CHADEMA 2010: Kutoka "Hapa" mpaka "kule"

Kazi nzuri, nimesoma na ninaendelea kuisoma, pia nimefurahia michango ya watu mbalimbali kwani inazidi kuboresha huu mjadala. Nilivyo mvivu wa kuandika naona watu kama Mwanakijiji ni speacial tarent. Mimi ni mzee wa kudeliver tu!
 
hongera sana mwanakijiji kwa kuyaona mapungufu ya Chadema na kuyakosea ..siku zote mtu ni lazima ujifunze kupitia makosa huwezi kuwa sahihi siku zote .
 
Asante MMM, ninaanza kusoma na niliamini siku zote nina spidi ya kusoma, kumbe sivyo mheshimiwa RAISI Mtarajiwa ni mwepesi mno ameshasoma na kutoa mawazo yake. Je huu si ushahidi tosha wa uwezo wa Mtu huyu! Akiwa mjengoni, taarifa zote anazipitia kama alivyofanya hapa, hakai vikao vya bila sababu, nimefurahishwa sana na kitendo alichokifanya, Asante Dr Slaa.

MMM Hongera kwa fikra pevu, hakuna cha kuchelewa! Tena bora kuchelewa kuliko kukaa kimya. Sioni matiki yeyote ya kukosolewa eti kwa kuwa tu hukusema haya mapema. Wakati ni HUU tu siku zote, twendeni kuleeee.

Natamani huu ukumbi ungekuwa AUDIO; wengi wetu hatupendi kuyapa macho kazi bali midomo na masikio, ndivyo tulivyo hapa Bongo
 
Slaa keep on going nothing will stop us ni muda wa chadema na ukombozi wa watanzania HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE KAMANDA CCM HAINA HATI MILIKI YA TAIFA HILI jamaa karudi speed toka spain alipo sikia uteuzi wa kamanda na hasafiri tena kweli slaa kweli kweli
 
Umefika wakati tuwe optimistic na sio perssimistic, mbona huko US, UK, Israel, na hata kwa jirani zetu Kenya wanabadilisha vyama, kwa nini nasi tusifanye hivyo?

In short, had I been a peer reviewer of your article, I would have dismissed it outright!!!!!!!
[/QUOTE]

Hata kwa JK tulikuwa optimistic wakati ule lakini nini kimetokea, tumepiga hatua nyingi zaidi nyuma kwa sababu hakujiandaa kuongoza. let's not make the same mistake again. muda bado upo Chadema wanaweza kurekebisha kasoro zilizopo na tukasonga mbele.

Hivi unadhani kwa nini CCM siku zote wanasema Wapinzani hawana Sera, ni kwa sababu kama hizi ambazo Mwanakijiji amejaribu kutuamsha sasa hivi, ni kweli na ukweli unauma sera za Chadema hazijakaa sawa kuitwa Sera, lazima ziandaliwe upya tayari kwa uchaguzi wa October.

Chadema kuna wasomi wengi sana naamini hivyo, kazi ya kuandaa Sera nzuri haiwezi kuwachukua muda mrefu. kwa watu serious huenda walishaanza tayari toka Jana. hakuna muda wa kujiuliza uliza sasa hivi, itakuwa kama hadithi za Manyani. Kama Chadema wanaona hakuna Mapungufu well and good, waende na hizo hizo sera Pungufu kwa wananchi, lakini CCM wanaujua udhaifu huo siku nyingi na ndiyo maana siku zote wanashinda kiulaini. Mwanakijiji kaona doa, ni jukumu la Chadema kulisafisha haraka iwezekanavyo.

Dr. Slaa na wenzake naamini ni watu makini ambao wanataka kutengeneza Historia katika nchi yetu, naamini pia hawataki kuonekana kituko mbele ya Safari hatimaye kujivunjia heshima ambayo wameijenga katika Taifa letu.
 
Go go go Dk Slaa although ungejijenga 2015 ilikua muda muafaka au utaonekana mzee

Sijui kwanini watu wengi hawamini kuwa wakati muafaka wa kuing'oa CCM ni mwaka huu October 31, 2010 na badala yake wanasema 2015. Wachache kati ya hao wasioamini kuwa huu ni mwaka muafaka na walionipa majibu wanadai mwaka 2015 CCM itakuwa imesimamisha mgombea mpya asiye na jina miongoni mwa watanzania kwa hiyo itakuwa rahisi kwa CHADEMA kushinda.

Mimi nadhani sio kweli kabisa. Mwaka huu (2010) ndio mwaka CCM wamekuwa na mgombea dhaifu kuliko kipindi chochote toka tumeanza mfumo wa vyama vingi na huenda haitakuja kutokea tena. Na ndio mwaka wanakashfa nyingi kuliko wakati wote ule

Watu wanadhani mwaka 2015 CCM itaweza kumsimamisha Mh. Bernard Membe au someone kwenye baraza la mawaziri la sasa kama Prof. Mark Mwandosya etc. watu ambao wanaoonekana kuwa hawawezi kukatisha mbele ya Dr. Slaa by then. Lakini mimi ninaona tofauti.

Mimi ninaona kuwa Mwaka 2015 CCM watamsimamisha Dr. Asha-Rose Migiro kama mgombea wa nafasi ya urais wa JMT. Na ninadhani kwa wakati huo Dr. Migiro atauzika ukilinganisha na wana CCM wengine. Kwa nini Asha-Rose atauzika wakati huo.
1. CV yake ya kutumika UN
2. Ushawishi wake kwa tabaka la wanawake (ambao ndio wapiga kura wengi,)
3. Atakubalika na tabaka la wasomi
4. Atakuwa at least msafi ukilinganisha na mafisadi wengine wanaoogela kwenye bwawa la maji taka
5. Support ya kimataifa
6.

Kwa Ujumla tusiwakatishe tamaa CHADEMA mwaka wao wa kuikomboa nchi ni huuu
 
Thank you MMKJ.

This is a heavy punch and quite insightful. I have gone through the document and I must admit that once I started reading it I was tempted to read it through to the end.

The document encourages the reader to think outside the box and it may not be palatable to party fanatics who are keen of flattering policitians and political parties. I think Tanzania and Tanzanians badly need alternative thinking even if we may not be comfortable hearing/accepting the alternative ideas. I am glad that Dr. Slaa has gone through the document and was thankful. This is an indication that he is open minded and willing to accept constructive criticism.

I need to reflect on the message and if possible go through the document once again before posting my comments if necessary.

Best Regards
Tata
 
Mkuu GS,

Mtu anaekueleza mapungufu yako ni mtu mzuri sana na anakutakia mema, kuliko yule anayekuambia sifa nzuri (strengths) ambazo zinaweza kukuvimbisha kichwa na hatimaye ukabweteka ukijua kwamba umekamilika na kumbe kuna wengine waliokamilika zaidi. Siku ukija kupambana nao wanakushinda kirahisi na baada ya hapo unaanza kujuta.

Hiyo kazi ya Mwanakijiji haijachelewa, siku bado zipo, bado kuna muda wa kuyafanyia kazi hayo mapungufu. Unajua wakati mwingine mtu anaweza asijue apeleke wapi mchango wake wa mawazo maana hana uhakika kama mchango wake huo utakubalika ama kupokelewa vipi. Kwa hiyo nina imani kwamba kwa wadhifa/madaraka aliyo nayo Dr. Slaa na kwa kuwa sasa anapeperusha bendera ya CHADEMA, basi atakaa chini na kuchambua kipi kinawezekana na kipi hakiwezekani.

