donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishawahi kwenda hoteli moja inajifanya ya kitalii mtaa wa Lumumba hapa na mchizi wangu wa Vichwa Ngumu nondo nyingi, tukapewa wali kama huo.Huo wali wa kuonja?
Ni mlo kamili kwa Mwanaume wa Dar.Huo wali wa kuonja?
Hahaha umenikumbusha home mkuu michembe na matoborwaHuo msosi una vitamin vyote muhimu kuliko kushindilia tumbo na sufuria zima la michembe
Mkuu usiangalie kushiba sana angalia nutrients zinazopatikana. Hivi unajua mwili huchukua only required nutrients na ndo mana vyakula ambayo vinakua unabsorbed vinakua disposed off kama wastes. Simple elementary biology mkuuHilo paja mbona kama la njiwa. Hamna sima? Hii ni njaa tupu tu.
Mie sishibi kabisa hapo
Sasa sisi watu wa kubomoa kwa mpigo tutapata wapi wakati wa kula kula tuportion tudogo tudogo hivo kila baada ya dakika kumi na tano kama chiriku?Mkuu usiangalie kushiba sana angalia nutrients zinazopatikana. Hivi unajua mwili huchukua only required nutrients na ndo mana vyakula ambayo vinakua unabsorbed vinakua disposed off kama wastes. Simple elementary biology mkuu
mkuu umeangalia kwenye simu? hebu zoom utashiba tuHilo paja mbona kama la njiwa. Hamna sima? Hii ni njaa tupu tu.
Kunani mkuu, vipi leo hujawahi? #17! Acha kulala darasani bana.sawa bwana misosi
mkuu umeangalia kwenye simu? hebu zoom utashiba tu