Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Hahahahahaaaaa! Hakuna wa kumzuia Magu kuwa mwenyekiti wa CCMccm wamdhibiti, wasipomdhibiti wapinzani tutamdhibiti,labda ndio wanaenda kumdhibiti!
Hahahahahaaaaa! Hakuna wa kumzuia Magu kuwa mwenyekiti wa CCMccm wamdhibiti, wasipomdhibiti wapinzani tutamdhibiti,labda ndio wanaenda kumdhibiti!
Nyie mmesema mnakuja na style yenu ya maumau?Wanatishia nyau tu hao
Hao BAVICHA wakiendelea na kiherehere chao wataswekwa mahabusu mpaka wengine watahamishiwa mirembeHapo Dodoma yawezekena yakatokea machafuko makubwa sana kama tahadhari haitachukuliwa ikizingatiwa UVCCM nao wamejigamba kwamba hawatavumilia wenzao wa BAVICHA kukanyaga viwanja vya Whitehouse.
Endeleeni kujichanganya. Si mnajua maana ya chama dola?Nyie mmesema mnakuja na style yenu ya maumau?
Mnapambana humu mitandaoni tu, Dodoma mkutano unafanyika na hakuna atakayesogelea Chama tawala. Mitandaoni humu ruksa BAVICHA kupamabana.tutegemee mpambano mkubwa kati ya Bavicha na UVCCM. ni bora mkutano ule ukahairishwa vinginevyo tutegemee madhara.
Mkuu, BAVICHA wanapambana mitandaoni tu.Endeleeni kujichanganya. Si mnajua maana ya chama dola?
Mimi naomba Mbowe, Lissu, Lema na Sugu wawe frontline kudhihirisha wamedhamiria kuliko kutanguliza watoto wa wengine kwenda kuvunjwa miguu.
Nasubiri kwa hamu kuona Ole Sosopi, Mbowe, Salum Mwalimu, Tundu Lissu, Lema, Msigwa, Sugu wakiwa front line
Hivi, Shah wa Iran ilikuwaje na silaha zake zote?Washawasha moja tu lina uwezo wa kusambarstisha zaidi ya watu 50,000. Hao 4,000 ni kitu gani?
kutokana na tamko la Polis na tamko la magu, Huwo mkutano ni batili, so uwo mkutano ni sehemu ya uhalifu kwahiyo polis lazma wasaidiwePolisi hawaingiliwi katika kazi zao. Atakayejichanganya lazima ashughulikiwe
Wako million 1 bawachaZumbukuku wewe usiongee bila kuwa na data, zanzibar ina wakazi laki 5 hawafiki milioni mbwa wewe
Afadhali wangeenda kimya kimya,lakini mpaka sasa intelejensia inatuonyesha wanataka kufanya mkusanyiko usio rasmi!Hahahahahaaaaa! Hakuna wa kumzuia Magu kuwa mwenyekiti wa CCM
Vitisho vya kitoto hivyo,Taarifa za Magazeti zinaripoti kuwa inategemewa vijana zaidi ya 4,000 wanategemewa kuingia Dodoma kabla ya July 23,ili kusaidia polisi kuzuia mikutano ya CCM.Vijana hao wa Chadema wanategemewa kutoka pande zote Tanzania.Viongozi wa Chadema mikoani wametoa taarifa kuwa tayari wawakilishi wamepatikani kwa wingi tayari kwa kusaidia polisi
Huyo ni bawacha haoni utofauti kati ya wapiga kura na wakaziMkuu kosa gani kuniita mbwa? z'bar inawakazi mil.1.5 kwa sensa ya mwaka 2012,wewe idad ya laki 5 ni wapiga kura kwa mwaka jana,your are not current at all! acha kutukana mtu usiyemjua,nimekusamehe bure.
Unahesabu na watoto wachanga? Watu wazima, waliofikia kupiga kura ni kama laki 5.Zenji ina watu 1.5 million