Sijapitia hiyo kazi ya Mwanakijiji, lakini kama kuna criticisms ambazo ameziweka humo, basi mpeni nafasi aseme angekuwa yeye angefanya nini ama angekuwa na mkakati gani ili kuondoa hayo mapungufu. Kama atashindwa kuwapa mawazo yake hapo ndipo ninaweza kusema kwamba hakuwa na sababu ya kuelezea mapungufu, maana ili kitu kionekane kina mapungufu, lazima mtoa kasoro aseme ingekuwa hivi ama vile basi ingekuwa mswano. Then watu wanakaa chini na kuangalia kama wanaweza kurekebisha ama kuchukua hayo mawazo yake.

Siyo kila ushauri lazima ukubaliwe, bali kuna mwingine unaweza kuwa mgumu kuutekeleza kulingana na mazingira, muda/wakati na pia inawezekana ukawa unapingana na mambo mengine ya msingi yaliyo ndani ya chama.

Mkuu.Kama hujapitia waraka huu basi huna sababu ya kufuata upepo na kusema kwamba muda bado upo.Ni machache sana yanaweza kutekelezeka kwa kipindi kilichobaki lakini mengi hayatekelezeki.Unajua kuumabiwa mapugufu yako kwa mtu unayetarajia kufunga nye ndoa siku moja kabla ya hiyo ndoa yenyewe,halafu mapugufu yenyewe yanaweza kufanya ndoa isifungwe ni kitu ambacho kinauma sana.

Kwa matazamo wangu Mwanakijiji ametengeza haoja hii kindharia zaidi,practicaaly haiwezekani halafu ana ndoto ambazo haziwezi kutokea mwaka huu.Sisi ndio watu tulioko field tunatambua jinsi hali ilivyo huku.Lakini pili Mwanakijiji analeta siasa za Marekani ambao wenzetu walianza siasa tangu miaka ya 1800 huko.Siasa za eti kila mgombea Urais au Ubunge awe na sera zake.wagombea wenyewe wa Urais wako wapi? siku zote kila chama kimekuwa na mgombea mmoja,wakijitokeza hao wengine huwa wanajifurahisha tu lakini huwa from the beggining inajulikana kabisa nani atakuwa mgombea Urasi.Kwa wagombaea Ubunge nako eti wawe na sera zao,nani kakwambia siasa zetu za Tanzania wapiga kura wanaangalia sera?ni wangapi wanaongalia sera,sijui itikadi,hivi vitu tunavifanya for formalities tu lakini kiukweli wapiga kura wengi wala hawana mpango wa kuangalia sera.Sasa hizi hoja za wagombea kushindanishwa na sera kwa miaka hii wala haina mashiko.Kwanza wagombea wenyewe tunao?ni majimbo mangapi ambapo watu wanpita bila kupingwa?ni machache sana yanyokuwa na mgombea zaidi ya mmoja.Kwa kweli mi bado wala sijamwelewa rafiki yangu mpenzi Mwanakijiji.
 
Kwa matazamo wangu Mwanakijiji ametengeza haoja hii kindharia zaidi,practicaaly haiwezekani halafu ana ndoto ambazo haziwezi kutokea mwaka huu.Sisi ndio watu tulioko field tunatambua jinsi hali ilivyo huku.Lakini pili Mwanakijiji analeta siasa za Marekani ambao wenzetu walianza siasa tangu miaka ya 1800 huko.Siasa za eti kila mgombea Urais au Ubunge awe na sera zake.wagombea wenyewe wa Urais wako wapi? siku zote kila chama kimekuwa na mgombea mmoja,wakijitokeza hao wengine huwa wanajifurahisha tu lakini huwa from the beggining inajulikana kabisa nani atakuwa mgombea Urasi.Kwa wagombaea Ubunge nako eti wawe na sera zao,nani kakwambia siasa zetu za Tanzania wapiga kura wanaangalia sera?ni wangapi wanaongalia sera,sijui itikadi,hivi vitu tunavifanya for formalities tu lakini kiukweli wapiga kura wengi wala hawana mpango wa kuangalia sera.Sasa hizi hoja za wagombea kushindanishwa na sera kwa miaka hii wala haina mashiko.Kwanza wagombea wenyewe tunao?ni majimbo mangapi ambapo watu wanpita bila kupingwa?ni machache sana yanyokuwa na mgombea zaidi ya mmoja.Kwa kweli mi bado wala sijamwelewa rafiki yangu mpenzi Mwanakijiji.

