CHADEMA acheni kuwadanganya wana wa Arusha - Estomi Malla

Ciril

JF-Expert Member
Jan 10, 2011
8,558
7,156
Aliekuwa diwani Wa Chadema kata ya Kimandolu ms naibu Meya Estomi Malla amesema kuwa Chadema iache kuwadanganya wakazi wa jiji la Arusha kwamba watafanikiwa kumwondoa Meya wa jiji la Arusha bwana Gaudensi Limo.
Souce:Mtanzania/Habari Leo/Uhuru.

Ni nini anachopima huyu msaliti Wa Chama?,ni nani anaemtuma kusema maneno haya?Kama alishaondolewa kwenye Chama kwa nini aendelee kuwa naibu Meya?Au ndio Tanzania ilivyo?
 
Huyu Jamaa inamaana bado anaendelea kutafuna kodi zetu kwenye nafasi ya unaibu Meya!?
 
Aliekuwa diwani Wa Chadema kata ya Kimandolu ms naibu Meya Estomi Malla amesema kuwa Chadema iache kuwadanganya wakazi wa jiji la Arusha kwamba watafanikiwa kumwondoa Meya wa jiji la Arusha bwana Gaudensi Limo.
Souce:Mtanzania/Habari Leo/Uhuru.

Ni nini anachopima huyu msaliti Wa Chama?,ni nani anaemtuma kusema maneno haya?Kama alishaondolewa kwenye Chama kwa nini aendelee kuwa naibu Meya?Au ndio Tanzania ilivyo?
Hizo ni kelele za mfa maji. Angalia hata magazeti yaliyomnukuu!
 
kwani umeya au unaibu meya unapewaje? nijuavyo mimi ni lazima uwe mwanachama wa chama fulani cha siasa. Sasa huyu anaeongea yeye mwanachama wa chama kipi?????
 
Yeye ndo aliyedanganywa na magamba, na kwa jinsi alivyo na upeo mdogo nadhani mpaka leo hajagundua kama magamba ndo yaliomkaanga mpaka kuukosa unaibu meya na udiwani....wajinga ndo waliwao
 
dawa yake ipo jikononi,hivi wana arusha wako wapi kumpiga na kumtemea makohozi huyu msaliti?kama mwenzake rasta..wanakula tu hela za lowasssa ha ha ha ha atajuta
 
Du, Malla tena? anaweweseka tu, alisahau kuwa mtaka yote kwa pupa hukosa yote kwa pupa.
 
Aliekuwa diwani Wa Chadema kata ya Kimandolu ms naibu Meya Estomi Malla amesema kuwa Chadema iache kuwadanganya wakazi wa jiji la Arusha kwamba watafanikiwa kumwondoa Meya wa jiji la Arusha bwana Gaudensi Limo.
Souce:Mtanzania/Habari Leo/Uhuru.

Ni nini anachopima huyu msaliti Wa Chama?,ni nani anaemtuma kusema maneno haya?Kama alishaondolewa kwenye Chama kwa nini aendelee kuwa naibu Meya?Au ndio Tanzania ilivyo?

Hayo ni kweli kabisa chadema hawawezi kumtoa huyu meya wa arusha kwani alichaguliwa kihalali kabisa. Na ndio maana mpaka leo cdm wakiambiwa km mnapinga uchaguzi wake nendeni mahakamani hawaendi, kwani wanajua wataenda kuumbuliwa
 
Hayo ni kweli kabisa chadema hawawezi kumtoa huyu meya wa arusha kwani alichaguliwa kihalali kabisa. Na ndio maana mpaka leo cdm wakiambiwa km mnapinga uchaguzi wake nendeni mahakamani hawaendi, kwani wanajua wataenda kuumbuliwa

Mahakama za Tanzania hazitoi haki sawa,fisadi akimwaga pesa ataonekana Kama malaika na masikini hana chake juu ya tajiri vivyo hivyo Kama Serikali ikiingilia kati juu ya uhalali Wa Meya Wa Arusha haitashindwa kbs sana itatoa maagizo tu na yatatekelezwa.
 
Aliekuwa diwani Wa Chadema kata ya Kimandolu ms naibu Meya Estomi Malla amesema kuwa Chadema iache kuwadanganya wakazi wa jiji la Arusha kwamba watafanikiwa kumwondoa Meya wa jiji la Arusha bwana Gaudensi Limo.
Souce:Mtanzania/Habari Leo/Uhuru.

Ni nini anachopima huyu msaliti Wa Chama?,ni nani anaemtuma kusema maneno haya?Kama alishaondolewa kwenye Chama kwa nini aendelee kuwa naibu Meya?Au ndio Tanzania ilivyo?

Wana JF na Nyie wakazi wa Arusha esp Kimandolu,

Kama kweli huyo malla ameanza siasa za maji taka aseme!!!!
Kwani nina yangu machache kwa kumbu kumbu zangu.

1: Wananchi nadhani sio kuwa wamekataaa kuwa habari za muafaka zilikuwa haziwafikii viongozi wakubwa both side CCM na CDM

2: Tatizo lako Malla ni kuwa Hamkufikaia mwisho wa muafaka na mkatangaza nyie huko viongozi wa chini Je mlikuwa nyie ndio viongozi wa juuu wa CDM? Mbona wana CCM mliokaaa nao kwenye Muafaka hawakukurupuka na kusema hivyo nyie wakina Malla ndio mlikuwa viongozi wa kwanza kukimbilia kweny vyombo vya habali kumbu viongozi waliko juu yako ni wakubwa tuu tafuta jinsi nyingine ya kuwa dhibiti na sio tu kukimbilia kwenye vyombo vya habari na ndio mchezo wenu sana nyie wana siasa wa Arusha.

