Chad: Mkuu wa Majeshi afukuzwa kazi baada ya kumkosoa Rais

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Mkuu wa Majeshi nchini Chad, Ahmat Koussou Moursal amefukuzwa kazi baada ya kuandika barua ya wazi kumkosoa Rais Idriss Deby.

Katika barua yake, mkuu huyo alimlaumu Rais kuwasahau rafiki zake waliokuwa wote jeshini, kusini mashariki mwa Chad, Guera.

Pia alizilaumu mamlaka kwa kutowalipa fidia walioumizwa na ukatili wa Hissene Habre, aliyekuwa Rais kabla ya Idriss Deby.

Serikali ya Chad imesema, mkuu huyo hatapata fidia yoyote.

====

A Chadian army general, Ahmat Koussou Moursal, has been removed from the armed forces after writing an open letter criticising President Idriss Deby.

The Chadian government said the sacked general will not be entitled to any pay or compensation, but did not give reasons for his removal.

In the letter, Gen Moursal accused President Deby of having abandoned his former comrades-in-arms from Guera, a locality in south-eastern Chad.

He also accused Chadian authorities of not compensating the victims of former President Hissene Habré's brutality.
 
Anataka serikali gani ya kishikaji wakati imeshajaa washikaji kibao wa Idris Deby na kabila lake za zaghawa.
 
Mkuu wa Majeshi nchini Chad, Ahmat Koussou Moursal amefukuzwa kazi baada ya kuandika barua ya wazi kumkosoa Rais Idriss Deby.

Katika barua yake, mkuu huyo alimlaumu Rais kuwasahau rafiki zake waliokuwa wote jeshini, kusini mashariki mwa Chad, Guera.

Pia alizilaumu mamlaka kwa kutowalipa fidia walioumizwa na ukatili wa Hissene Habre, aliyekuwa Rais kabla ya Idriss Deby.

Serikali ya Chad imesema, mkuu huyo hatapata fidia yoyote.

====

A Chadian army general, Ahmat Koussou Moursal, has been removed from the armed forces after writing an open letter criticising President Idriss Deby.

The Chadian government said the sacked general will not be entitled to any pay or compensation, but did not give reasons for his removal.

In the letter, Gen Moursal accused President Deby of having abandoned his former comrades-in-arms from Guera, a locality in south-eastern Chad.

He also accused Chadian authorities of not compensating the victims of former President Hissene Habré's brutality.
Karma
 
August 12, 2020
Chadian President Idriss Deby has been named Africa’s new field marshal by his parliament.
Chadian-President-Idriss-Deby-now-field-Marshal.jpg
Chadian Marshal President Idriss Deby is Africa’s new field marshal
Chadian President Idriss Deby is Africa’s new field marshal (Twitter)
Deby, a 68-year-old general who came to power in 1990 was honoured during Tuesday’s celebration of the country’s 60th anniversary of independence from France.

It is the highest military rank in the country. Currently there are two living field marshals; ex military commander in chief Mohamed Hussein Tantawi (Active Duty) and President Abdel Fattah el-Sisi of Egypt (Active Duty
 
11 April 2020
N'Djamena, Chad

Shughuli nzima ya Bunge la nchi ya Chad kumpandisha cheo Rais jenerali Idriss Deby kuwa na cheo cha juu cha Field Marshal .

 
Back
Top Bottom