MMK,
Asante sana kwa very comprehensive and Constructive analysis.nimesoma yote na nitaendelea kuifanyia analysis hatua kwa hatua, na kuona hatua stahiki zinachukuliwa. Naomba uendelee kutushauri tunavyoendelea na maandalizi yetu. Tanzania ni yetu wote, na Input ya kila mmoja wetu inaweza kututoa tulipo na kwenda tunakotaka. Thanks a lot.
Mwanakijiji
Kwanza nikupongeze kwa kutenga muda wako na kuja na hii Hoja.Pili nikuombe radhi kwanza kwa nitakayoyasema ,nimaomba radhi kwa kuwa wewe ni rafiki yangu ninayekupenda sana.kwa ujumla kabla ya kuanza kuchambua kipengele kwa kipengele mpaka pale nilipofikia kusoma nyaraka hii.
Kwa ujumla nimegundua vitu kadhaa kuhusu hoja hii.
1. Huna dhamira ya dhati kuhusu CHADEMA.Mambo mengi uliyoandika humu ni kuponda tu kana kwamba CHADEMA haijafanya lolote..Nikubaliane na wewe kwamba sehemu nyingi uko sahihi kuhusu CHADEMA lakini why now wakati tayari muda umeshakwenda zimebaki siku chache tu kuanza kampeni?ulikuwa wapi kueleza mapungufu haya siku zote hizo?WHY NOW?Na mbona mapugufu tu hivi CHADEMA haina Strengths zozote?Naomba niungane na wale wanaohisi huenda wewe ukawa ni CCM au Usalama wa taifa kwa staili ya aina yake,na wale wanaohisi wewe sio mpiganaji mwenzetu ..Unauma huku unapuliza
2.Unajitahidi kwa kila hali kuhakikisha kuwa CCJ ionekane ndio chama mbadala baada ya Uchaguzi Mkuu
Huu ndio mtazamo wangu wa ujumla.Niko na wewe kipengele kwa kipengele..stay tuned.
Jemedari.. nyuma yako niko tayari kufuata! Utuongoze vitani!
Acha uongo..ha ha ha!
mmmh.. pa kuitana waongo!?? haya ngoja nipige magoti na kuabudu katika altare ya waipambao sifa za kufurahishana. Kama ndiyo watawala wetu wengine mnatupa dalili hizi naogopa...
Acha uongo..ha ha ha!
Ichukue hii positively, imejitosheleza na itasaidia sana kama itafanyiwa kazi.
MMMK mara zote tukiingia ulingoni/uwanjani tunapunguza maswali tunaangalia sana kwenye majibu.
Huwezi kutunga sheria ukiwa uwanjani sasa hivi mpira umeanza tuache theory tutekeleze mambo kwa vitendo
Mwanakijiji
Kwanza nikupongeze kwa kutenga muda wako na kuja na hii Hoja.Pili nikuombe radhi kwanza kwa nitakayoyasema ,nimaomba radhi kwa kuwa wewe ni rafiki yangu ninayekupenda sana.kwa ujumla kabla ya kuanza kuchambua kipengele kwa kipengele mpaka pale nilipofikia kusoma nyaraka hii.
Kwa ujumla nimegundua vitu kadhaa kuhusu hoja hii.
1. Huna dhamira ya dhati kuhusu CHADEMA.Mambo mengi uliyoandika humu ni kuponda tu kana kwamba CHADEMA haijafanya lolote..Nikubaliane na wewe kwamba sehemu nyingi uko sahihi kuhusu CHADEMA lakini why now wakati tayari muda umeshakwenda zimebaki siku chache tu kuanza kampeni?ulikuwa wapi kueleza mapungufu haya siku zote hizo?WHY NOW? Na mbona mapugufu tu hivi CHADEMA haina Strengths zozote? Naomba niungane na wale wanaohisi huenda wewe ukawa ni CCM au Usalama wa taifa kwa staili ya aina yake,na wale wanaohisi wewe sio mpiganaji mwenzetu ..Unauma huku unapuliza
2.Unajitahidi kwa kila hali kuhakikisha kuwa CCJ ionekane ndio chama mbadala baada ya Uchaguzi Mkuu
Huu ndio mtazamo wangu wa ujumla.Niko na wewe kipengele kwa kipengele..stay tuned.