King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,602
- 68,508
Wameenda kuongoza!
Kwahiyo wanachaguliwa kuongoza taasisi au nchi? Kama kuongoza taasisi kwanini wasingechaguana ndani huko kwenye taasisi yao? kwani hao wengine wanaounda taasisi na wao wapo kwenye karatasi ya kura?