Haya mawazo ya kushindwa ni mabaya zaidi kuliko inavyofikiria rafiki yangu, ni mawazo ambayo yanajikatisha tamaa yenyewe. Kama wapo wengi ambao wamepokea hii ndani ya Chadema wakiwa na mawazo haya, basi kweli tuna tatizo kubwa zaidi kuliko tunavyofikiria.
 
Haya mawazo ya kushindwa ni mabaya zaidi kuliko inavyofikiria rafiki yangu, ni mawazo ambayo yanajikatisha tamaa yenyewe. Kama wapo wengi ambao wamepokea hii ndani ya Chadema wakiwa na mawazo haya, basi kweli tuna tatizo kubwa zaidi kuliko tunavyofikiria.

Mawazo ya kushindwa kivipi?sidhani kama ninawaza kushindwa ila niko realistically.Huu ni mtazamo wangu mimi na sio wa chama,wengine nao wanamitazamo yao.Hapa nazungumza mimi kama GS.
 
nimeipitia mstari baada ya mstari ni uchambuzi wa kina unoonyesha mazuri na mapungufu ya CHADEMA kwani wahenga walisema"RAFIKI WA KWELI NI YULE ANAEKUAMBIA UKWELI"Uchambuzi huu unaweza kukisaidia CHADEMA kua katika nafasi nzuri kuelekea uchaguzi Ahsante Mwanakijiji .CHADEMA USHINDI NI LAZIMA MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hongera sana M.M.M kwa uchambuzi makini uliotulia. Mungu akubariki kwa kazi nzuri unayoifanya kuamsha taifa hili letu. UBARIKIWE!

N
 
Wakati karibu tupate Uhuru, Mangi Thomas Mareale alikwenda Marekani akasema hatujajitayarisha vizuri, ni vema tusibirishe siku ya Uhuru. Sote tunashukuru kwamba Mwalimu hakukubaliana naye.

Mwaka kesho tunafikisha miaka 50 tangu tupate Uhuru. Hali si nzuri, tunataka kubadilisha uongozi kwa dhati. Kubadilisha kabisa chama tawala. Sasa MMKJ anasema hatujafikiria vizuri. Umekuwa Mangi Mareale tena?

Chadema imejitayarisha vizuri sana. Si ya jana. Ina viongozi wanaoweza kabisa kazi ya kusimamia serikali. Utasemaje lazima wapange hata mawaziri wao kwanza? Nani anafanya hivyo? CCM?

Wananchi wanajipanga chini ya uongozi wa Chadema. Do not water down their enthusiasm.
 
Wakati karibu tupate Uhuru, Mangi Thomas Mareale alikwenda Marekani akasema hatujajitayarisha vizuri, ni vema tusibirishe siku ya Uhuru. Sote tunashukuru kwamba Mwalimu hakukubaliana naye.

Well, kuna wengine wangeweza kusema kuwa tungechelewa kidogo kupata uhuru.. na wakajenga hoja ikaeleweka.


Mwaka kesho tunafikisha miaka 50 tangu tupate Uhuru. Hali si nzuri, tunataka kubadilisha uongozi kwa dhati. Kubadilisha kabisa chama tawala. Sasa MMKJ anasema hatujafikiria vizuri. Umekuwa Mangi Mareale tena?

Ooh no.. sijasema hatujafikiria vizuri; nasema tutafanya makosa kama hatutafikiria implication hiyo.


Chadema imejitayarisha vizuri sana. Si ya jana. Ina viongozi wanaoweza kabisa kazi ya kusimamia serikali.

