CHADEMA acheni mkwara mbuzi usiokuwa na tija. Mnataka kudanganya kulikuwa na maridhiano? Lissu nae maneno mengi hana lolote

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,125
4,168
Mnataka kuleta uwongo kuwa kulikuwa na maridhiano? Acheni janja ya kishamba. Maridhiano gani sasa? Kwani Spika alikuwa na taarifa za uongo? Au ndio Mbowe aliingia makubariano ya kuacha harakati?
👇
20220517_065946.jpg

Lissu anadai kutema cheche?
👇
20220517_065950.jpg
 
Tulia toka mwanzo tulisema hafai kuwa Spika bora ya mzee Chenge
Tulia kasema magari ya serikali yasiungurume nje masaa 3. Amesema "Sisi serikali tunapoona magari hayazimwi.....neno "Sisi serikali" anamaanisha bunge na serikali ni kitu kimoja, siyo mihimili tofauti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom