zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Ndiyo maana wakikuletea chikwende,akili mbofu mbofuCEO anahusika vp na usajili, wakati Simba Ina kamati maalumu ya usajili (iliyokuwa inaongozwa na Hanspope na sasa Kasimu Dewji), na network ya scouting dunia nzima ( ndo maana Fraga aliletwa kutokea India). Sasa hapo Babra anahusika vp hapo?
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app