Ni kweliMkuu CHADEMA tokalini wanahuruma na watanzania? Toka lini? Siyo CHADEMA wanaozunguka dunia nzima kuomba wafadhili na wahisani wazuie misaada na hata mikopo kwa ajili ya watanzania? WAACHE UNAFIKI.
Kikubwa baada ya hapo akawa na silaha zote, yaani SMG mbili na bastola moja na akawa anatembea nazo zote.John Mrema amendika bila kuwa na taarifa sahihi. Silaha ya mshambuliaji ilikuwa bastola tu. Silaha zingine amezipata kutoka kwa askari aliowashambulia na kuwaua kwa bastola yake!
Muuaji mwenyewe ni kada wa CCM na kaua polisi wanaowasaidia kuiba kuraFala sana wewe kwani ccm ina huruma na watanzania
Hata mimi nawachukia kwa sababu hawafanyi kazi zao kisheria nikitaka japo 50 waende na maji. Pumbavu zao ukiwa na hasira zako usikote wala kulike hapa.CHADEMA ni wasumbuwa Polisi
CHADEMA wanawaombea kila baya Polisi
CHADEMA wanawachukia Polisi
Bora CDM wanasumbua kuliko CCM wanaua kabisa.CHADEMA ni wasumbuwa Polisi
CHADEMA wanawaombea kila baya Polisi
CHADEMA wanawachukia Polisi
Kikubwa baada ya hapo akawa na silaha zote, yaani SMG mbili na bastola moja na akawa anatembea nazo zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli Chadema ni wasanii na wanafikiView attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Mambo ni hatua kwa hatua. Kwa sasa "Intelijensia ya Polisi" inaweza kubaini maandamano ya CHADEMA tu. Haiwezi kubaini hata hatari zinazoweza kusababisha mauaji ya polisi wao. Tuvumilie kidogo, siku zijazo itaboreshwa. Kilangila.View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Uchonganishi ni kitu kibaya sana.CHADEMA ni wasumbuwa Polisi
CHADEMA wanawaombea kila baya Polisi
CHADEMA wanawachukia Polisi
Hebu tueleze hizo hatua za haraka ni zipi! Anzia silaha aliyokuwa nayo, ulinzi wa kila wakati uliopo njiapanda ya O/bay na Kinondoni, muda uliochukua mpaka kumuua mtuhumiwa, idadi kubwa ya askari na kutojipanga kujibu mashambulizi (woga wa polisi ulionekana wazi) na idadi ya waliopigwa risasi na mtu mmoja!View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Huyu ni Chadema???CHADEMA ni wasumbuwa Polisi
CHADEMA wanawaombea kila baya Polisi
CHADEMA wanawachukia Polisi
Picha hii ilipgwa Chunya kulingana na muonekano wa mazingira.Huyu ni Chadema???View attachment 1910450
Yeye hukumu yake tayari- heri ya Mbowe yuko mahakamaniHuyu ni Chadema???View attachment 1910450
Mkuu subiri maelezo ya polisi na wenye mamlaka- haraka ya niniHebu tueleze hizo hatua za haraka ni zipi! Anzia silaha aliyokuwa nayo, ulinzi wa kila wakati uliopo njiapanda ya O/bay na Kinondoni, muda uliochukua mpaka kumuua mtuhumiwa, idadi kubwa ya askari na kutojipanga kujibu mashambulizi (woga wa polisi ulionekana wazi) na idadi ya waliopigwa risasi na mtu mmoja!
Mtazamo wangu ni kuwa polisi walionekana kuzidiwa na mtu mmoja kutokana na kutoinekana umahili wa kumkabili mtu mmoja aliyeanzia na bastola na kuishia na silaha kali aliyoipata toka polisi na kuitumia kuwaua polisi! Zile mbwembwe wazitumiazo kuwakabili Chadema na raia wema hazikuonekana.
Ni yeye.Kwahiyo aliyeuawa sio yeye?
Mkuu hadi rambi rambi inakuumaView attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA