Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Nilikuwa ninaangalia taarifa ya habari BBC na walieleza bank ya Uingereza ina akiba ya tani 50 za dhahabu. Hii ni alibaki ambayo unaweza kutumika kama nchi ikiwa na hali mbaya ya fedha.
Sehemu kubwa ya dhahabu hii imetoka Afrika. Enzi za Mansa Mussa Ghana ilijulikana kama Pwani ya dhahabu na jamaa hawa waliivamia na kutawala. Wakiwa guardians wetu baada ya Mjerumani kuondoka hatujui walichimba kiasi gani kutoka Tanganyika.
Sehemu kubwa ya dhahabu hii imetoka Afrika. Enzi za Mansa Mussa Ghana ilijulikana kama Pwani ya dhahabu na jamaa hawa waliivamia na kutawala. Wakiwa guardians wetu baada ya Mjerumani kuondoka hatujui walichimba kiasi gani kutoka Tanganyika.