Cha Kujifunza Mwananchi Kutoka Port Harcoat - Rivers United 1 - 0 Young Africans SC

Wacongo wametoa upinzani uliotakiwa na Simba,washukuru Manula alibetia Mazemba akatoa boko mkeka wake utoke.
hizi ndio akili za makolo hamuishiwi sababu.
Kadake wewe na kitambi chako cha rushwa
Beleke kakuchomeka kimoko Pole
 
Moja kati ya mambo yanayowakwamisha Yanga ni kutaka kushindana na Simba ambayo tayari ina muunganiko na uzoefu wa michuano ya kimataifa.
Yanga SC ina mataji 27 ya LigiKUU Tanzania Bara.

Simba ina mataji 19 ya LigiKUU Tanzania Bara.

Nani ana haki ya kuweka jitihada ya kushindana na mwingine?
 
Yanga SC ina mataji 27 ya LigiKUU Tanzania Bara.

Simba ina mataji 19 ya LigiKUU Tanzania Bara.

Nani ana haki ya kuweka jitihada ya kushindana na mwingine?
Simba mataji 19?
Unajisifia ujinga? Bila kubebwa hampati ushiriki kimataifa, huwa mnadhani ni tahisi tu?
 
Simba mataji 19?
Unajisifia ujinga? Bila kubebwa hampati ushiriki kimataifa, huwa mnadhani ni tahisi tu?
Hivi kwa akili yako ya kawaida mtani unadhani kuwa ningeshindwa hata kuingia wikipedia kutafuta ukweli?

It was staged purposely.
 
Hapa ndipo ninapowaona uto wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara,, yani wewe umesahau kama leo umeaga mashindano na kushangilia simba kufungwa kwenye bonanza mjue kwenye ubora Africa kama mlikuwa wa themanini basi now wa mia huko
Unaongelea ya msimu uliopita, Simba hii hata makundi haivuki.
 
Utopolo wataamini kuwa huu ushauri ni mzuri!! Yaani Yanga ikifuñgwa mara kwa mara mwaka huh ni sawa maana tunajenga timu!! Huwezi kuthubutu kutoa ushauri huu kwa timu yohote nyingine duniani isipokuwa kwa timu ya wananchi wa Jamhuri ya Utopolo !
Uto ni uto tu
 
Yanga ina uwezo wa kumfunga yoyote kwa sasa, kikubwa wachezaji wazuri wapo, timu ipate muda wa kupata muunganiko mzuri ikizingatiwa kuna wachezaji muhimu tumewakosa kwenye game zote mbili, mwalimu naye aomeshe makali yake.
Yoyote yupi ?
Hata Liverpool ?
Taja huyo yeyote ?
Au unamaanisha Costal Union ?
 
Moja kati ya mambo yanayowakwamisha Yanga ni kutaka kushindana na Simba ambayo tayari ina muunganiko na uzoefu wa michuano ya kimataifa.
Muunganiko Jana ulikuwa likizo? Nanyi mnajifariji tu. Kiufupi mnatembelea nyota ya korona tu hamna lolote Kama unabisha muda utaongea. Simba sc ilikuwa Ile ya kidevu hizi nyingine Ni Asante Korona and associates.
 
1. Licha ya usajii mzuri hatukuwa tumeyachukulia serious michuano ya CAF.

2. Mafanikio ya Simba SC ya msimu uliopita yalifanya ionekane ni rahisi zaidi kuweka jitihada zisizo thabiti kufika mbali kwenye michuano ya CAF.

3. Pilika za usajili zilifanya tupoteze focus kwenye kuhakikisha ushiriki wa wachezaji wote wanaosajiliwaili waweze kucheza kikamilifu. Pengo la Djuma, Aucho & Mayele yalikuwa na impact katika kuamua matokeo.

4. Ratiba ya Ligi kuu msimu uliopita ilikuwa siyo rafiki hata ikapelekea kucheleweshwa kuhitimishwa kwa Ligi na kuathiri mapumziko & maandalizi ya timu. (Hii itawaathiri washiriki(timu) nyingi zinazotoka Tanzania zikishiriki michuano ya CAF msimu huu.

5. Substitutions za Prof Nabi hazikuwa na Impact katika kuamua matokeo ya Mechi zote mbili ikiwa factors zote huko juu hazikuzingatiwa.

6. Kitu pekee ambacho tumekifanya vyema nyakati hizi ni kwenye kuongeza ubora wa wachezaji kikosini.

WHAT NEXT?
a. Tunahitaji muda zaidi wa kuwaona hii timu mpya ikiwa pamoja at least for one season. Baada ya hapo tutakuwa kwenye position ya kuwa na matarajio kuhusu Klabu Bingwa.

b. Tuandae recruitment network ambayo itakayo tuakikishia wachezaji bora kwa ajili ya msimu ujao (tusingoje kuchukua wachezaji walio maliza mikataba yao)

c. Ni wakati sasa wa kupeleka jitihada na Focus kwenye LigiKUU Tanzania Bara ili kuhakikisha tunashiriki michuano ya CAF tukitokea kwenye Ubingwa wa LigiKUU.

- Ilikuwa ni wiki mbaya ofisini iliyotokana na kupotea kwa muda mrefu kwenye michuano ya CAF na hata kusahau wajibu na majukumu yetu kama Klabu. -

View attachment 1945347
Sababu zile zile kama za History Form Three;
Land Allienation
Poor transport
Poor infrastructure.
Lack of Capital
Poor Management


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndipo ninapowaona uto wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara,, yani wewe umesahau kama leo umeaga mashindano na kushangilia simba kufungwa kwenye bonanza 🤔 mjue kwenye ubora Africa kama mlikuwa wa themanini basi now wa mia huko
Ni ajabu sana kwa kweli hata hivyo hawajali Kwa kuwa hawajazoea kucheza hayo mashindano yani haiwashtui🤔
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom