Kama hujaolewa unadhani dada yako anaonewa na mmeweHatua za haraka za kupoteza polisi watatu? Crazy. Jeshi la polisi! wangekuwa wahalifu wawili tu ingekuwaje? Walishindwa kumjeruhi na kumdhibiti ili kuhakikisha wanapata mtandao wake?
Una matatizo ya msingi sanaCHADEMA- mkuu ni usanii- wapige moyo konde kivipi-
Dada mbona unatesekaView attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
SASA ANGALAU CHADEMA WANAANZA KUWA NA UTU INGAWAJE TAARIFA WAMEITOA KAMA VILE WAMESIKILIZA AU KUONAKWENYE MITANDAO NDIYO WAKATOA TAARIFA YAO HAIKO VIZURIView attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
View attachment 1908149
Kwa kuwataka Polisi kuwa na intelijinsia ya kutosha ni kuwadhihaki kwa vile hutumia sababu hiyo kuvuruga mipango yenu. Aidha ni kama hamkusikia maelezo ya Polisi ya namna mhusika alivyo zipata hizo silaha.
Kwa ujumla Polisi wamechulua hatua za haraka sana kumkabili huyu jamaa vinginevyo madhara makubwa yangetokea. Kwa bahati mbaya hili haliko kwenya tamko la CHADEMA
Jitu linalojihusisha na Jiwe huwa ni choko tuhata barua ya kijinga
Hili lichama lishajifia
muuajia alikuwa na bastolaz akawaua polisi wawili akachukua silaha zao
eti anatembea na silaha za kivita.... bila kuonekana ( mwendelezo wa kusikia sikia tu)
Jiwe alichukiwa na wananchi wote FYI.Hawa viongozi wa Chadema ikiwemo Mbowe walifurahia sana kifo cha Hayati JPM, tena Mwenyekiti Mbowe alimkashifu marehemu bila aibu.
Vyombo vyetu lazima vitambue hila zinazofanywa na hiki Chama ni hatari sana kwa mustakbali wa amani yetu.
lazima wadhibitiwe ipasavyo, wasiwachekee wala wasihadaike.
Mpka leo mimi bado nasherekea,ukiona uchungu wahi lebaHawa viongozi wa Chadema ikiwemo Mbowe walifurahia sana kifo cha Hayati JPM, tena Mwenyekiti Mbowe alimkashifu marehemu bila aibu.
Vyombo vyetu lazima vitambue hila zinazofanywa na hiki Chama ni hatari sana kwa mustakbali wa amani yetu.
lazima wadhibitiwe ipasavyo, wasiwachekee wala wasihadaike.
Dada mbona unateseka sana,tulia usubirie kada wenu hamza lini anazikwaMbowe ana tuhumiwa kwa kuwa rubuni na kuwatumia wanajeshi walio ondolewa ktk Jeshi ktk vitendo vya Kigaidi na dhidi ya Serikali.
Kitendo cha kuwa tumia waliopo au walio kuwepo ndani ya Chama au ktk Jeshi au ktk Serikali haiwezi kuhalalisha vitendo vya Kigaidi hata kidogo.
kama Mbowe aliweza kuwa rubuni hao wanajeshi walio fukuzwa kazi vipi hao wavuta bangi wengine ?!
vipi hao wafuasi wasio jitambua?!
huyu jamaa amewaharibu sana wafuasi wa Chadema kwa kuwajaza nia ovu dhidi ya serikali.
uovu ni uovu tu.
Mbowe inadaiwa kuwatumia hawa wanajeshi walio fukuzwa ktk kutekeleza vitendo vya kigaidi dhidi ya Serikali;
1. HALFANI BWIRE HASSANI
2. ADAM HASSANI KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILLAHI LINGWENYA.
Nina uhakika ingekuwa uvccm ndio wametoa pole kabla ya chadema ungekuja hapa kuwapongeza na kuwananga chadema. Pole ila ndio hivyo kada wenu ndiye kahusika kwenye ugaidiMkuu hapana ninakakerwa na unafiki wa CHADEMA
Mbowe ana tuhumiwa kwa kuwa rubuni na kuwatumia wanajeshi walio ondolewa ktk Jeshi ktk vitendo vya Kigaidi na dhidi ya Serikali.
Kitendo cha kuwa tumia waliopo au walio kuwepo ndani ya Chama au ktk Jeshi au ktk Serikali haiwezi kuhalalisha vitendo vya Kigaidi hata kidogo.
kama Mbowe aliweza kuwa rubuni hao wanajeshi walio fukuzwa kazi vipi hao wavuta bangi wengine ?!
vipi hao wafuasi wasio jitambua?!
huyu jamaa amewaharibu sana wafuasi wa Chadema kwa kuwajaza nia ovu dhidi ya serikali.
uovu ni uovu tu.
Mbowe inadaiwa kuwatumia hawa wanajeshi walio fukuzwa ktk kutekeleza vitendo vya kigaidi dhidi ya Serikali;
1. HALFANI BWIRE HASSANI
2. ADAM HASSANI KASEKWA
3. MOHAMEDI ABDILLAHI LINGWENYA.
Huo unafiki wa CHADEMA level yako iko chini sana kuuelewa. Waachie wenye uwezo wa kuelewa. Endelea na mambo mengine mkuu.Kweli mkuu nina shida na shida yangu ni unafiki wa CHADEMA