johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Nawakumbusha tu CHADEMA wasimlishe maneno mtuhumiwa Ole Sabaya kwamba amekiri kutumwa na Hayati Magufuli kufanya yale anayoshtakiwa kuyafanya.
Ole Sabaya ameitaja mamlaka ya uteuzi ambayo ni Rais, lakini tusisahau kuwa Rais ni taasisi
Mungu ni mwema wakati wote!
Ole Sabaya ameitaja mamlaka ya uteuzi ambayo ni Rais, lakini tusisahau kuwa Rais ni taasisi
Mungu ni mwema wakati wote!