demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,246
- 15,084
1. Licha ya usajii mzuri hatukuwa tumeyachukulia serious michuano ya CAF.
2. Mafanikio ya Simba SC ya msimu uliopita yalifanya ionekane ni rahisi zaidi kuweka jitihada zisizo thabiti kufika mbali kwenye michuano ya CAF.
3. Pilika za usajili zilifanya tupoteze focus kwenye kuhakikisha ushiriki wa wachezaji wote wanaosajiliwaili waweze kucheza kikamilifu. Pengo la Djuma, Aucho & Mayele yalikuwa na impact katika kuamua matokeo.
4. Ratiba ya Ligi kuu msimu uliopita ilikuwa siyo rafiki hata ikapelekea kucheleweshwa kuhitimishwa kwa Ligi na kuathiri mapumziko & maandalizi ya timu. (Hii itawaathiri washiriki(timu) nyingi zinazotoka Tanzania zikishiriki michuano ya CAF msimu huu.
5. Substitutions za Prof Nabi hazikuwa na Impact katika kuamua matokeo ya Mechi zote mbili ikiwa factors zote huko juu hazikuzingatiwa.
6. Kitu pekee ambacho tumekifanya vyema nyakati hizi ni kwenye kuongeza ubora wa wachezaji kikosini.
WHAT NEXT?
a. Tunahitaji muda zaidi wa kuwaona hii timu mpya ikiwa pamoja at least for one season. Baada ya hapo tutakuwa kwenye position ya kuwa na matarajio kuhusu Klabu Bingwa.
b. Tuandae recruitment network ambayo itakayo tuakikishia wachezaji bora kwa ajili ya msimu ujao (tusingoje kuchukua wachezaji walio maliza mikataba yao)
c. Ni wakati sasa wa kupeleka jitihada na Focus kwenye LigiKUU Tanzania Bara ili kuhakikisha tunashiriki michuano ya CAF tukitokea kwenye Ubingwa wa LigiKUU.
- Ilikuwa ni wiki mbaya ofisini iliyotokana na kupotea kwa muda mrefu kwenye michuano ya CAF na hata kusahau wajibu na majukumu yetu kama Klabu. -
2. Mafanikio ya Simba SC ya msimu uliopita yalifanya ionekane ni rahisi zaidi kuweka jitihada zisizo thabiti kufika mbali kwenye michuano ya CAF.
3. Pilika za usajili zilifanya tupoteze focus kwenye kuhakikisha ushiriki wa wachezaji wote wanaosajiliwaili waweze kucheza kikamilifu. Pengo la Djuma, Aucho & Mayele yalikuwa na impact katika kuamua matokeo.
4. Ratiba ya Ligi kuu msimu uliopita ilikuwa siyo rafiki hata ikapelekea kucheleweshwa kuhitimishwa kwa Ligi na kuathiri mapumziko & maandalizi ya timu. (Hii itawaathiri washiriki(timu) nyingi zinazotoka Tanzania zikishiriki michuano ya CAF msimu huu.
5. Substitutions za Prof Nabi hazikuwa na Impact katika kuamua matokeo ya Mechi zote mbili ikiwa factors zote huko juu hazikuzingatiwa.
6. Kitu pekee ambacho tumekifanya vyema nyakati hizi ni kwenye kuongeza ubora wa wachezaji kikosini.
WHAT NEXT?
a. Tunahitaji muda zaidi wa kuwaona hii timu mpya ikiwa pamoja at least for one season. Baada ya hapo tutakuwa kwenye position ya kuwa na matarajio kuhusu Klabu Bingwa.
b. Tuandae recruitment network ambayo itakayo tuakikishia wachezaji bora kwa ajili ya msimu ujao (tusingoje kuchukua wachezaji walio maliza mikataba yao)
c. Ni wakati sasa wa kupeleka jitihada na Focus kwenye LigiKUU Tanzania Bara ili kuhakikisha tunashiriki michuano ya CAF tukitokea kwenye Ubingwa wa LigiKUU.
- Ilikuwa ni wiki mbaya ofisini iliyotokana na kupotea kwa muda mrefu kwenye michuano ya CAF na hata kusahau wajibu na majukumu yetu kama Klabu. -