Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Huyu bwana Malla mkitaka kuujua undani wake basi kwa wale wakazi nnje ya jii la Arusha njooni pale maeneo ya baa moja inajulikana kwa jina la HOUSE OF WINE! baa hii iko katikati ya jiji hili ndipo huwa anapendelea kunywa bia nyakati za jioni, halafu pia huwa anawekewaga chakula cha mbwa wake kwakutoa odder never miss hii sehemu, wewe njoo halafu umsikilze Crap anazoongea akishalewa kwakuwadanganya watu huyo ndio Malla na hata yule msaliti mwingine Rasta alikua anahuzuria sana hapa lakini yeye huwa anaaibu sana kahama kunywa kwenye baa hii.