Asu tz
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 336
- 86
Habr wana jf natumain mpo vema na mnaendelea na harakat za maisha ya kila siku.
Samahan wakuu naomba kujuzwa ipi ni koz nzur kat ya hzo hapo juu nina mdogo wangu amepata chuo cha kilimo kaole bagamoyo.
Ameniomba ushaur nikaona niulete hapa jf kabla sijajua nitamshaur nn
Nawasilisha kwenu wakuu.
Samahan wakuu naomba kujuzwa ipi ni koz nzur kat ya hzo hapo juu nina mdogo wangu amepata chuo cha kilimo kaole bagamoyo.
Ameniomba ushaur nikaona niulete hapa jf kabla sijajua nitamshaur nn
Nawasilisha kwenu wakuu.