CHADEMA acheni usanii hamna huruma yoyote na Jeshi la Polisi wala Serikali

Jinga ww
IMG_20210826_102419.jpg
 
Mkuu CHADEMA tokalini wanahuruma na watanzania? Toka lini? Siyo CHADEMA wanaozunguka dunia nzima kuomba wafadhili na wahisani wazuie misaada na hata mikopo kwa ajili ya watanzania? WAACHE UNAFIKI.
Ni kweli
IMG_20210826_102419.jpg
 
Mimi huwa sisikitiki Mharifu akiuwa hata Maandiko yanasema usimwache Mwanamke Mchawi aishi. Angeanzia kwa bwana Zero brain halafu akaishia kwa Mambo kesho ingependeza sana.
Heri yao wewe siyo mnafiki kama viongozi wa CHADEMA
 
CHADEMA ni wasumbuwa Polisi
CHADEMA wanawaombea kila baya Polisi
CHADEMA wanawachukia Polisi
Hata mimi nawachukia kwa sababu hawafanyi kazi zao kisheria nikitaka japo 50 waende na maji. Pumbavu zao ukiwa na hasira zako usikote wala kulike hapa.
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Kwa kweli Chadema ni wasanii na wanafiki
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Mambo ni hatua kwa hatua. Kwa sasa "Intelijensia ya Polisi" inaweza kubaini maandamano ya CHADEMA tu. Haiwezi kubaini hata hatari zinazoweza kusababisha mauaji ya polisi wao. Tuvumilie kidogo, siku zijazo itaboreshwa. Kilangila.
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Hebu tueleze hizo hatua za haraka ni zipi! Anzia silaha aliyokuwa nayo, ulinzi wa kila wakati uliopo njiapanda ya O/bay na Kinondoni, muda uliochukua mpaka kumuua mtuhumiwa, idadi kubwa ya askari na kutojipanga kujibu mashambulizi (woga wa polisi ulionekana wazi) na idadi ya waliopigwa risasi na mtu mmoja!
Mtazamo wangu ni kuwa polisi walionekana kuzidiwa na mtu mmoja kutokana na kutoinekana umahili wa kumkabili mtu mmoja aliyeanzia na bastola na kuishia na silaha kali aliyoipata toka polisi na kuitumia kuwaua polisi! Zile mbwembwe wazitumiazo kuwakabili Chadema na raia wema hazikuonekana.
 
Hebu tueleze hizo hatua za haraka ni zipi! Anzia silaha aliyokuwa nayo, ulinzi wa kila wakati uliopo njiapanda ya O/bay na Kinondoni, muda uliochukua mpaka kumuua mtuhumiwa, idadi kubwa ya askari na kutojipanga kujibu mashambulizi (woga wa polisi ulionekana wazi) na idadi ya waliopigwa risasi na mtu mmoja!
Mtazamo wangu ni kuwa polisi walionekana kuzidiwa na mtu mmoja kutokana na kutoinekana umahili wa kumkabili mtu mmoja aliyeanzia na bastola na kuishia na silaha kali aliyoipata toka polisi na kuitumia kuwaua polisi! Zile mbwembwe wazitumiazo kuwakabili Chadema na raia wema hazikuonekana.
Mkuu subiri maelezo ya polisi na wenye mamlaka- haraka ya nini
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
 
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Mkuu hadi rambi rambi inakuuma
 
Back
Top Bottom