Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Mwanakijiji said:Simba au Chui anapomrukia mnyama kumrarua haendi kung'ata mguu au mkia. Na tena haendi kurukia minofu ya paja au mbavu. Anaenda kwa shingo kwanza ili kumzuia mnyama yule kupumua na kuzuia damu kwa kubana mshipa unarudisha damu kutoka kwenye ubongo (jugular vein).
Mwanakijiji pamoja na mawazo yako mazuri, napinga kitendo chako cha kuwashauri CHADEMA wakimbilie kunga'ta kwenye Jugular Vein ambayo inarudisha damu chafu toka kwenye ubongo. Mimi nashauri wanga'te kwenye shingo hiyo hiyo, lakini wanga'nga'nie kwenye Carotid Artery kwani mishipa hii inapeleka damu safi yenye oksijeni na sukari (glucose) kwenye ubongo, vitu ambayo ni muhimu sana kwa ubongo. Kwa hiyo kama wataweza kunga'ngania hiyo shingo na kukamata Carotid artery basi huyo mnyama atakuwa kitoweo badala ya dakika chache tuu.......LOL