IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,314
Habari bandugu,
Katika ziara ya kustukiza ya Mh. Rais katika hosp. ya Muhimbili nimeshangazwa kidogo baada ya kumuona Rais akiongea na mgonjwa mmoja alietambulishwa kwa jina la Chacha Machange ambae anasumbuliwa na maradhi ya mgongo. (Mh. Rais ameahidi kugharamia matibabu yake)
Nilipomuona kijana huyu nimemfananisha kabisa na yule kijana aliyekuwa akiishi kwenye handaki pale jirani na mlimani city. naombeni kujuzwa kama kweli ni yeye maana kipindi kile alihojiwa na Emanuel Buhohela akiwa ndani ya handaki lake, Au kama Buhohela yumo humu basi atusaidie kutujuza.
Swali jingine je? huenda hayo maumivu yake ya mgongo yamesababishwa na ukosefu wa hewa safi kwenye handaki alimokuwa akiishi? (kama atakuwa ni yeye lakini)
Asanteni
Katika ziara ya kustukiza ya Mh. Rais katika hosp. ya Muhimbili nimeshangazwa kidogo baada ya kumuona Rais akiongea na mgonjwa mmoja alietambulishwa kwa jina la Chacha Machange ambae anasumbuliwa na maradhi ya mgongo. (Mh. Rais ameahidi kugharamia matibabu yake)
Nilipomuona kijana huyu nimemfananisha kabisa na yule kijana aliyekuwa akiishi kwenye handaki pale jirani na mlimani city. naombeni kujuzwa kama kweli ni yeye maana kipindi kile alihojiwa na Emanuel Buhohela akiwa ndani ya handaki lake, Au kama Buhohela yumo humu basi atusaidie kutujuza.
Swali jingine je? huenda hayo maumivu yake ya mgongo yamesababishwa na ukosefu wa hewa safi kwenye handaki alimokuwa akiishi? (kama atakuwa ni yeye lakini)
Asanteni