Habari za ndugu zangu
Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote...
Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto electrical and electronic engineering,sasa majibu yamekuja nimechaguliwa lakin wananambia inabidi nibadilishe kozi nisome ict ,, naombeni mnishauri mimi naona bora nikasome veta nta1&2 ya auto electrical kuliko nta 4,5&6 ya ict .., nakaribisha ushauri Na pia natanguliza shukrani zangu kwenu..
Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote...
Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto electrical and electronic engineering,sasa majibu yamekuja nimechaguliwa lakin wananambia inabidi nibadilishe kozi nisome ict ,, naombeni mnishauri mimi naona bora nikasome veta nta1&2 ya auto electrical kuliko nta 4,5&6 ya ict .., nakaribisha ushauri Na pia natanguliza shukrani zangu kwenu..