Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,529
Kwa mujibu wa TUME ya UCHAGUZI Tanzania ina jumla ya KATA 5350.
Kama kila kitu ikitengewa bajeti ya TZS BILION moja KWA MWAKA Itakuwa ni Trilioni Tano nukta 3 kwa Kata zote TANZANIA. Hii Bilion Moja ikitumika vizuri ndani ya mwaka kata zetu zitakuwa ni ULAYA kwani Kila mwezi itapokea Milioni 100 ambapo itaamua tu kipamubele ni nini. Leseni zote za biashara zitolewe ofisi za kata. Usajili wa biashara zote ufanyike ofisi za kata. Vibali vyote vitolewe ofisi za kata.
Kwa kufanya hivyo zitazalisha jumla ya ajira 53,500 kwa kada za kuwahudumia wananchi kama vile watoa leseni wasajili wa biashara,etc. Kwa kufanya hivyo huduma zitafika kwa mwananchi kwa umbali wa kutembea kwa miguu. Kwa kufanya hivyo makusanyo yote ya kodi yataratibiwa katika ngazi ya KATA. UKATA utaleta maendeleo kwa wananchi moja kwa moja na kuleta maendeleo shirikishi au maendeleo ya watu.
Nimeeleza kwa kifupi ila wale wenye akili fupi waelewe kwa ufupi.
Kama kila kitu ikitengewa bajeti ya TZS BILION moja KWA MWAKA Itakuwa ni Trilioni Tano nukta 3 kwa Kata zote TANZANIA. Hii Bilion Moja ikitumika vizuri ndani ya mwaka kata zetu zitakuwa ni ULAYA kwani Kila mwezi itapokea Milioni 100 ambapo itaamua tu kipamubele ni nini. Leseni zote za biashara zitolewe ofisi za kata. Usajili wa biashara zote ufanyike ofisi za kata. Vibali vyote vitolewe ofisi za kata.
Kwa kufanya hivyo zitazalisha jumla ya ajira 53,500 kwa kada za kuwahudumia wananchi kama vile watoa leseni wasajili wa biashara,etc. Kwa kufanya hivyo huduma zitafika kwa mwananchi kwa umbali wa kutembea kwa miguu. Kwa kufanya hivyo makusanyo yote ya kodi yataratibiwa katika ngazi ya KATA. UKATA utaleta maendeleo kwa wananchi moja kwa moja na kuleta maendeleo shirikishi au maendeleo ya watu.
Nimeeleza kwa kifupi ila wale wenye akili fupi waelewe kwa ufupi.