3:Malla wajua hilo swala la udiwani ni bora ukakaaa kimya ndugu yangu kwani tukirudi nyuma kwa takwimu zetu kile kikao cha kwanza mlipo itwa dar na kamati kuu ya CDM wenzio walikwenda wewe uka heba kwa kisingizio kuwa Unaumwa na ukatuma taarifa hiyo mapema huko makao makuu ya CDM i mean kwenye kamati kuu sasas leo waanza sema CDM wasiwadanganye watu kivipi?

4: Sasa kwa swala la Gaudensi Limo nadhani ni swala la kuangalia kisheria Malla atuambie kama kweli Uchaguzi ulikuwa ni halali kumpitisha Limo kuwa Mayor Je yeye malla alikuwepo siku hiyo wakimpigia kura G.Limo kuwa Mayor wa Arusha? akijibu hilo tu basi tutajua nani anawadanganya wananchi au kuna mtu ameanza siasa za maji taka
 
Hayo ni kweli kabisa chadema hawawezi kumtoa huyu meya wa arusha kwani alichaguliwa kihalali kabisa. Na ndio maana mpaka leo cdm wakiambiwa km mnapinga uchaguzi wake nendeni mahakamani hawaendi, kwani wanajua wataenda kuumbuliwa

Hebu wewe sema ukweli wako!!!

Wajua uchaguzi halali wewe au unaongelea ushabiki humu?

Siku walipo mchagua G.Limo kuwa Mayor wa hilo Jiji la Arusha niambia hicho kikao CDM waliitwa au walipewa barua fake za kukutana huko Olasite na wao CCM wakaendeleza kikao chao cha kumchagua Mayor huku diwani wa TLP nae alishiriki kwenye hicho kikao na baadae akaukataa Unaibu Mayor yet unatuambia Uchaguzi wa Mayor Arusha ulikuwa Haklali kivipi???

Hebu nawe tupe yako uliyoshiliki siku hiyo ya kumchagua Mayor nasi tuku chambue kama unakumbuka kilicho tokea sisi tuliona matukio yalivyo recodiwa kwenye Runinga na tukashangaa kwanini kulikuwa na vikao viwili tofauti siku hiyo ya uchaguzi wa mayor na ndipo hapo CDM walipo pata fununu wakaenda Halmashauri na kukatokea mshike mshike na mabomu ya machozi kurushwa sasa ulikuwa ni uchaguzi gani halali siku hiyo kama madiwani wengine hawakuitwa kupiga kura??
 
Malla akiongea,akinyamaza hana anachoongeza au kupunguza kwa CDM sana sana anajifedhehesha tu.
Wana Arusha na CDM kwa ujumla tunamfahamu ni sawa na kumfungia mbwa nyama shingoni apeleke nyumbani.
 


Hebu wewe sema ukweli wako!!!

Wajua uchaguzi halali wewe au unaongelea ushabiki humu?

Siku walipo mchagua G.Limo kuwa Mayor wa hilo Jiji la Arusha niambia hicho kikao CDM waliitwa au walipewa barua fake za kukutana huko Olasite na wao CCM wakaendeleza kikao chao cha kumchagua Mayor huku diwani wa TLP nae alishiriki kwenye hicho kikao na baadae akaukataa Unaibu Mayor yet unatuambia Uchaguzi wa Mayor Arusha ulikuwa Haklali kivipi???

Hebu nawe tupe yako uliyoshiliki siku hiyo ya kumchagua Mayor nasi tuku chambue kama unakumbuka kilicho tokea sisi tuliona matukio yalivyo recodiwa kwenye Runinga na tukashangaa kwanini kulikuwa na vikao viwili tofauti siku hiyo ya uchaguzi wa mayor na ndipo hapo CDM walipo pata fununu wakaenda Halmashauri na kukatokea mshike mshike na mabomu ya machozi kurushwa sasa ulikuwa ni uchaguzi gani halali siku hiyo kama madiwani wengine hawakuitwa kupiga kura??

Mkuu umetumia sana nguvu nyingi kumuelewesha huyu(GeniusBrain)ni mbishi na ametumwa kuja kuchafua huku jamiiforum,ukimuonesha gari atabisha na kusema hii treni na ogopa sn mtu anaekikataa hata kimvuli chake
 


Hebu wewe sema ukweli wako!!!

Wajua uchaguzi halali wewe au unaongelea ushabiki humu?

Siku walipo mchagua G.Limo kuwa Mayor wa hilo Jiji la Arusha niambia hicho kikao CDM waliitwa au walipewa barua fake za kukutana huko Olasite na wao CCM wakaendeleza kikao chao cha kumchagua Mayor huku diwani wa TLP nae alishiriki kwenye hicho kikao na baadae akaukataa Unaibu Mayor yet unatuambia Uchaguzi wa Mayor Arusha ulikuwa Haklali kivipi???

Hebu nawe tupe yako uliyoshiliki siku hiyo ya kumchagua Mayor nasi tuku chambue kama unakumbuka kilicho tokea sisi tuliona matukio yalivyo recodiwa kwenye Runinga na tukashangaa kwanini kulikuwa na vikao viwili tofauti siku hiyo ya uchaguzi wa mayor na ndipo hapo CDM walipo pata fununu wakaenda Halmashauri na kukatokea mshike mshike na mabomu ya machozi kurushwa sasa ulikuwa ni uchaguzi gani halali siku hiyo kama madiwani wengine hawakuitwa kupiga kura??

Nipe email yako niku2mie jins uchaguz ulivyofanyka
 
Mara yangu ya mwisho kusoma magazeti ya ccm nadhani wakati wa utawala wa mwinyi
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom