CHADEMA acheni kupotosha umma. Siasa hizi ndio zinawamaliza

Mkuu wala sikufichi, kwa aina ya siasa waliyoamua kufanya ccm chini ya mwenyekiti wake, ni dhahiri umma sasa umeanza kuona picha halisi ya ccm mpya. Ukijaribu kuangalia miaka miwili ya awamu hii ya tano kulijaribu kujengwa propaganda kubwa kwamba sasa Tz imepata kiongozi iliyemtaka. Kwa bahati mbaya inaoenakana mgema kasifiwa na sasa tembo kalitia maji. Ni ukweli usiofichika uchumi unadondoka kwa kasi, ajira hakuna na dalili ya kuwepo kwake zinazidi kutoweka. Halafu kwa haya mauaji na uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari, naona watu wakibadilika kwa kasi.

Jaribu kutazama lugha za viongozi wa dini kuelekea serekali hii, nidhamu ya woga iliyokuwa imejengeka ndani ya miaka hii miwili inapungua kwa kasi ya mwanga na sasa watu wanaongea ukweli. Ile miradi iliyopigiwa debe sasa wananchi wanaweza kujionea wenyewe ukweli na uongo wake Sijui ni kipi kitaendelea mpaka 2020, lakini nakuhakikishia kwa kasi hii ya watu kubadilika ikifika kipindi hicho tutashuhudia umwagaji mkubwa wa damu iil ccm iendelee kubaki madarkani. Dalili za haya ninayoyasema tumeziona kwenye chaguzi hizi zilizopita ambapo ccm ilitakiwa ishinde kirahisi na kihalali lakini imekuwa kinyume chake.
Mkuu nakuunga mkono mia kwa mia, maana kwenye kampeini za uchaguzi mdogo tumeshuhudia uungwaji mkono was vyama vya upinzani kwa kiwango cha juu sana kiasi kwamba ccm ikaamua kuua mtoto was shule kwa hasira ya kukataliwa.

Haya yanatendeka ikiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili mfululizo ccm imetumia kila aina ya nyenzo kukashifu, kuponda, kubeza na kuumiza upinzani mbele ya raia ikitegemea kwa kufanya hivyo ingeungwa mkono!
 
Mkuu tathimini yako sio uhalisia. lazima nikwambie ,mengi usemayo ni propaganda za watu mufilisi ki maarifa ,maisha mliozoea ni ya shortcut,njia sahihi zinawawia vigumu kuendana nazo ,mmebakia kulalamika ,hatuoni mbadala wa moni yenu zaidi ni kashifa na kuhimiza vurugu,mkikokotoa na baadhi ya viongozi wachache wa kidini kufikia malengo yenu.askwambie mtu nidhamu alioijenga rais bado ni imara kuliko unavyofikiri.
Kuhusu uhuru wa kutoa maoni mnao sana tu na nitoka zamani,jamii forum ni kielelezo cha uhuruwa kutoa maoni.Ni jukwaa huru ambalo mnalitumia kuelezea hisia zenu ,bila ya bugtha yoyote,uhuru unamipaka yake fahamu hilo.msikilizeni Mangi kimambi tuone kama mtashinda hili,nafahamu mmejikinga kwenye kivuli cha wananchi wakati mnafahamika ni genge la.wahuni flaniwapenda dezo
Hapa unaongea kinyume yani unageuza kibao na ndio maana mnawafundisha polisi wenu kuvuta bhange lakini vipisi vyake kuwawekea raia wema kisha kuwabambikia kesi za bhange.

Amini Amini nakwambia serikali dhalimu haiwezi kutengeneza raia wema ndio maana hata nyie wafuasi wake mnaweza kuongea kama haya ulioandika hapa.
 
Mkuu wala sikufichi, kwa aina ya siasa waliyoamua kufanya ccm chini ya mwenyekiti wake, ni dhahiri umma sasa umeanza kuona picha halisi ya ccm mpya. Ukijaribu kuangalia miaka miwili ya awamu hii ya tano kulijaribu kujengwa propaganda kubwa kwamba sasa Tz imepata kiongozi iliyemtaka. Kwa bahati mbaya inaoenakana mgema kasifiwa na sasa tembo kalitia maji. Ni ukweli usiofichika uchumi unadondoka kwa kasi, ajira hakuna na dalili ya kuwepo kwake zinazidi kutoweka. Halafu kwa haya mauaji na uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari, naona watu wakibadilika kwa kasi.

Jaribu kutazama lugha za viongozi wa dini kuelekea serekali hii, nidhamu ya woga iliyokuwa imejengeka ndani ya miaka hii miwili inapungua kwa kasi ya mwanga na sasa watu wanaongea ukweli. Ile miradi iliyopigiwa debe sasa wananchi wanaweza kujionea wenyewe ukweli na uongo wake Sijui ni kipi kitaendelea mpaka 2020, lakini nakuhakikishia kwa kasi hii ya watu kubadilika ikifika kipindi hicho tutashuhudia umwagaji mkubwa wa damu iil ccm iendelee kubaki madarkani. Dalili za haya ninayoyasema tumeziona kwenye chaguzi hizi zilizopita ambapo ccm ilitakiwa ishinde kirahisi na kihalali lakini imekuwa kinyume chake.
Mkuu chadema lengo lao kuu ni magufuli afeli.Na hawajaanza leo ktk kuonesha magufuli lazima afeli na lazima kimataifa aonekane dikteta na kiongoz asiyefaa.Hiyo miaka miwili unayoitaja ndio hiyo hiyo walitumia kuleta ukuta na propaganda chafu lkn wakafeli vibaya.Sasa wamekuja na mbinu ya mauaji kwa staili mpya na ya siri mno.

Sifikiri kama serikal inaweza kumuua mtu ambaye hata hafahamiki na hana impact yyt kiasi useme alikua anahatarisha maslai ya serikal au chama.Labda uniambie impact ya huyo jamaa ni ipi kias ni lzm auawe. Kwa mazingira yaliyopo na hizi propaganda zilizopo ni rahis sana kusema serikal inahusika,lkn ukihoj kiundan kuwa huyo diwani ana nn?utaona Kuna kitu behind the scene.

Ni kosa la kiuahini endapo itafahamika upinzan unafanya haya kwa kuichafua serikal. Kuna hoja kuwa ooh kwanini serikal isiwakamate au uchunguz ufanywe na wajulikane.Mimi naamini Hakuna asiyejulikana,ishu ni tuseme ni chadema kupitia chairman wao ndio waratibu,unafikiri hii kesi itaacha nchi salama?Au mfano mdogo tu ni watu 40 wa kwenye maandamo wako ndani,akina mbowe wako uraiani.Je mbowe hana hatia kuliko walio ndani?Nini kinafanya yy asikamatwe?Je yuko juu ya sheria?Ni rahis sana kutaka polisi wawape majibu nani muhusika,lkn kuna swala la kuyapokea hayo majibu ndio shida.

Serikal inajua jinsi ya kushughulika na haya mattz na kama una jicho la tatu utaona ni jinsi gani upinzani unashughulikiwa na mwisho utatulia tu.
 
Nmemsikiliza Susan Kiwanga akihojiwa kuhusu tukio hilo lakini mahali nilipomsikia akiwatuhumu ccm au polisi kuhusu suala hilo ikizngatia yeye n mwenyekiti wa chadema huko moro.

Ina maana hao waloitisha kikao wako informed kuzid huyo mwakilishi wao aliyeko huko huko.
 
Mkuu chadema lengo lao kuu ni magufuli afeli.Na hawajaanza leo ktk kuonesha magufuli lazima afeli na lazima kimataifa aonekane dikteta na kiongoz asiyefaa.Hiyo miaka miwili unayoitaja ndio hiyo hiyo walitumia kuleta ukuta na propaganda chafu lkn wakafeli vibaya.Sasa wamekuja na mbinu ya mauaji kwa staili mpya na ya siri mno.

Sifikiri kama serikal inaweza kumuua mtu ambaye hata hafahamiki na hana impact yyt kiasi useme alikua anahatarisha maslai ya serikal au chama.Labda uniambie impact ya huyo jamaa ni ipi kias ni lzm auawe. Kwa mazingira yaliyopo na hizi propaganda zilizopo ni rahis sana kusema serikal inahusika,lkn ukihoj kiundan kuwa huyo diwani ana nn?utaona Kuna kitu behind the scene.

Ni kosa la kiuahini endapo itafahamika upinzan unafanya haya kwa kuichafua serikal. Kuna hoja kuwa ooh kwanini serikal isiwakamate au uchunguz ufanywe na wajulikane.Mimi naamini Hakuna asiyejulikana,ishu ni tuseme ni chadema kupitia chairman wao ndio waratibu,unafikiri hii kesi itaacha nchi salama?Au mfano mdogo tu ni watu 40 wa kwenye maandamo wako ndani,akina mbowe wako uraiani.Je mbowe hana hatia kuliko walio ndani?Nini kinafanya yy asikamatwe?Je yuko juu ya sheria?Ni rahis sana kutaka polisi wawape majibu nani muhusika,lkn kuna swala la kuyapokea hayo majibu ndio shida.

Serikal inajua jinsi ya kushughulika na haya mattz na kama una jicho la tatu utaona ni jinsi gani upinzani unashughulikiwa na mwisho utatulia tu.
Kwa kauli yako hii eti "diwani huyo ana impact gani" ingewafikia wote madiwani walionunuliwa na ccm wajitambue kwamba wao ni kandambili tu ndani ya ccm hawana impact yoyote!

Magufuli ni rais na amiri jeshi mkuu hawezi kuangushwa na chadema isiyo na dola, anajiangusha mwenyewe kwa kushughulika na siasa za upinzani badala ya kuongoza taifa kwa mujibu wa majukumu ya rais.

Ingekuwa kuna ka loophole kokote ka kumtia mbowe hatiani angekuwa yuko na akina Rugemalira na Abhinda Singh muda mrefu sasa!
 
Katika mkutano wao na waandishi wa habari leo hii Chadema imesema kuwa diwani Lwena ameuliwa na Chama cha Mapinduzi, pamoja na jeshi la polisi. Ninachokijua ni kwamba jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi, lakini taarifa ya awali ya polisi imeeleza kuwa tukio hili limekaa kama kulipizana kisasi, japo taarifa hiyo haijafafanua kwa undani zaidi.

Hii kauli ya Chadema inatakiwa kuwafumbua macho watanzania kuhusu aina ya siasa ambazo zimeanza kufanywa na Chadema kwa kutumia matukio mbalimbali. Asubuhi nilisema kuwa kutuhumiana kwa hisia siyo jambo jema maana tutawagawa watu kwasababu ya hisia pekee au kwasababu ya chuki zako za kisiasa kwa chama au kiongozi flani tu.

Japo ninaamini pia kwamba, kwa namna nyingine hii kauli ya Chadema itawaunganisha watanzania na wanaCCM ktk kutafakari aina ya siasa zinazofanywa na hiki chama kwa kulinganisha na matukio mbalimbali yanayojitokeza.

Hii kauli ya Chadema imenifanya nitafakari mambo mengi sana, mpaka nimejiuliza kuwa CCM haiwezi kumfungulia mashataka Mnyika na Chadema kwa kuichafua au tuendelee kuwapuuza!!?

By Magoiga SN

Walisikia vibaya hao wenzangu wa CCM
 
Kwa kauli yako hii eti "diwani huyo ana impact gani" ingewafikia wote madiwani walionunuliwa na ccm wajitambue kwamba wao ni kandambili tu ndani ya ccm hawana impact yoyote!

Magufuli ni rais na amiri jeshi mkuu hawezi kuangushwa na chadema isiyo na dola, anajiangusha mwenyewe kwa kushughulika na siasa za upinzani badala ya kuongoza taifa kwa mujibu wa majukumu ya rais.

Ingekuwa kuna ka loophole kokote ka kumtia mbowe hatiani angekuwa yuko na akina Rugemalira na Abhinda Singh muda mrefu sasa!
Mkuu nafikir hujaelewa.Uongoz au utawala wwt ufikia hatua ya kutoa uhai mbinu zzt chafu kama njia ya kumdhibiti mtu ambaye ni tishio.Huyo diwani kafanya nn hadi mseme ccm au serikal imemuondoa?Ikiwa mm mtu mfuatilia siasa cmjui na ajanipa shida yyt kuonesha serikal ya magufuli haifai,vipi huko wasiofuatilia siasa?HUYO DIWANI KAFANYA NINI KIBAYA HADI CCM AU SERIKAL last option iwe kuondoa uhai?

Pili ni fikra mfu kuamini mbowe msaf na ndio maana hajakamatwa.Hata kwenye siasa kuna diplomacy pia.Kosa hilohilo la mbowe watu wamelala ndani na kuna watu huwa wanafungwa.Siku ukisikia mbowe kalala ndani siku mbili au hata moja ndo utakuja kujua kwanini huwa hakamatwi.Inatakiwa uelewe kuwa mbowe ni political figure kwa Tanzania na kuhandle kwake sio kama unavyofkr kirahis hivo
 
Katika mkutano wao na waandishi wa habari leo hii Chadema imesema kuwa diwani Lwena ameuliwa na Chama cha Mapinduzi, pamoja na jeshi la polisi. Ninachokijua ni kwamba jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi, lakini taarifa ya awali ya polisi imeeleza kuwa tukio hili limekaa kama kulipizana kisasi, japo taarifa hiyo haijafafanua kwa undani zaidi.

Hii kauli ya Chadema inatakiwa kuwafumbua macho watanzania kuhusu aina ya siasa ambazo zimeanza kufanywa na Chadema kwa kutumia matukio mbalimbali. Asubuhi nilisema kuwa kutuhumiana kwa hisia siyo jambo jema maana tutawagawa watu kwasababu ya hisia pekee au kwasababu ya chuki zako za kisiasa kwa chama au kiongozi flani tu.

Japo ninaamini pia kwamba, kwa namna nyingine hii kauli ya Chadema itawaunganisha watanzania na wanaCCM ktk kutafakari aina ya siasa zinazofanywa na hiki chama kwa kulinganisha na matukio mbalimbali yanayojitokeza.

Hii kauli ya Chadema imenifanya nitafakari mambo mengi sana, mpaka nimejiuliza kuwa CCM haiwezi kumfungulia mashataka Mnyika na Chadema kwa kuichafua au tuendelee kuwapuuza!!?

By Magoiga SN
We ni mpumbavu!
 
Mkuu nafikir hujaelewa.Uongoz au utawala wwt ufikia hatua ya kutoa uhai mbinu zzt chafu kama njia ya kumdhibiti mtu ambaye ni tishio.Huyo diwani kafanya nn hadi mseme ccm au serikal imemuondoa?Ikiwa mm mtu mfuatilia siasa cmjui na ajanipa shida yyt kuonesha serikal ya magufuli haifai,vipi huko wasiofuatilia siasa?HUYO DIWANI KAFANYA NINI KIBAYA HADI CCM AU SERIKAL last option iwe kuondoa uhai?

Pili ni fikra mfu kuamini mbowe msaf na ndio maana hajakamatwa.Hata kwenye siasa kuna diplomacy pia.Kosa hilohilo la mbowe watu wamelala ndani na kuna watu huwa wanafungwa.Siku ukisikia mbowe kalala ndani siku mbili au hata moja ndo utakuja kujua kwanini huwa hakamatwi.Inatakiwa uelewe kuwa mbowe ni political figure kwa Tanzania na kuhandle kwake sio kama unavyofkr kirahis hivo
Mkuu kuna wimbi la kununua madiwani na baada ya bajeti ya manunuzi kwisha vinatumika vitisho na wapo madiwani na hata wasio madiwani kama yule dada muigizaji alikiri kukaa upinzani lazima ukae roho juu kwa vitisho kwahiyo wanajiunga ccm kuogopa kudhuliwa na wanaokaidi ndio kama yaliyomkuta huyo wa ifakara.

Political diplomacy na political figure unayoisema inatumika kwa mbowe peke yake sio kwa wengine kama vile Tundulisu?!
 
Mkuu nafikir hujaelewa.Uongoz au utawala wwt ufikia hatua ya kutoa uhai mbinu zzt chafu kama njia ya kumdhibiti mtu ambaye ni tishio.Huyo diwani kafanya nn hadi mseme ccm au serikal imemuondoa?Ikiwa mm mtu mfuatilia siasa cmjui na ajanipa shida yyt kuonesha serikal ya magufuli haifai,vipi huko wasiofuatilia siasa?HUYO DIWANI KAFANYA NINI KIBAYA HADI CCM AU SERIKAL last option iwe kuondoa uhai?

