Chachu Kidogo Huchachusha Donge Zima

IsayaMwita

JF-Expert Member
Mar 9, 2008
1,127
140
Enyi Watanzania Badilikine!

Watanzania mna nini humo vichwani mwenu? mnawaza nini? Ni nani anaweza kukujengea nyumba yako mwenyewe huku umesimama pembeni? Mbona tunaishia kupiga kelele tu? mara tumeibiwa, mara mikataba mibovu ooo!!!!! ardhi yetu!!!. Hii tabia ya uoga itaisha lini hapa tanzania?

Napenda watanzania ndugu zangu tusiishie kupiga kelele huku hawa watawala wetu wakichukua vilivyo vyao, wakifanya watakavyo. Ni nani katuroga? maisha yetu yana thamani gani katika taifa letu hili tajiri huku sisi tukiwa maskini wa kutupwa?

MKOA WA MARA, UNAPATIKANA KANDA YA ZIWA,huko ndiko Mwalimu Nyerere alikozaliwa, wakazi wa mkoa huo ni wazalendo, wapenda nchi yao, kujitoa kafara si shida kwao, na ndiyo maana majeshini wamejaa.Siku zote wao hujua 1+1=2 na wala si 3, uongo kwao ni sumu, hawa ndiyo walioleta upinzani wa kweli 1995, walipoamua kuvichagua vyama vya upinzani siku zile mtakumbuka kama si Mwalimu Nyerere siku zile mkoa mzima ungetwaliwa na wapinzani.

Hoja yangu ni hii, kwa kuwa watanzania mumeona jinsi watu wa mara wanavyojitahidi kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini,sasa hamuoni kuwa CHACHU NDOGO HUCHACHUSHA DONGE ZIMA? mikoa yote mna kazi ya kujitutumua ili tukatae unyanyasaji huu wa chama hiki cha ccm? Jiulize ni kwa nini CCM MWAKA HUU WAMEAMUA KUFANYIA VIKAO VYAO HUKO MUSOMA? CCM INAWAJUA WANAMARA,HAWADANGANYWI KWA MKATE.

Ndugu zangu watanzania tunataka mabadiliko, lakini tunajiangusha sisi wenyewe, maneno yamekuwa mengi, nawashukuru KIGOMA, KAGERA ambapo panaonyesha kuwepo kwa mabadiliko.

Mwana wa Mwita nimesema.
 
Enyi Watanzania Badilikine!

Watanzania mna nini humo vichwani mwenu? mnawaza nini? Ni nani anaweza kukujengea nyumba yako mwenyewe huku umesimama pembeni? Mbona tunaishia kupiga kelele tu? mara tumeibiwa, mara mikataba mibovu ooo!!!!! ardhi yetu!!!. Hii tabia ya uoga itaisha lini hapa tanzania?

Napenda watanzania ndugu zangu tusiishie kupiga kelele huku hawa watawala wetu wakichukua vilivyo vyao, wakifanya watakavyo. Ni nani katuroga? maisha yetu yana thamani gani katika taifa letu hili tajiri huku sisi tukiwa maskini wa kutupwa?

MKOA WA MARA, UNAPATIKANA KANDA YA ZIWA,huko ndiko Mwalimu Nyerere alikozaliwa, wakazi wa mkoa huo ni wazalendo, wapenda nchi yao, kujitoa kafara si shida kwao, na ndiyo maana majeshini wamejaa.Siku zote wao hujua 1+1=2 na wala si 3, uongo kwao ni sumu, hawa ndiyo walioleta upinzani wa kweli 1995, walipoamua kuvichagua vyama vya upinzani siku zile mtakumbuka kama si Mwalimu Nyerere siku zile mkoa mzima ungetwaliwa na wapinzani.

Hoja yangu ni hii, kwa kuwa watanzania mumeona jinsi watu wa mara wanavyojitahidi kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini,sasa hamuoni kuwa CHACHU NDOGO HUCHACHUSHA DONGE ZIMA? mikoa yote mna kazi ya kujitutumua ili tukatae unyanyasaji huu wa chama hiki cha ccm? Jiulize ni kwa nini CCM MWAKA HUU WAMEAMUA KUFANYIA VIKAO VYAO HUKO MUSOMA? CCM INAWAJUA WANAMARA,HAWADANGANYWI KWA MKATE.

Ndugu zangu watanzania tunataka mabadiliko, lakini tunajiangusha sisi wenyewe, maneno yamekuwa mengi, nawashukuru KIGOMA, KAGERA ambapo panaonyesha kuwepo kwa mabadiliko.

Mwana wa Mwita nimesema.


Isayamwita umeongea kama kweli unatoka Musoma ambako mashujaa wamejaa .Hawa unao waambiwa wengi hapa wamesomea mjini haajuo shida yaani ni watoto wa kwenye makochi , wamekuwa na kuzoea wizi wa baba zao serikalini na wamezoea matumizi mabaya ya dola leo watakuelewa ? Ngoja wakianza kuibuka ndiyo utajua ninasema nini .Nitakuonyesha wakianza kujazana na mambo yao ya ajabu .
 
Isayamwita keep talking we are all eyes

Asilimia kubwa ya waliomo humu hawakuwa na maisha ya mteremko, some of us have fought through many hardships, hardships ambazo zimetokana na uzembe na ubadhirifu wa viongozi, viongozi ambao hawana uzalendo wala huruma kwa yeyote ile.

What i know for sure maharamia waliopo hapa ni wachache sana na wanapoteza muda wao wakifikiri wataweza kugeuza akili za watu we have made up our minds na hatuko tayari kurudi nyuma.

Nilishawahi kusema mwanzo the talk we make in here is not cheap, people are seeing where we are coming from na wengi have started seeing things differently nafahamu watu wengi sana ambao ni wasomaji tu lakini habari inakwenda inapotakikana.

Kila mwenye chachu yake please do not hesitate mwaga yote wapokeaji ni wengi kuliko tunavyofikiri, it might not be very soon lakini mabadiliko yanakuja na yatafika.
 
Isayamwita keep talking we are all eyes

Asilimia kubwa ya waliomo humu hawakuwa na maisha ya mteremko, some of us have fought through many hardships, hardships ambazo zimetokana na uzembe na ubadhirifu wa viongozi, viongozi ambao hawana uzalendo wala huruma kwa yeyote ile.

What i know for sure maharamia waliopo hapa ni wachache sana na wanapoteza muda wao wakifikiri wataweza kugeuza akili za watu we have made up our minds na hatuko tayari kurudi nyuma.

Nilishawahi kusema mwanzo the talk we make in here is not cheap, people are seeing where we are coming from na wengi have started seeing things differently nafahamu watu wengi sana ambao ni wasomaji tu lakini habari inakwenda inapotakikana.

Kila mwenye chachu yake please do not hesitate mwaga yote wapokeaji ni wengi kuliko tunavyofikiri, it might not be very soon lakini mabadiliko yanakuja na yatafika.


Maneno mazito na wezi na maharamia kweli wanaumia .Leo CCM wako Zanaki lakini hawawezi kujibu kwa nini Bwawa la Mwalimu mali yake akaamuwa kuwapa wazanaki walitumie Mkapa na CCM kwa ujumla wamelitumia vibaya na bila hata kuombwa Msamaha .
 
Back
Top Bottom