mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
CHADEMA ACHENI UNAFIKI, SI-MLIMTUKANA JAKAYA! Acha Mvua ya Mawe Iwanyeshee.
Na:George Kabadi.
================================
Chama cha demokrasia na maendeleo-Chadema, ni chama chenye watu wasio na msimamo. Wanachama wa chadema wamekuwa siyo watu wa kujitafakari, wanashindwa kutofautisha baina ya kuongea na kuropoka, chadema ni waropokaji.
»Baraza la vijana la Chadema-Bavicha, limeshindwa kutengeneza vijana wenye hoja za kujitambua.
Ni kijana mmoja tu kati ya vijana kumi wa chadema, anaeweza kuongea bila kutukana si akina Mdude wala Mdee, ni wamejifyatua akili.
»2005-2015 Kazi kubwa waliyokuwa wanaifanya ni kumtukana Dr JK wa pili, licha ya kuwapa uhuru mkubwa wa kuongea lakini hawakuutumia vyema uhuru huo.
»Katika awamu ya Jakaya.
:-Chadema waliruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa, lakini waliitumia kumtukana JK, walimtukana kila aina ya matusi, leo hii wanajifanya wamemkumbuka huo ni unafiki.
:-Chadema walikuwa na uhuru wa kuongea lakini wakautumia kuhamasisha, mandamano yenye dhumuni la kuchafua taswira ya nchi, walihamasisha mandamano katika vyama vya wafanyakazi walimu na wauguzi, waliandamana bila sababu za msingi.
»Awamu hii ya tano, wamekutana na mwamba maskini mwenye roho mbaya, kwa unafiki wao wanamkumbuka Jakaya waliyemtukana na kumdharirisha. Huu ni ukichwa bure.
Swali kwa Vichwa Bure?
:-Ikiwa Jakaya alipokuwa madarakani mlisema nchi imemshinda, je baada ya kuondoka kipi kinachowafanya mmukumbuke?
:-Jakaya alipokuwa madarakani, mlisema anaongoza serikali ya mafisadi, je leo kipi kinawafanya muikumbuke serikali ya mafisadi?
Chadema nyie ni wanafiki, na unafiki wenu ndiyo unatufanya tuwaone wahuni wa fikra, ni aibu kwa chama cha siasa chenye dhumuni la kushika dola, kuendeshwa kama genge la wahuni nchini Mexco.
»Mwenyekiti wa chadema kafanikiwa kuwa weka mfukoni vijana wa chama chake, alisemalo yeye ni amri siyo ombi!
Ni aibu kwa vijana wasomi kuburuzwa kama mkia, kukubari na kutii ufinyu wa fikra za mtu, ivi kwanini chama hakikuandika barua kwa spika, katika swala la Lissu?
Ni hairuhusiwi mwanachama wa chama chenu kuwa na nguvu kuliko mwenyekiti, ukiibuka unakatwa mkia.
»Tuliyaona haya kwa Zitto Kabwe, alipofukuzwa kama paka mkomba mboga, umaarufu wa Dr Slaa ulizimwa kisela, Zitto na Dr Slaa hawakujua chadema haikuanzishwa ili ishike dola, bali chadema ni mradi wa watu kujipatia ruzuku.
Acha mvua ya mawe iwanyeshee. Muombeni radhi Jakaya, msimkubuke kinafiki.
Kalamu Ya Mwebrania
Na:George Kabadi
0759 131 717
Na:George Kabadi.
================================
Chama cha demokrasia na maendeleo-Chadema, ni chama chenye watu wasio na msimamo. Wanachama wa chadema wamekuwa siyo watu wa kujitafakari, wanashindwa kutofautisha baina ya kuongea na kuropoka, chadema ni waropokaji.
»Baraza la vijana la Chadema-Bavicha, limeshindwa kutengeneza vijana wenye hoja za kujitambua.
Ni kijana mmoja tu kati ya vijana kumi wa chadema, anaeweza kuongea bila kutukana si akina Mdude wala Mdee, ni wamejifyatua akili.
»2005-2015 Kazi kubwa waliyokuwa wanaifanya ni kumtukana Dr JK wa pili, licha ya kuwapa uhuru mkubwa wa kuongea lakini hawakuutumia vyema uhuru huo.
»Katika awamu ya Jakaya.
:-Chadema waliruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa, lakini waliitumia kumtukana JK, walimtukana kila aina ya matusi, leo hii wanajifanya wamemkumbuka huo ni unafiki.
:-Chadema walikuwa na uhuru wa kuongea lakini wakautumia kuhamasisha, mandamano yenye dhumuni la kuchafua taswira ya nchi, walihamasisha mandamano katika vyama vya wafanyakazi walimu na wauguzi, waliandamana bila sababu za msingi.
»Awamu hii ya tano, wamekutana na mwamba maskini mwenye roho mbaya, kwa unafiki wao wanamkumbuka Jakaya waliyemtukana na kumdharirisha. Huu ni ukichwa bure.
Swali kwa Vichwa Bure?
:-Ikiwa Jakaya alipokuwa madarakani mlisema nchi imemshinda, je baada ya kuondoka kipi kinachowafanya mmukumbuke?
:-Jakaya alipokuwa madarakani, mlisema anaongoza serikali ya mafisadi, je leo kipi kinawafanya muikumbuke serikali ya mafisadi?
Chadema nyie ni wanafiki, na unafiki wenu ndiyo unatufanya tuwaone wahuni wa fikra, ni aibu kwa chama cha siasa chenye dhumuni la kushika dola, kuendeshwa kama genge la wahuni nchini Mexco.
»Mwenyekiti wa chadema kafanikiwa kuwa weka mfukoni vijana wa chama chake, alisemalo yeye ni amri siyo ombi!
Ni aibu kwa vijana wasomi kuburuzwa kama mkia, kukubari na kutii ufinyu wa fikra za mtu, ivi kwanini chama hakikuandika barua kwa spika, katika swala la Lissu?
Ni hairuhusiwi mwanachama wa chama chenu kuwa na nguvu kuliko mwenyekiti, ukiibuka unakatwa mkia.
»Tuliyaona haya kwa Zitto Kabwe, alipofukuzwa kama paka mkomba mboga, umaarufu wa Dr Slaa ulizimwa kisela, Zitto na Dr Slaa hawakujua chadema haikuanzishwa ili ishike dola, bali chadema ni mradi wa watu kujipatia ruzuku.
Acha mvua ya mawe iwanyeshee. Muombeni radhi Jakaya, msimkubuke kinafiki.
Kalamu Ya Mwebrania
Na:George Kabadi
0759 131 717