Chad: Rais Idriss Déby afariki dunia saa chache baada ya kutangazwa mshindi wa Urais kwa muhula wa sita

Watajijua waafrika ndivyo tulivyo yaani tangu 1991 mtu yuko madarakani tu , hakuna maendeleo udikteta tu
Hali ya wananchi wa Chad ni mbaya sana lakini jamaa akaendelea kuwa madarakani.

Huu upuuzi na hapa kwetu ulianza kufanywa tena kwa usimamizi wa Spika ilhali maisha ya wananchi yakiwa hovyo.
 
Mmmmmh!
Yale yale historia ya Kabila DRC, imeisha hiyo!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Je, ni wakati wa Kumuomba Mungu aliyetembelea CHAD eje EAST AFRIKA kwa watu kama hao, maana mwezi uliopita alikuwa Tanzania?
 
Screenshot_20210421-104028.png

Marehem Deby na Marehem JPM 2016, Deby alikuja kutembea Tanzania
 
Back
Top Bottom