Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
jengo liliungua floo ya kwanza tu na zimamoto wamefanikiwa kuuzima moto ..hakuna majeruhi
Source: JF
Source: JF
Mkuu nimekuja mbio nimekuta vitu vya ajabu sikutegemea ni wewendiyo umeleta mada kama hii....Kama kuna mwenye updates tupeane zaidi
Source: JF
Kama kuna mwenye updates tupeane zaidi
Source: JF
Mkuu nimekuja mbio nimekuta vitu vya ajabu sikutegemea ni wewendiyo umeleta mada kama hii....
tupe habari iliyosimama maana naona kimyaji kimekolea halafu inaonekana unachukia nao........hahahahaahNi ile Police Welfare Canteen almaarufu kama "CHIZIKA"... Maarufu kwa Bia za Buku buku ndio imeshika moto... Natumai kutokana na Police wengi kupata Mishahara yao Ijumaa patakuwa pamejaa sana... poleni WAPENDA MTEREMKO aka KITONGA wa Mbeya... Bia za Buku mtapata wapi...
inawezekana....hahahaahkuna mtu kaiba password yake akabadili na avatar!
tupe habari iliyosimama maana naona kimyaji kimekolea halafu inaonekana unachukia nao........hahahahaah
hata mimi kuna jamaa hapa kasema amesikia kwenye radio. dah wakuu kweli zama hizi za mtandiowazi hakuna hata mwana JF mmoja Mbeya akatupatia kitu kamili?Nilikua nasikiliza Clouds, wakatangaza kua kuna moto unawaka pale Central Polisi jijini Mbeya, wakasema wanatuma mwakilishi wao ili alete taarifa zaidi, hee cjakaa sawa Mzee wa Megawatt akachukua chake.