Habari wadau..
Naomba wasomi tujenge hoja tunajifunza nini kama huyu CEO wa safaricom ambaye ndie alikuwa bosi wa new ceo anaekuja vodacom Tanzania hana hata degree moja..
University education isn't everything: 12 lessons from Safaricom CEO Bob Collymore
Je wasomi tunaokopa hela tufanye masters na Phd vyuo vyetu vya kitanzania tunakosea au maarifa sahihi ya kuperform yanapatikana shuleni, mtaani au wapi...
Maana uber tax aliacha chuo.. facebook aliacha chuo, microsoft aliacha chuo, CNN aliacha chuo.
Na mama lishe mwenye degree moja tu anapewa Vodacom ambayo imejaa watu na masters zao..
Na hata CEO Ian aliemaliza muda wake Vodacom naye ana degree moja tu...
Je vyeti vingi vinasaidia kupanda vyeo miaka hii au vinazingia..
Huyu CEO wa safaricom asiye na degree angekuwa bongo tungekubali Voda ipewe CEO ambaye hana hata degree moja?
Mjadala wa kisomi wa hoja itapendeza
Naomba wasomi tujenge hoja tunajifunza nini kama huyu CEO wa safaricom ambaye ndie alikuwa bosi wa new ceo anaekuja vodacom Tanzania hana hata degree moja..
University education isn't everything: 12 lessons from Safaricom CEO Bob Collymore
Je wasomi tunaokopa hela tufanye masters na Phd vyuo vyetu vya kitanzania tunakosea au maarifa sahihi ya kuperform yanapatikana shuleni, mtaani au wapi...
Maana uber tax aliacha chuo.. facebook aliacha chuo, microsoft aliacha chuo, CNN aliacha chuo.
Na mama lishe mwenye degree moja tu anapewa Vodacom ambayo imejaa watu na masters zao..
Na hata CEO Ian aliemaliza muda wake Vodacom naye ana degree moja tu...
Je vyeti vingi vinasaidia kupanda vyeo miaka hii au vinazingia..
Huyu CEO wa safaricom asiye na degree angekuwa bongo tungekubali Voda ipewe CEO ambaye hana hata degree moja?
Mjadala wa kisomi wa hoja itapendeza