Nyie cdm vp mnalalamika kama tusichana twa kindagate. Mnataka huruma ya watanzania. Mchezo wenu tushaugundua, na kura hampati vurugu mnazfanya wenyewe then mnskuja kujambajamba hapa jf.
Angeuawa baba yako au mmeo usingekuwa na ujasiri wa kusema haya.