Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,125
- 4,168
Mnataka kuleta uwongo kuwa kulikuwa na maridhiano? Acheni janja ya kishamba. Maridhiano gani sasa? Kwani Spika alikuwa na taarifa za uongo? Au ndio Mbowe aliingia makubariano ya kuacha harakati?
👇
Lissu anadai kutema cheche?
👇
👇
Lissu anadai kutema cheche?
👇