Pili ni fikra mfu kuamini mbowe msaf na ndio maana hajakamatwa.Hata kwenye siasa kuna diplomacy pia.Kosa hilohilo la mbowe watu wamelala ndani na kuna watu huwa wanafungwa.Siku ukisikia mbowe kalala ndani siku mbili au hata moja ndo utakuja kujua kwanini huwa hakamatwi.Inatakiwa uelewe kuwa mbowe ni political figure kwa Tanzania na kuhandle kwake sio kama unavyofkr kirahis hivo
Ww ni muongo tena ni hatari kabisa yaani mbowe awe na tuhuma za mauwaji unamuwacha kasababu ni political figure hapa umedanganya mkuu
 
Mkuu kuna wimbi la kununua madiwani na baada ya bajeti ya manunuzi kwisha vinatumika vitisho na wapo madiwani na hata wasio madiwani kama yule dada muigizaji alikiri kukaa upinzani lazima ukae roho juu kwa vitisho kwahiyo wanajiunga ccm kuogopa kudhuliwa na wanaokaidi ndio kama yaliyomkuta huyo wa ifakara.

Political diplomacy na political figure unayoisema inatumika kwa mbowe peke yake sio kwa wengine kama vile Tundulisu?!
Impact lisu ni ndogo sana ktk kufanya watu wareact kama mbowe au lowasa.Hilo la kununua madiwani sifikir kama ni hoja ya mcng.Kama madiwani wanajiuza basi huko chadema kuna shida sehem.iweje kiongoz ajiuze?Pili mkuu Hakuna diwani wa kutosa dau la ccm wakiamua.Na kwa madai yenu kuwa kagoma kununuliwa ndio maana kauawa sifikir kama ni sahh.Unataka kusema last option ni kuua?
 
Ww ni muongo tena ni hatari kabisa yaani mbowe awe na tuhuma za mauwaji unamuwacha kasababu ni political figure hapa umedanganya mkuu
Mbowe ashawah kulala ndani au kufikishwa mahakaman mara ngapi?Mbowe alikuwepo kwenye maandamano,kwanini hakukamatwa na walikamatwa wengine?Maana kukamatwa sio kwamba umetenda kosa coz kosa huthibitishwa na mahakama,au unataka kusema polis hawakumkamata mbowe kisa waliona hana kosa ila wafuas wake ndo wanakosa?
 
Katika mkutano wao na waandishi wa habari leo hii Chadema imesema kuwa diwani Lwena ameuliwa na Chama cha Mapinduzi, pamoja na jeshi la polisi. Ninachokijua ni kwamba jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi, lakini taarifa ya awali ya polisi imeeleza kuwa tukio hili limekaa kama kulipizana kisasi, japo taarifa hiyo haijafafanua kwa undani zaidi.

Hii kauli ya Chadema inatakiwa kuwafumbua macho watanzania kuhusu aina ya siasa ambazo zimeanza kufanywa na Chadema kwa kutumia matukio mbalimbali. Asubuhi nilisema kuwa kutuhumiana kwa hisia siyo jambo jema maana tutawagawa watu kwasababu ya hisia pekee au kwasababu ya chuki zako za kisiasa kwa chama au kiongozi flani tu.

Japo ninaamini pia kwamba, kwa namna nyingine hii kauli ya Chadema itawaunganisha watanzania na wanaCCM ktk kutafakari aina ya siasa zinazofanywa na hiki chama kwa kulinganisha na matukio mbalimbali yanayojitokeza.

Hii kauli ya Chadema imenifanya nitafakari mambo mengi sana, mpaka nimejiuliza kuwa CCM haiwezi kumfungulia mashataka Mnyika na Chadema kwa kuichafua au tuendelee kuwapuuza!!?

By Magoiga SN
Eakikataa kununuliwa mmawaua. Mnachafua taifa letu. Huyo aliyesema ni kulipiza visasi akamdanganye mkewe. Nakumbuka Mwangosi mlimsingizia mkaumbuka. Ya Mkwajuni mnada risasi zilipigwa hewani zikageuka.
 
Mkuu MISULI kwanini unajitoa akili kiasi hicho?

Kwanini unajikosea heshima mwenyewe mkuu?

Kwanini huna utu na huruma?

Je, ni kwa sababu upo katika mfumo na unafaidika na mambo haya yanayowaumiza watu?

Kwahiyo CHADEMA ndo walimpiga risasi lissu sio?

