NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 23,998
Wacongo wametoa upinzani uliotakiwa na Simba,washukuru Manula alibetia Mazemba akatoa boko mkeka wake utoke.Kamalizane na wacongo wenu kwanza humo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacongo wametoa upinzani uliotakiwa na Simba,washukuru Manula alibetia Mazemba akatoa boko mkeka wake utoke.Kamalizane na wacongo wenu kwanza humo.
Kweli viwete wenu beleke kawachomeka kimoko cha mundendeSimba imesajili wachezaji Yanga mmesajili viwete.
hizi ndio akili za makolo hamuishiwi sababu.Wacongo wametoa upinzani uliotakiwa na Simba,washukuru Manula alibetia Mazemba akatoa boko mkeka wake utoke.
Yanga SC ina mataji 27 ya LigiKUU Tanzania Bara.Moja kati ya mambo yanayowakwamisha Yanga ni kutaka kushindana na Simba ambayo tayari ina muunganiko na uzoefu wa michuano ya kimataifa.
Simba mataji 19?Yanga SC ina mataji 27 ya LigiKUU Tanzania Bara.
Simba ina mataji 19 ya LigiKUU Tanzania Bara.
Nani ana haki ya kuweka jitihada ya kushindana na mwingine?
Utopolo wataamini kuwa huu ushauri ni mzuri!! Yaani Yanga ikifuñgwa mara kwa mara mwaka huh ni sawa maana tunajenga timu!! Huwezi kuthubutu kutoa ushauri huu kwa timu yohote nyingine duniani isipokuwa kwa timu ya wananchi wa Jamhuri ya Utopolo !Tuendelee kujenga timu mpaka mwakani
Hivi kwa akili yako ya kawaida mtani unadhani kuwa ningeshindwa hata kuingia wikipedia kutafuta ukweli?Simba mataji 19?
Unajisifia ujinga? Bila kubebwa hampati ushiriki kimataifa, huwa mnadhani ni tahisi tu?
Hapa ndipo ninapowaona uto wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara,, yani wewe umesahau kama leo umeaga mashindano na kushangilia simba kufungwa kwenye bonanza 🤔 mjue kwenye ubora Africa kama mlikuwa wa themanini basi now wa mia hukona vipi yule Chuck Norris aliyekalia kimoja cha mkongo?
Simba hakuna timu kwa sasa, hapo wamekuja nusu tu, wangekuja full kuna dalili ya kupigwa mkono.Wacongo wametoa upinzani uliotakiwa na Simba,washukuru Manula alibetia Mazemba akatoa boko mkeka wake utoke.
Unaongelea ya msimu uliopita, Simba hii hata makundi haivuki.Hapa ndipo ninapowaona uto wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara,, yani wewe umesahau kama leo umeaga mashindano na kushangilia simba kufungwa kwenye bonanza mjue kwenye ubora Africa kama mlikuwa wa themanini basi now wa mia huko
Uto ni uto tuUtopolo wataamini kuwa huu ushauri ni mzuri!! Yaani Yanga ikifuñgwa mara kwa mara mwaka huh ni sawa maana tunajenga timu!! Huwezi kuthubutu kutoa ushauri huu kwa timu yohote nyingine duniani isipokuwa kwa timu ya wananchi wa Jamhuri ya Utopolo !
Yoyote yupi ?Yanga ina uwezo wa kumfunga yoyote kwa sasa, kikubwa wachezaji wazuri wapo, timu ipate muda wa kupata muunganiko mzuri ikizingatiwa kuna wachezaji muhimu tumewakosa kwenye game zote mbili, mwalimu naye aomeshe makali yake.
Wewe umevuka nini ?Unaongelea ya msimu uliopita, Simba hii hata makundi haivuki.
Muunganiko Jana ulikuwa likizo? Nanyi mnajifariji tu. Kiufupi mnatembelea nyota ya korona tu hamna lolote Kama unabisha muda utaongea. Simba sc ilikuwa Ile ya kidevu hizi nyingine Ni Asante Korona and associates.Moja kati ya mambo yanayowakwamisha Yanga ni kutaka kushindana na Simba ambayo tayari ina muunganiko na uzoefu wa michuano ya kimataifa.
Sababu zile zile kama za History Form Three;1. Licha ya usajii mzuri hatukuwa tumeyachukulia serious michuano ya CAF.
2. Mafanikio ya Simba SC ya msimu uliopita yalifanya ionekane ni rahisi zaidi kuweka jitihada zisizo thabiti kufika mbali kwenye michuano ya CAF.
3. Pilika za usajili zilifanya tupoteze focus kwenye kuhakikisha ushiriki wa wachezaji wote wanaosajiliwaili waweze kucheza kikamilifu. Pengo la Djuma, Aucho & Mayele yalikuwa na impact katika kuamua matokeo.
4. Ratiba ya Ligi kuu msimu uliopita ilikuwa siyo rafiki hata ikapelekea kucheleweshwa kuhitimishwa kwa Ligi na kuathiri mapumziko & maandalizi ya timu. (Hii itawaathiri washiriki(timu) nyingi zinazotoka Tanzania zikishiriki michuano ya CAF msimu huu.
5. Substitutions za Prof Nabi hazikuwa na Impact katika kuamua matokeo ya Mechi zote mbili ikiwa factors zote huko juu hazikuzingatiwa.
6. Kitu pekee ambacho tumekifanya vyema nyakati hizi ni kwenye kuongeza ubora wa wachezaji kikosini.
WHAT NEXT?
a. Tunahitaji muda zaidi wa kuwaona hii timu mpya ikiwa pamoja at least for one season. Baada ya hapo tutakuwa kwenye position ya kuwa na matarajio kuhusu Klabu Bingwa.
b. Tuandae recruitment network ambayo itakayo tuakikishia wachezaji bora kwa ajili ya msimu ujao (tusingoje kuchukua wachezaji walio maliza mikataba yao)
c. Ni wakati sasa wa kupeleka jitihada na Focus kwenye LigiKUU Tanzania Bara ili kuhakikisha tunashiriki michuano ya CAF tukitokea kwenye Ubingwa wa LigiKUU.
- Ilikuwa ni wiki mbaya ofisini iliyotokana na kupotea kwa muda mrefu kwenye michuano ya CAF na hata kusahau wajibu na majukumu yetu kama Klabu. -
View attachment 1945347
Ni ajabu sana kwa kweli hata hivyo hawajali Kwa kuwa hawajazoea kucheza hayo mashindano yani haiwashtui🤔Hapa ndipo ninapowaona uto wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara,, yani wewe umesahau kama leo umeaga mashindano na kushangilia simba kufungwa kwenye bonanza 🤔 mjue kwenye ubora Africa kama mlikuwa wa themanini basi now wa mia huko
Mwaka huu Yanga ilisajili timu mpya!kwenye first 11 ya mwaka jana kaondoka kisinda tu kikubwa Yanga ilichofanya kuongeza quality player,timu inahitaji muda hiiMwakani tena watasajili timu mpya itatakiwa kukaa mwaka mzima ili kutengeneza timu.
Kwa iyo hata story za ubingwa hamtaki mwaka huuTuendelee kujenga timu mpaka mwakani