Upo tayari kutoa tsh ngapi na mifuko mingapi???na ni aina gani hasa unayotaka???funguka ...sms +971504374387 kama upo serious tutafanya kaziNani anaingiza au wakala wao mkuu wa cement hii, nahitaji mifuko mingi kwa wakati mmoja na kwa bei nzuri.
asante
Vp mifuko 300-400 kwa 7,500 each?Upo tayari kutoa tsh ngapi na mifuko mingapi???na ni aina gani hasa unayotaka???funguka ...sms +971504374387 kama upo serious tutafanya kazi
Vp mifuko 300-400 kwa 7,500 each?
Fanya hivi mimi sasa kuna mifuko 300 naipakia kwenye container hapa dubai....bei ya mfuko mmoja imepanda maana inaitajika sana Qatar ambapo viwanja vikubwa kwa ajiri ya world cup vinajengwa...hivyo kwa sasa mfuko mmoja ni Tsh 4000 bado kuusafirisha na kuutolea ushuru dar..so kama waitaji tunawezakaa kama kamati..kupanga kununua kama watu watatu tukachanga kununua container zima pia tukachanga gharama za ushuru
Fanya hivi mimi sasa kuna mifuko 300 naipakia kwenye container hapa dubai....bei ya mfuko mmoja imepanda maana inaitajika sana Qatar ambapo viwanja vikubwa kwa ajiri ya world cup vinajengwa...hivyo kwa sasa mfuko mmoja ni Tsh 4000 bado kuusafirisha na kuutolea ushuru dar..so kama waitaji tunawezakaa kama kamati..kupanga kununua kama watu watatu tukachanga kununua container zima pia tukachanga gharama za ushuru
Yelowii, Mfuko mmoja Pakistani Tshs. 4,000/=! Kwanini Tanzania (Mwanza) Tsh. 19,000/=! Jamani sipati picha, Kumbe aliyoyasema Dr. Slaa kuwa inawezekana mfuko ukauzwa Tshs. 5,000/=. CCM mnatuangamiza watanzania!
Yelowii, Mfuko mmoja Pakistani Tshs. 4,000/=! Kwanini Tanzania (Mwanza) Tsh. 19,000/=! Jamani sipati picha, Kumbe aliyoyasema Dr. Slaa kuwa inawezekana mfuko ukauzwa Tshs. 5,000/=. CCM mnatuangamiza watanzania!
Kwa mwaka huu sijajua ushuru wa cement ulivyo ila mwaka jana niliingiza mifuko 450 na ushuru ulikuwa 1.1ml ukipata clearing agent mzuri atakwambia ilivyo kwa sasa...tani moja ni tsh ngapi za ushuruContainer moja linaingia mifuko mingapi ya 50kg, na nauli ya container ni bei gani, ushuru ni bei gani, una watu bandarini? funguka tujiunge mkuu!
Ningependa kuunganisha nguvu tafadhali.Fanya hivi mimi sasa kuna mifuko 300 naipakia kwenye container hapa dubai....bei ya mfuko mmoja imepanda maana inaitajika sana Qatar ambapo viwanja vikubwa kwa ajiri ya world cup vinajengwa...hivyo kwa sasa mfuko mmoja ni Tsh 4000 bado kuusafirisha na kuutolea ushuru dar..so kama waitaji tunawezakaa kama kamati..kupanga kununua kama watu watatu tukachanga kununua container zima pia tukachanga gharama za ushuru
Habari ndugu. Nimefuatilia na kodi niliyoambiwa ninkuwa , unalipia Import duty 25% harafu Vat ni 18% . Kwahiyo kama cement ni Tsh 4000 Imp 25% Tsh 1000 Total Tsh 5000 Vat 18% 900. Jumla ya gharama nzima na kodi zote inakuwa Tsh 5900. Mtujuze gharama za usafiri wadau wa pande hizo. Clearing haina shida kampuni ninayo ya kwangu haina shida.
Upo sahihi kabisa. 4,000*1.25 = 5,000 na 5,000.00 * 1.18 = 5,900.00
Hapo usafiri ndiyo utakaoeleza bei ya mfuko iwaje ukitoa port charges, na claring agent cost.