Baada ya kumpiga wakaenda kutoa zile CCTV camera kwenye zile nyuma za viongozi sio,

Mkuu huoni kabisa kama serikali ya chama cha mapinduzi kuna sehemu inakosea?

Mkuu vile viroba vyote vinavyookotwa baharini CHADEMA ndo wahusika??

Hata kam CHADEMA wanahusika kwanini waliopewa mamlaka ya uchunguzi wasifanye kazi zao wawafikishe mbele ya sheria hao wauaji,

Mkuu huoni kama biashara zinafungwa hovyo kwa mifumo mibaya ya nchi yetu,

Au mnatekeleza mliyotuahidi kwamba lazima tuishi kam mashetani?

Inanisikitisha sana kuona watu wenye uelewa mzuri wenye uwezo wa kunyumbua mambo ndo kwanza wanajitoa akili

Hebu niambie ni lini CHADEMA wamefanya maandamano bila kuonewa na bahati mbaya vyote vinavyotakiwa kutoa suruhisho makada wa chama cha mapinduzi wamejaa kule

Huoni kam nchi inahitaji mageuzi ya kimfumo????

Mkuu nakuuliza tena kwanini ujitoe akili?
 
Katika mkutano wao na waandishi wa habari leo hii Chadema imesema kuwa diwani Lwena ameuliwa na Chama cha Mapinduzi, pamoja na jeshi la polisi. Ninachokijua ni kwamba jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi, lakini taarifa ya awali ya polisi imeeleza kuwa tukio hili limekaa kama kulipizana kisasi, japo taarifa hiyo haijafafanua kwa undani zaidi.

Hii kauli ya Chadema inatakiwa kuwafumbua macho watanzania kuhusu aina ya siasa ambazo zimeanza kufanywa na Chadema kwa kutumia matukio mbalimbali. Asubuhi nilisema kuwa kutuhumiana kwa hisia siyo jambo jema maana tutawagawa watu kwasababu ya hisia pekee au kwasababu ya chuki zako za kisiasa kwa chama au kiongozi flani tu.

Japo ninaamini pia kwamba, kwa namna nyingine hii kauli ya Chadema itawaunganisha watanzania na wanaCCM ktk kutafakari aina ya siasa zinazofanywa na hiki chama kwa kulinganisha na matukio mbalimbali yanayojitokeza.

Hii kauli ya Chadema imenifanya nitafakari mambo mengi sana, mpaka nimejiuliza kuwa CCM haiwezi kumfungulia mashataka Mnyika na Chadema kwa kuichafua au tuendelee kuwapuuza!!?

By Magoiga SN
Acha ushamba wako, kesi zote za kuwambikia chadema hazijatosha bado unataka ulete kesi Zingine? Kutwa mahakamani lini viwanda vitajengwa? Chadema ndiyo imekufanya utafakari mambo mengi kivipi? Umeshindwa kutafakari unyama wa CCM na polisiccm, uchakachuaji, kuwanunua Wapinzani, kurudia chaguzi kwa gharama kubwa, ndiyo uje kutafakari chadema? Uchunguzi gani unafanywa na polisiccm? Tokea lini uchunguzi wao ukawa na Ukweli zaidi ya kuwabambikia watu kesi?
 
Selikari ya Ccm inau wanainchi wake hakuna haja ya kujificha kwenye maneno watu wanakufa mbele ya jeshi la polisi huu ni uhuni ambao atuwezi kuhuu nyamazia hata kidogo maana tukiwanyamazi ipo siku mtaharibu sifa ya nchi na nchi hii sio Mari ya vyama vya siasa
 