Utaona katika maandishi yangu yote, sikugusa hata sehemu juu ya uwezo wa viongozi wa Chadema. Believe me, ningetaka kugusa huko wala tusingeelewana kabisa. Kwa makusudi kabisa kwa miaka yote hii minne sijaingia kugusa juu ya Uongozi wa Chadema, ningewajeruhi zaidi. Ninajitahidi kuchagua maneno yangu na mada vizuri.

Utasemaje lazima wapange hata mawaziri wao kwanza?

Absolutely! Yaani mtu anataka Urahisi na hajui atapata wapi Mawaziri, Wakuu wa Mikoa. Usiniambie unataka akishaapishwa ndiyo aanze kuuliza nani ashike nafasi gani? That would be the most irresponsible government ever to have come to power. Wasipoweza hata kuziba nafasi za kisiasa za Uwaziri, Unaibu, Ukuu wa Mkoa.. wataweza kweli kuziba za ukuu wa wilaya, Ukurugenzi n.k Au utasema watawataka wateuliwa wa Kikwete waendelee kukaa madarakani wakati Chadema inatafuta watu wa kujaza nafasi hizo?


Nani anafanya hivyo? CCM?

Absolutely! You didn't know this?


Wananchi wanajipanga chini ya uongozi wa Chadema. Do not water down their enthusiasm.

ooh no sir, I'm not watering it down.. I'm just watering it a little bit more.
 
Well, kuna wengine wangeweza kusema kuwa tungechelewa kidogo kupata uhuru.. na wakajenga hoja ikaeleweka.




Ooh no.. sijasema hatujafikiria vizuri; nasema tutafanya makosa kama hatutafikiria implication hiyo.




Utaona katika maandishi yangu yote, sikugusa hata sehemu juu ya uwezo wa viongozi wa Chadema. Believe me, ningetaka kugusa huko wala tusingeelewana kabisa. Kwa makusudi kabisa kwa miaka yote hii minne sijaingia kugusa juu ya Uongozi wa Chadema, ningewajeruhi zaidi. Ninajitahidi kuchagua maneno yangu na mada vizuri.



Absolutely! Yaani mtu anataka Urahisi na hajui atapata wapi Mawaziri, Wakuu wa Mikoa. Usiniambie unataka akishaapishwa ndiyo aanze kuuliza nani ashike nafasi gani? That would be the most irresponsible government ever to have come to power. Wasipoweza hata kuziba nafasi za kisiasa za Uwaziri, Unaibu, Ukuu wa Mkoa.. wataweza kweli kuziba za ukuu wa wilaya, Ukurugenzi n.k Au utasema watawataka wateuliwa wa Kikwete waendelee kukaa madarakani wakati Chadema inatafuta watu wa kujaza nafasi hizo?




Absolutely! You didn't know this?




ooh no sir, I'm not watering it down.. I'm just watering it a little bit more.

WAAAT? hapo pekundu inaelekea hujakaa chini na kufikiria. Kwanza kuna transitional period katika govt yeyote. Katika kipindi hicho, kuna negotiations kibao zinaendelea katika chama kilichoshinda kuweza kujipanga vizuri. Chadema haihitaji kuja na list ya viongozi wake. Kwani Obama alikuja na list ya viongozi? Si walichaguliwa katika hii transition period. Na kuna wengine waliobaki kutoka serikali ya Bush. Kumbuka a civil servant hatakiwa kuwa na mshikamano wowote na chama chochote. Kwa mfano Mkuu wa Majeshi, IGP, wakoo wa mikoa, wilaya, etc. Wao ni kufanyia kazi policies za the ruling party. Ama sivyo, uchaguzi ungekuwa ni kazi bure kama kila chama lazima kije na viongozi wote.hahahhaa
This is exactly why naona bado unaumia na CCJ.hahahaha!
 
Back
Top Bottom