Cha Tarime hiki

56886f3359cebcb658929764addd8238.jpg

!
!
Mimi nina Ombi maalum... Naomba tuwe tunaruhusiwa kwenda na matofali yetu tuliyoyatengeneza wenyewe. Nina wasiwasi na kiwango cha ubora cha matifali wanayotumia. Asante.
 
Mshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
niutani huo
 
Hii ni jadi ya wakurya wote.
Eti uharo wa mbuzi uliochanganywa na damu unawaletea Ushujaa.

Ndio maana kesi za kukata mapanga wake zao na watoto wao zimejaa huko Tarime na Musoma.
Hizi mila za wendawazimu.

Kipindupindu hakichezi mbali huko.
Kunywa uharo wa mbuzi ni uwendawazimu
Uko sahihi mkuu
 
Mshana Jr Nakuheshimu Sana Mkuu ILA Nakuomba ACHA Narudia Tena ACHA Kuwadhihaki MAKOMANDOO Wetu Kiasi Hiki. Hao Watu WANASTAHILI HESHIMA SANA MKUU Kutokana Na USHUJAA, UVUMILIVU Na SHUGHULI ZAO Na WAMEIFANYIA MENGI MAKUBWA ( Behind Doors ) Nchi Hii Kwa KUJITOA MUHANGA Na Si Ajabu Hata Hiyo Amani Unayojivunia IMENOGESHWA Na Hawa Hawa. Nimejisikia Vibaya Mno ULIVYOWADHIHAKI. Acha Hizo Comrade Japo Mimi Ni Mtu Wako Sana Na Unalijua Hilo ILA Kuhusiana Na Hawa Jamaa Nadhani TUNASTAHILI KUJIVUNIA NAO NA KUWATIA MOYO.
Yaani wewe kweli ni popoma.

Mara hii umeishasahau kama uliudhihaki ukomandoo wa x lut.mlima aliyefia vitani kongo kwa m23!!!!!!!!!.

Gentamycine usipende kushinda chooni mara kwa mara ni hatari kwa afya ya ubongo wako.
 
Yaani wewe kweli ni popoma.

Mara hii umeishasahau kama uliudhihaki ukomandoo wa x lut.mlima aliyefia vitani kongo kwa m23!!!!!!!!!.

Gentamycine usipende kushinda chooni mara kwa mara ni hatari kwa afya ya ubongo wako.
haa achen ujinga nyie uhari unaujua ww fara kwelii et damu ni sumu!!!
shetwan kabsaaa tena ushindwe na ulegee
umesahau kila sehem na jadi zake naona unawashwa wew
 
Kunywa UHARO WA MBUZI ni Mila ya WAKURYA WOTE.

Mnachanganya UHARO WA MBUZI NA DAMU YAKE. mnaita KICHURI.

Hii sikuambiwa na mtu bali NIMEONA KWA MACHO YANGU.

mimi kila mara nachinjia majirani zangu hapa na Siku moja nikaombwa na MKURYA nimchinjie Mbuzi wake.

Wakati nachinja Akaja na Bakuli akakinga Damu inayotoka Shingoni Akakoroga na Mti halafu nilipopasua Tumbo kutoa Utumbo Akapasua MFUKO WA MAVI akachota akachanganya na Ile DAMU AKANYWA PALE PALE km Lita NZIMA YA MAVI na iliobaki akapeleka ndani.

Pumbafu kabisa. Nikamwambia Kuanzia leo Ukae mbali na Mimi.
Mtu mzima UNAKUNYWA UHARO WA MBUZI? akanambia Hii ni JADI YA WAKURYA WOTE. eti inawapa Ushujaa.
Ushujaa wa KUPIGA WAKE ZENU MAPANGA? huo ndio USHUJAA?

Nyie watu wehu.
Mnatakiwa kwenda kumuona Daktari wa akili haraka sana. Kabla hamja maliza kuua WAKE ZENU.
 
Kunywa UHARO WA MBUZI ni Mila ya WAKURYA WOTE.

Mnachanganya UHARO WA MBUZI NA DAMU YAKE. mnaita KICHURI.

Hii sikuambiwa na mtu bali NIMEONA KWA MACHO YANGU.

mimi kila mara nachinjia majirani zangu hapa na Siku moja nikaombwa na MKURYA nimchinjie Mbuzi wake.

Wakati nachinja Akaja na Bakuli akakinga Damu inayotoka Shingoni Akakoroga na Mti halafu nilipopasua Tumbo kutoa Utumbo Akapasua MFUKO WA MAVI akachota akachanganya na Ile DAMU AKANYWA PALE PALE km Lita NZIMA YA MAVI na iliobaki akapeleka ndani.

Pumbafu kabisa. Nikamwambia Kuanzia leo Ukae mbali na Mimi.
Mtu mzima UNAKUNYWA UHARO WA MBUZI? akanambia Hii ni JADI YA WAKURYA WOTE. eti inawapa Ushujaa.
Ushujaa wa KUPIGA WAKE ZENU MAPANGA? huo ndio USHUJAA?

Nyie watu wehu.
Mnatakiwa kwenda kumuona Daktari wa akili haraka sana. Kabla hamja maliza kuua WAKE ZENU.
ww maku naona unatafuta mume wakikurya humu ndani
endlea tu utampata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom