Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,179
- 3,539
kama ilivyokuwa kipindi cha bunge la katiba tuliona chadema na ukawa wakisusia na kutoka njee .....
kipindi cha bunge lilipopita tuliweza kuona chadema wakisusa na kutoka bungeni wakitoka njeee. .....
kipindi cha uchaguzi wa meya kinondoni tuliweza kuona chadema wakisusia uchaguzi wa mayor ......
hivo kuelekea 2020 tungependa kuona chadema wakisusia kuingia katika uchaguzi mkuu
maana hata wakishiriki vipi hawawezi kuishindaa ccm na ccm itashinda tuu na hii inatokana mazingira ya wapenda mabadiliko wengi wameshakata tamaa ya kupiga kura, kulinda kura na aina ya siasa za sasa
kipindi cha bunge lilipopita tuliweza kuona chadema wakisusa na kutoka bungeni wakitoka njeee. .....
kipindi cha uchaguzi wa meya kinondoni tuliweza kuona chadema wakisusia uchaguzi wa mayor ......
hivo kuelekea 2020 tungependa kuona chadema wakisusia kuingia katika uchaguzi mkuu
maana hata wakishiriki vipi hawawezi kuishindaa ccm na ccm itashinda tuu na hii inatokana mazingira ya wapenda mabadiliko wengi wameshakata tamaa ya kupiga kura, kulinda kura na aina ya siasa za sasa