wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,342
mkuu yaishe sasa.Ee Mungu sisi Waafrika tunakushukuru sana kwa 2021.
Daima kila ufanyalo wewe ni jema na ni haki kabisa.
mkuu yaishe sasa.Ee Mungu sisi Waafrika tunakushukuru sana kwa 2021.
Daima kila ufanyalo wewe ni jema na ni haki kabisa.
Sahau hiloKuna siku madikteta wataisha tu
Kwa mfano Sifa za huyu wa Chad Idriss Deby 'aliyeuwawa' kwa 'Kimbelembele' cha Kujifanya amepitia Jeshi na kaiva Kimedani wakati si kweli ni hizi zifuatazo...
Hali ya wananchi wa Chad ni mbaya sana lakini jamaa akaendelea kuwa madarakani.Watajijua waafrika ndivyo tulivyo yaani tangu 1991 mtu yuko madarakani tu , hakuna maendeleo udikteta tu
Aliigeuza nchi kama mali ya familia yakeAfrika hapa shida sana, wewe umekaa mihula 5, si uacheee. Kama miaka 30 umetawala hujaridhika na hujabadili kitu miaka 5 inatosha nini?
Hakuna cha makamo!Duh.
Hapo Makamu ndiyo ataapishwa au ni watarudia tu uchaguzi?
Mmh ngoja niangalie bbcKapewa Urais kama pole Kwa kufiwa ama naye alikuwa sehemu ya Serikali au miongoni mwa wagombea?
Pathetic indeed!!!
Huyu naomba Mungu aondoke ht leo na pk na wengineoBado MU7! Nae hana budi kuishi kwa umakini sana. Haiwezekani tangu 1986 mpaka leo, bado anadunda tu.
Hebu fuatilia vyema usinipotezee muda.Hapo kwenye udini kvp mkuu?
Rafiki wa meko huyu,bora limekufa hili naloMsemaji wa jeshi la Chadi amesema Rais ya nchi hiyo Idris Derby amefaliki dunia.
Tutaleta habari kamili kadili zitakavokua zinatolewa.
Of course nchi bado ni mali ya familia maana nchi kapewa mtoto wake.Aliigeuza nchi kama mali ya familia yake
Viewers bil 3.9Itabidi azungushwe mikoani na visiwani.
Watakaomkashifu wakamatwe
Upnext
M7
Pk