CHADEMA acheni kuingilia mgogoro wa CUF

Developer IOS

JF-Expert Member
Jun 20, 2017
1,457
1,409
Kitendo cha chama kimoja kuingilia utendaji na migogoro wa chama kingine ni jambo la kupigwa vikali na wapenda demokrasia.Kwani kila chama kina haki ya kujiendesha na kutatua migogoro yake bila kuingiliwa.Kwa maana hiyo chadema inatakiwa ikae mbali na mgogoro wa cuf kwani hauwahusu.Wana cuf wenyewe wanapaswa kutatua mgogoro wao na kama walikinunua cuf kutoka kwa maalim seif imekula kwao wana cuf wameshashituka
 
Mbona ccm inaingilia na kupora ACT

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Ndio hatumtaki fisadi lowasa

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Pia ni mbaya kwa chama cha makanika kumpa ulinzi lipumbav avuruge cuf.
 
Chadema hawazuiliwi kusaidia Cuf kwa kuwa Wana uhuru,Hilo ni kundi la Ukawa
Ila wawe makini sana kwa kuwa tatizo la cuf linaweza kuingia chadema
 
Pia ni mbaya kwa chama cha makanika kumpa ulinzi lipumbav avuruge cuf.
 
Tunajua. Bila ya CUF atuwezi kushinda, tunategemea wanachama wao kutuongea kura kule ambako awana wafuasi wengi. Prof Lipumba hilo alitaki. Kwa hiyo lazima tuwasaidie vita vyao

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Ccm wamesaidia sana mgogoro huu,hv tz mbona tuna siasa za kichawi? Kila mtu yuko kiitikadi zaid why7

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Chadema ni chama kinachoongoza kutoa matamko ya hovyo sana katika nchi hii kwa lengo la kuvuruga amani ya nchii hii.Tumeshuhudia mara kadhaa wakitangaza maandamano ambayo yenye lengo la kuhatarisha amani ya nchi hii kama vile operation ukuta na tunaona katika operation ondoa msaliti.Lakini kutokana na uimara na uelewa wa wananchi.Wananchi wamekuwa wakizipuuzia hizi operation zao uchwara tumeona jinsi wananchi walivyopuuzia operation ukuta na tutaona wananchi watakavyopuuzia operation ondoa msaliti.Kama wanataka kuandamane hadi buguruni aandamane mbowe na tundu lissu halafu waone kitakachowakuta
 
Mleta uzi ni zumbukuku na mbumbumbu mzungu wa reli. Weye jidai shujaa wa kuleta nyuzi tu halafu mwisho utuombe nauli ya kurudi kwenu kama wenzako fulani.
 
Ungeelezea uhusiano wa matamko ya hovyo,maandamano na kuhatarisha amani. Kwa mantiki iyo unataka kuaminisha umma kuwa kila palipo na maandamano kuna uvunjifu wa amani jambo ambalo si kweli. Usikariri jiongeze.
 
Back
Top Bottom