamarekani pamoja na ukatili wao wote hasa kwa waarabu, lakini kwenye noti zao wameandika in God they Trust!!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom