Celtel Kulikoni?

DMussa

JF-Expert Member
Sep 24, 2007
1,310
296
Nimegundua kwamba kampuni ya kutoa huduma za simu za mikononi ya Celtel imeondoa matangazo yake yote na hata magari yao siku hizi hayako branded! Je nini kinaendelea huko Celtel? au ndo kampuni lishauzwa tena?
 
Last edited:
Nimegundua kwamba kampuni ya kutoa huduma za simu za mikononi ya Celtel imeondoa matangazo yake yote na hata magari yao siku hizi hayako branded! Je nini kinaendelea huko Celtel? au ndo kampuni lishauzwa tena?
Tarehe moja itaanza kuitwa Zein.Hiyo mbona ni wiki sasa toka wameeanza kukusanya chochote kilichoandikwa Celtel..on !st august utaona mabango yote..yatabandikwa siku moja kwa nchi zote ambazo Zein imenunua kampuni hizo..ndiyo siku ambayo bei za simu zitakuwa juu zaidi.
 
Tarehe moja itaanza kuitwa Zein.Hiyo mbona ni wiki sasa toka wameeanza kukusanya chochote kilichoandikwa Zantel..on !st august utaona mabango yote..yatabandikwa siku moja kwa nchi zote ambazo Zein imenunua kampuni hizo..ndiyo siku ambayo bei za simu zitakuwa juu zaidi.

Thanks Gembe,
Ina maana hawa Zein wamenunua Zantel na Celtel au unamaanisha nini?
 
Tarehe moja itaanza kuitwa Zein.Hiyo mbona ni wiki sasa toka wameeanza kukusanya chochote kilichoandikwa Celtel..on !st august utaona mabango yote..yatabandikwa siku moja kwa nchi zote ambazo Zein imenunua kampuni hizo..ndiyo siku ambayo bei za simu zitakuwa juu zaidi.
'ZAIN'

It will be called 'ZAIN'
and not 'ZEIN'
 

Attachments

  • Dr_Barrak_launch_of_Zain.jpg
    Dr_Barrak_launch_of_Zain.jpg
    493.1 KB · Views: 50
Nimegundua kwamba kampuni ya kutoa huduma za simu za mikononi ya Celtel imeondoa matangazo yake yote na hata magari yao siku hizi hayako branded! Je nini kinaendelea huko Celtel? au ndo kampuni lishauzwa tena?

...Duh, na kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere pia weshafuta 'udhamini'?

View attachment 1852
 
Tarehe moja itaanza kuitwa Zein.Hiyo mbona ni wiki sasa toka wameeanza kukusanya chochote kilichoandikwa Celtel..on !st august utaona mabango yote..yatabandikwa siku moja kwa nchi zote ambazo Zein imenunua kampuni hizo..ndiyo siku ambayo bei za simu zitakuwa juu zaidi.

Hawa ZAIN wamenunua na wafanyakazi nikiwa namaanisha wafanyakazi wataendelea kwa contract ya zamani au watapewa mpya, watapata ajira moja kwa moja au itabidi waanze kutuma maombi? vipi kuhusu kupunguza wafanyakazi, kampuni nyingi zikinunua ingine (acquisition) zinapunguza wafanyakazi. Nimeuliza tu kama kuna mtu ana info!
 
Zain sounds like a pain,

...Kulikoni haya makampuni ya simu, nayo yana siri gani? Tulianza na TRITEL sasa tuna VODACOM, enzi zile tulianza pia na MOBITEL sasa TIGO, nayo CELTEL sasa ishakuwa ZAIN, anyway, mwendo mdundo.

...mtandao wa ZAIN... ulivyosambaa afrika na mashariki ya kati...


View attachment 1855
 
Kazi kwelii kweli Zein tena au njia ya kukwepa kodi hii Tax Holiday zitolewe....
 
Kazi kwelii kweli Zein tena au njia ya kukwepa kodi hii Tax Holiday zitolewe....
....Hilo ni la kuuliza tena mkuu??? Mtu amefanya biashara faida mlima hakuna kodi....wanabadilisha jina wanaendelea kula maisha wadanganyika tupo tumetumbua macho tu...Haya maviongozi sijui yanajua wanachofanya kweli?? Baada ya "Zain" wanakuja na jina lingine maisha yanaendelea kama pochi la mjinga watu wamejiokotea...
 
Zain tena? hapo kuna nini? ndiyo wizi mwingine tena?
Serikali iseme basi maana si nasikia nayo ina share humo? je imeridhia mabadilko au? au miyeyusho?
Kwa hiyo tunategemea kusikia tukikaribishwa "Karibu zain" kwenye hand set zetu hapo 1 august?
 
About Celtel & Zain
Zain is a leading emerging markets player in the field of telecommunications aiming to become one of the top ten mobile groups in the world by 2011. Zain was established in 1983 in Kuwait as the region's first mobile operator. Since 2003, it has grown significantly becoming the 4th largest telecommunications company in the world in terms of geographic presence with a footprint in 22 countries spread across the Middle East and Africa providing mobile voice and data services to over 45.7 million active customers (as at 31 March 2008).
In the Middle East the company operates under the Zain brand name in Bahrain, Iraq, Jordan, Kuwait and Sudan. In Lebanon the company operates as mtc-touch. Zain plans to commence operations in the Kingdom of Saudi Arabia in 2008.
In Africa, Zain currently operates under the Celtel brand (www.celtel.com) in 14 sub-Saharan African countries namely: Burkina Faso, Chad, Democratic Republic of the Congo, the Republic of the Congo, Gabon, Kenya, Malawi, Madagascar, Niger, Nigeria, Sierra Leone, Tanzania, Uganda and Zambia. The company's mobile telecommunications operations in Ghana will begin in late 2008.
The Zain brand is wholly owned by Mobile Telecommunications Company KSC, which is listed on the Kuwait Stock Exchange (Stock ticker: ZAIN). The company had a market capitalization of over US$ 27 billion on 30 June, 2008.
For more information please visit www.zain.com

Media Enquiries:
info@zain.com
 
About Celtel & Zain...it has grown significantly becoming the 4th largest telecommunications company in the world in terms of geographic presence with a footprint in 22 countries spread across the Middle East and Africa providing mobile voice and data services to over 45.7 million active customers (as at 31 March 2008).
In the Middle East the company operates under the Zain brand name in Bahrain, Iraq, Jordan, Kuwait and Sudan. In Lebanon the company operates as mtc-touch. Zain plans to commence operations in the Kingdom of Saudi Arabia in 2008.
In Africa, Zain currently operates under the Celtel brand (www.celtel.com)..
Media Enquiries:
info@zain.com

...if ZEIN is CELTEL and vice versa, then why bother branding CELTEL to ZEIN?

naamini Pepsi sio Coca japo zote ni Cola. Anyway, mtaka cha uvunguni, mie ni mteja tu, iwe TiGO, ZEIN au ZANTEL...

:D
 
...Eh!, kumbe mambo yalikuwa mambo uzinduzi wa ZEIN, haya, habari na picha kwa hisani ya haki-hakingowi.blogspot.com

Waziri wa Mambo ya Ndani,Lawrence Masha(kushoto)na Mawaziri Wakuu wastaafu, Jaji Joseph Warioba(katikati)na Dk.Salim Ahmed Salim ambaye pia ni Msuluhishi wa mgogoro wa Darfur nchini Sudan,wakipeperusha bendera ya Taifa wakati wa hafla ya kubadilisha jina la kibiashara la Celtel kuwa Zain kwenye Uwanja wa Karimjee jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 
...Kulikoni haya makampuni ya simu, nayo yana siri gani? Tulianza na TRITEL sasa tuna VODACOM, enzi zile tulianza pia na MOBITEL sasa TIGO, nayo CELTEL sasa ishakuwa ZAIN, anyway, mwendo mdundo.

...mtandao wa ZAIN... ulivyosambaa afrika na mashariki ya kati...


View attachment 1855

correction, tritel ilikuwa ya rugemalira, vodacom ina planetel na caspian, hawana uhusiano, wakati voda inaanza tritel ilikuwapo.
tigo na mobitel sina uhakika kama kuna mauziano, ila celtel na zain ni mauzo kamili.
 
Back
Top Bottom