Mkuu tathimini yako sio uhalisia. lazima nikwambie ,mengi usemayo ni propaganda za watu mufilisi ki maarifa ,maisha mliozoea ni ya shortcut,njia sahihi zinawawia vigumu kuendana nazo ,mmebakia kulalamika ,hatuoni mbadala wa moni yenu zaidi ni kashifa na kuhimiza vurugu,mkikokotoa na baadhi ya viongozi wachache wa kidini kufikia malengo yenu.askwambie mtu nidhamu alioijenga rais bado ni imara kuliko unavyofikiri.
Kuhusu uhuru wa kutoa maoni mnao sana tu na nitoka zamani,jamii forum ni kielelezo cha uhuruwa kutoa maoni.Ni jukwaa huru ambalo mnalitumia kuelezea hisia zenu ,bila ya bugtha yoyote,uhuru unamipaka yake fahamu hilo.msikilizeni Mangi kimambi tuone kama mtashinda hili,nafahamu mmejikinga kwenye kivuli cha wananchi wakati mnafahamika ni genge la.wahuni flaniwapenda dezo
Wewe fala namba moja nchini, kuna Uhuru gani wa kujieleza? Boss wa JF mmemtengenezea kesi mpaka leo ipo mahakamani, hakuna mazuri kwa Awamu hii ya idd Amin magufuli, hakuna Demokrasia ni Udikteta kwa kwenda mbele, hakuna maendeleo pesa zote za walipa kodi zinatumika kwa mambo ya hovyo hovyo tu, kuwanunua Wapinzani, kurudia uchaguzi, uchakachuaji, kuwabambikia kesi Wapinzani, ni vigumu Nchi kupiga hatua kwa stye ya kudhoofisha upinzani kwa gharama kubwa Tena kwa pesa za walipa kodi, wananchi wakiamua hakuna lisilowezekana wakiamua kuandamana hata mje na jwtz hamtaweza kuzuia kwani nguvu ya Umma huwa na uwezo kuliko bunduki zenu, jiandae polisiccm wanaenda kushitakiwa The Hague ili iwe fundisho kwenu.
 
Mkuu chadema lengo lao kuu ni magufuli afeli.Na hawajaanza leo ktk kuonesha magufuli lazima afeli na lazima kimataifa aonekane dikteta na kiongoz asiyefaa.Hiyo miaka miwili unayoitaja ndio hiyo hiyo walitumia kuleta ukuta na propaganda chafu lkn wakafeli vibaya.Sasa wamekuja na mbinu ya mauaji kwa staili mpya na ya siri mno.

Sifikiri kama serikal inaweza kumuua mtu ambaye hata hafahamiki na hana impact yyt kiasi useme alikua anahatarisha maslai ya serikal au chama.Labda uniambie impact ya huyo jamaa ni ipi kias ni lzm auawe. Kwa mazingira yaliyopo na hizi propaganda zilizopo ni rahis sana kusema serikal inahusika,lkn ukihoj kiundan kuwa huyo diwani ana nn?utaona Kuna kitu behind the scene.

Ni kosa la kiuahini endapo itafahamika upinzan unafanya haya kwa kuichafua serikal. Kuna hoja kuwa ooh kwanini serikal isiwakamate au uchunguz ufanywe na wajulikane.Mimi naamini Hakuna asiyejulikana,ishu ni tuseme ni chadema kupitia chairman wao ndio waratibu,unafikiri hii kesi itaacha nchi salama?Au mfano mdogo tu ni watu 40 wa kwenye maandamo wako ndani,akina mbowe wako uraiani.Je mbowe hana hatia kuliko walio ndani?Nini kinafanya yy asikamatwe?Je yuko juu ya sheria?Ni rahis sana kutaka polisi wawape majibu nani muhusika,lkn kuna swala la kuyapokea hayo majibu ndio shida.

Serikal inajua jinsi ya kushughulika na haya mattz na kama una jicho la tatu utaona ni jinsi gani upinzani unashughulikiwa na mwisho utatulia tu.
Wewe mbona hukamatwi kwa vitendo vyako Haramu vya kudhoofisha upinzani, wizi wa kura, kuwanunua Wapinzani, uchakachuaji, kuwabambikia kesi feki Wapinzani, Mkurugenzi aliyewanyima barua mawakala mbona hakanatwi, pol waliotumia Risasi za moto badala ya mabomu ya kutoa moshi mbona hawakamatwi? Jerry muro, Le mutuz, Lipumba na Boss wao Maliyamungu Bashite walishiriki Zoezi la kumpiga Lisu Risasi mbona hawajakamatwa? Je? Wapo juu ya sheria, kuna jinsi gani ya kuwashughurikia Wapinzani? Hiyo jinsi ni kuwapiga Risasi, kuwabambikia kesi, na sasa kumtumia Msajili kufuta vyama vya upinzani na kuiba ruzuku ya CUF akishirikiana na Lipumba. Upinzani hautatia wala kunyamaza mpaka siku CCM mkiacha Udikteta wenu.
 
Back
Top Bottom