Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Mkuu wa Majeshi nchini Chad, Ahmat Koussou Moursal amefukuzwa kazi baada ya kuandika barua ya wazi kumkosoa Rais Idriss Deby.
Katika barua yake, mkuu huyo alimlaumu Rais kuwasahau rafiki zake waliokuwa wote jeshini, kusini mashariki mwa Chad, Guera.
Pia alizilaumu mamlaka kwa kutowalipa fidia walioumizwa na ukatili wa Hissene Habre, aliyekuwa Rais kabla ya Idriss Deby.
Serikali ya Chad imesema, mkuu huyo hatapata fidia yoyote.
====
A Chadian army general, Ahmat Koussou Moursal, has been removed from the armed forces after writing an open letter criticising President Idriss Deby.
The Chadian government said the sacked general will not be entitled to any pay or compensation, but did not give reasons for his removal.
In the letter, Gen Moursal accused President Deby of having abandoned his former comrades-in-arms from Guera, a locality in south-eastern Chad.
He also accused Chadian authorities of not compensating the victims of former President Hissene Habré's brutality.
Katika barua yake, mkuu huyo alimlaumu Rais kuwasahau rafiki zake waliokuwa wote jeshini, kusini mashariki mwa Chad, Guera.
Pia alizilaumu mamlaka kwa kutowalipa fidia walioumizwa na ukatili wa Hissene Habre, aliyekuwa Rais kabla ya Idriss Deby.
Serikali ya Chad imesema, mkuu huyo hatapata fidia yoyote.
====
A Chadian army general, Ahmat Koussou Moursal, has been removed from the armed forces after writing an open letter criticising President Idriss Deby.
The Chadian government said the sacked general will not be entitled to any pay or compensation, but did not give reasons for his removal.
In the letter, Gen Moursal accused President Deby of having abandoned his former comrades-in-arms from Guera, a locality in south-eastern Chad.
He also accused Chadian authorities of not compensating the victims of former President Hissene Habré's brutality.